Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Kaa ukijua hela huwa haikosi matumizi. Pesa ya mtaji ulikosea kuiweka ndani ukidhani itaendelea kubaki ile ile 1M. Maana lazima utapata tu jambo litakalo hitaji utatuzi wa kifedha.

Na huwezi kwenda kukopa maana una 1M ndani. So utachukua kidogo kidogo, siku akili zinakuja kukaa sawa imebaki laki 1, na hiyo unaamua bora tu uimalizie.

Learn to deal with your procastination.
 
Ndugu yangu mimi ni muhanga wa swala kama hilo kutoka kwa ndugu zangu na watu wa kalibu, ngoja nikupe ushauri.

Ukiitaji kufanya utafiti wa biashara, usiombe ushauli kwa watu wasio wafanyabiashara husika na kwa watu wasioamini kwenye mambo ya biashara, wapo watakaochangia ambao hawajawahi hata kufanya biashara (hao watakuvunja moyo), wapo wanaofanya biashara wakafeli kwa uzembe wao (pia watakuvunja moyo).

Kitu cha pili epuka sana kutoa wazo lako kwa kila mtu hasa wakalibu yako ndugu jamaa na marafiki, wapo wasiopenda mafanikio yako watakuvunja moyo, wapo watakaokutia uwoga kwakua wao ni waoga.

FANYA MAAMUZI MAGUMU: Unapokua na wazo la biashara, fanya utafiti kwa waliofanikiwa kwenye biashara hiyo, epuka sana kua na mawazo meeengi ya kufanya, chagua kitu kimoja na ukifanyie kazi utafanikiwa, kisha anzisha kingine baada ya hiki cha kwanza kua kimenyooka, utakua kama wanaoitwa matajiri, kila la kheri!

NB; Nilikua kama wewe ila kwasasa nasubili kuthibitisha walionipinga kua hawakua sahihi.
 
 
Mchanganuo wa biashara ni huu

Kwanza kabisa vifaa vyake muhimu

1: ile kabati ya kuhifazia chipsi inatakiwa iwe kubwa kiasi ngazi mbili au tatu itapendeza zaidi hapo kiasi ni 150k-250k

2:majiko mawili moja ya kuivishi chipsi nyingine ya kuchomea chipsi mayai mishikai N. K, hapo kila jiko itakost kuanzia 35k--45 kwa hiyo total pigia tu 90K,

3:vifaa vidogo vidogo kuna karai 10k--15k,sahani Dz 1 au 2 fanya 10K,koleo 3k,flampeni 2 5k, beseni dogo na kichujio chake kwa ndani 10K, vitu vidogo vidogo fanya 15K,

4:uje kwenye mazaga yenyewe.
Viazi gunia inategemeana na eneo ila bei kuanzia 45k--60,mafuta ya kula ndoo ndogo 30k,mkaa gunia moja inategemeana na eneo ila approximately ni 25k--40k,mayai tray 3 24K

Kwa kifupi kama hauna kifaa ata kimoja unatakiwa usiwe na chini ya 500k, na hapa ni kibanda tu cha kishkaji.

Faida zake,
Chipsi zina faida sana mkuu kama ukikaa location inayoeleweka inayoweza kumaliza kuanzia nusu gunia la viazi mpaka gunia moja na uwe na msimamizi imara huwezi kosa kuanzia 25k--45k kwa siku kama faida,

Hapo weka vyuku vyuku mishikaki,juice na N.k faida inakuwa mara dufu

Warning.
Usiwe na masihara ya kucheka na mademu, zingatia kipimo chako usisikie ya mteja anasema nini eti chipsi sishibi sijui chache mwambie aongeze hela umjazie.

Kuna kingine mkuu hapo ni kwa haraka haraka tu

CC Zero IQ
Nimekuelewa sana Mr zero IQ ubarikiwe umenitia moyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndugu yetu tufanye angekua na mawazo kama ma 5

kaja JF kakutana na kila mtu anaponda wazo lake kwa point

yeye kwakua kashaamua kusikiliza wana JF usiku angetia X wazo la chips

siku inayofata anakuja na Thread ingine ya wazo no.2 angesikiliza tena maoni

Angeendelea na utaratibu huo mwisho katka yale mawazo ma 5 angechomoka na 1

Ambalo limepata kura Nyingi huku JF kulingana na alivyokua akihitaji yeye.


