18 had 20Wakuu heshima yenu.
Naomba mwongozo kidogo, ndoo kubwa ya viazi, inaweza toa sahani ngapi?
Mkuu ndoo ya viazi ambavyo havijamenywa au vimemenywa18 had 20
Hivyo vimemenywa. vikiwa flat ni 18 vikiwa vimejaa sana ni 20 japo inategemeana sana na kipimo chakoMkuu ndoo ya viazi ambavyo havijamenywa au vimemenywa
Elimu yetu ina kasoro sehemuwewe graduate wa finance na banking unahitaji ushauri wa kufungua banda la chips kweli?
Ni kweli anahitaji kwa sababu si hypocrite. He is being honesty with himself.
Ukisoma huu Uzi ushauri wa msingi utakaoapata niNdugu naomba ufafanuzi juu ya biashara ya chipsi kwa yeyote anayefahamu na requirements zake.
Hapa ndio nawakubali Ma Ras. I and IChipsi inalipa mbona mie mpishi nimesoma nje nimerud tz nauza chps kama nilizokua namlisha mzungu nimeboresha sio kabanda nimechukua frem nafanya mambo ndani. Mfano hai nenda uwanja wa taifa kuna rasta anauza chips na source za ajabu ule ujuzi aliupata kwa wa portugues .
Mkuu nenda pale minazini bar ongea na yule ras gebo ndo bosi we mwambie kanipa maelekezo ras dona mueleze mawazo yako na angalia mapish yake viungo vya kuku na vingine venye umuhmu kila laheri.
Inategemea na hilo goli lenyewe, kuna ambao wanawekeza pakubwa.Nimekuelewa Bro zipo biashara za ww kuanza toka mwanzo coz investment yake kwanza nikubwa,sasa kwa biashara ya chips itakufanya kweli uache kazi uliyoajiliwa ili uifatilie?..zipo biashara za kuacha kazi na kuingia mzima mzima coz investment yake ni kilio lakini sio chips au daladala,,huo ni mtazamo tu
😂😂Mswahili bana, we mwenyewe umechoka halafu unataka kujifanya ofisa uje kukusanya hesabu tu?
Hivi ni lini mtajifunza kwa wahindi? Hebu pita migahawa ya wahindi kama hujawakuta mke na mume wanakaba wenyewe cashier.
😂😂Kuna dogo alikua anauza chips hapa kitaa, nafasi ndogo kutofautisha na wapinzani wake...
Ila ukionja mishikaki, kuku na chips zake kesho unarudi, binafsi nilikua mteja wa mishikaki.
Wadada wa mujini wamempurusa mtaji wote.
Dogo hakuwahi kulaza bidhaa.
Amerahisisha ulaji wa mbusus za waremboAliyegundua chips alikua genius
Pole sana mkuu.. hiyo biashara ni pasua kichwa. Kwanini usibadili ukafanya biashara nyingine?Assalamualaikum warahmatullah wabarakatu kwema ndugu zangu mi Nina changamoto Moja nafanya biashara ya chips lakini tangia nianze hakuna faida yyte ninayopata sasa nilikuwa naomba msaada wa ushaur Nini nifanye kuboresha biashara yangu Ili nipate faida