Ila kuwa na wazo 1 ni sawa na Mtu kaamua kufanya biiashara kakodi frem ya 1M kwa mwezi

badala aitumie frem kuweka biashara tofauti za kuingiza pesa,eti kagandana na biashara ya Nguo tu

kisa ndio biashara aliyokodia frem,Huyu mtu nguo zisiponunuliwa lazima alie kilio cha mbwa wakati

angeweza ongeza biashara nyingiine auze hapo hapo kwenye duka lake la nguo mambo yakaenda


Nguo zikigoma vitu vingine vinaenda... Kodi inapatikana.
Umenena mkuu...
 
Jf ukiitumia vizuri huwezi feli kirahisi
humu watu hutoa maoni yao kulingana na mahitaji unayohitaji

kiukweli chipsi classic huwez ipata katika sehemu ya uwekezaji wa milion 1!
wewe labda ulifeli kuwasilisha wazo
1 Tuwekee huo uzi hapa tuusome na maoni ya wadau yalikuwaje
2 Wewe ungeomba msaada tu, unamilion moja mchanganuo wa biashara ya chipsi ungepewa maelekezo ya banda na vifaa vyake muhimu kulingana na pesa yako
Mi nimeshindwa kuelewa kabisa, kwa wazo lake mbona mkuu Zero IQ amechanganua vizuri tu, siku zote tusiwe man of excuse kwa kuwa most of our problems source ni sisi wenyewe, huruma za dunia hazitufanyi tusonge mbele.
 
Uko sahihi chips classic huliwa na watu classic ambao hupatikana maeneo classic na huishi maeneo classic mfano Steers hupika chips classic kwa ajili ya watu classic.Kupata eneo classic ,vyombo classic vya kupikia na kuhudumia classic na eneo classic hiyo milioni moja Sio hella hamna kitu hapo.Huo mtaji wako hauendani na wazo lako wazo kubwa mtaji sifuri

Ila 1mill kwenye biashara kubwa kuliko wengine haitoshi ila kama ana Banda tayari na pia ana vyombo labda iyo 1m ni mtaji wa chakula tu yani Viazi mayai na nk..


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave,
unahitaji deepfreezer,most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer,hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald,juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama,
chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden
Hatari sana Mkuu,


Nimeipenda hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanadamu mtu wa kwanza kumlaumu ni wewe mwenyewe, hamna mtu aliyeshikilia pesa zako ushindwe kufungua kibanda chako
Mr worldwide
 
Uko sahihi chips classic huliwa na watu classic ambao hupatikana maeneo classic na huishi maeneo classic mfano Steers hupika chips classic kwa ajili ya watu classic.Kupata eneo classic ,vyombo classic vya kupikia na kuhudumia classic na eneo classic hiyo milioni moja Sio hella hamna kitu hapo.Huo mtaji wako hauendani na wazo lako wazo kubwa mtaji sifuri
Watu mnajuwa kuweka uchawi kwenye mawazo ya watu. Jlitaka aanze na mil 10

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante kwa ushauri,mkuu mimi nataka kufungua maeneo ya kimara mwisho najishauri shauri hapa
 
Habari wakuu, Mimi ni kijana wa miaka 20, nina shiling 1,000,000/= nawaza niifanyie biashara gani lakini sijapata jibu, naombeni mnisaidie mawazo yenu tafadhali [emoji120][emoji120][emoji120]
Asanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave, unahitaji deepfreezer, most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer, hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald, juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama. Chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden.
Umesema kitu cha kweli....
 
wakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally

Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa

Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa

mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana

Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu

Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment

Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
Ila usiwalaumu waliokukatisha tamaa walikuwa wanatoa maoni yao juu ya hii biashara na sidhani kama lengo lao ilikuwa nikukukomesha bila ni kushare kile wanachokijua...

Ndio maana wanasema unapopewa ushauri unatumia na akili zako pia usichukue ushauri mia kwa mia.
 
wakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally

Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa

Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa

mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana

Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu

Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment

Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
Ni mitaa gani hiyo mkuu
 
Ila 1mill kwenye biashara kubwa kuliko wengine haitoshi ila kama ana Banda tayari na pia ana vyombo labda iyo 1m ni mtaji wa chakula tu yani Viazi mayai na nk..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Milion ilitosha ndugu gunia mbili 120, kukutoa watano 30 mkungu was ndizo 40 mafuta dumu 55 nyama kilo 3 elfu 30 mayai try 5 kwa 45 sahani jijiko umma,flapen,lakugeuzia chips Jag,ndoo, sahani chakukatia kachumbali ,visu haiishi laki,

Mziki kabati, umeme,banda na majiko,
 
wakuu
Ni miezi sita sasa imepita tangu nilipojitokeza hapa jamvini nikiwa na kiasi cha shilingi milion 1 pesa nikiwaomba mnipatie muongozi wa kufungua banda la chipsi zenye ubora wa kiwango cha juu na kukamata soko dhidi ya wapinzani wanouza chipsi locally

Aiseeeee, nilijuta na mpaka sasa najutia uamuzi wangu wa kulileta lile bandiko langu humu
Kiukwrli sikuweza kuendelea na lile wazo kwasababu wananchi wengi humu walinipinga na kunikatisha tamaa sana kwamba wazo halitekelezeki, hii ilinikatisha tamaa

Ile pesa niliamua kutulia nayo, hii ndio ilikua mistake kubwa
pesa haitulii kabisa, nilijaribu kuituliza lakini wapi mwishowe yote ikapukutika kwa sababu tu ya ushauri butu wa wajf walionikatisha tamaa

mbaya zaidi kilichosababisha nilete mrejesho humu, leo nimekatiza ile mitaa niliyokuwa naiplan kufungua ile biashara nimekuta mtu mwingine amefungua biashara ileile ya chipsi tena kama kahamisha mawazo yangu na kuyatekeleza
nimejaribu kumuuliza ni kiasi gani kainvest kasema kaweka milion 1 tu, hii imeniuma sana

Nimeamua kula chips kuku tena tamu kweli na kuishia kufyonya tu huku nikikumbuka michango ya wadau wa humu

Humu kuna watu hawapendi wengine tufanikiwe!
Humu kuna watu wanajifanya ni wataalamu wa kila kitu
Humu kuna watu kila uzi lazima wakoment

Tafadhalini sana, Jf tutoe mawazo bora na kujenga na si kukatishana tamaa kiboya tu na kuziacha pesa zipigwe na wengine
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ila 1mill kwenye biashara kubwa kuliko wengine haitoshi ila kama ana Banda tayari na pia ana vyombo labda iyo 1m ni mtaji wa chakula tu yani Viazi mayai na nk..


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtu kama huyu anaongea hivyo unafikili anaweza kukushauli nini mara nyingi jiongeze pale unapoamua kufanya jambo flani
 
Mzee laki tano hapo inatumika pamoja na kulipa mafundi, mi nimejenga banda la kawaida tu bati tano, nguzo nne, na kuzungushia turubai imenitoka 500, hamna ujenzi mrahisi mzee nimeamini
shkamoo ujenzi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1430][emoji1430][emoji1430][emoji1430]
 
Hela haitoshi kwa classic chips,zile chips zinahitaji kwa haraka haraka deepfryer,showcase ambayo inakuwa na warmer ama uwe na microwave, unahitaji deepfreezer, most chips joint huwa wanazifroze chips na kuhifadhi katika deepfreezer na mteja anapokuja frozen chips ndo huwekwa kwenye deepfryer, hii ni kutaka mteja ale chips quality ambazo hazijapoa na chips ambazo zinakuwa frozen zikiwa fryed zinakuwa na quality nzuri kama za macdonald, juu zinakuwa na crisp,sio hizi chips za mitaani ukiishika mkononi inajikunja kama uume ambao haujasimama. Chips ikishikwa mkononi inatakiwa kuwa wima,na na inakuwa na rangi fulani hivi golden.
mkuu unazidi kumkata maini tu na hio gharama ya freezer.
 
Back
Top Bottom