Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

hongera kwa ujasiria mali

nafikiri changamoto kuubwa mno ni kujua hasa viazi vizuri ni vipi

kuna muuza chipsi mmoja huwa najiuliza why chips zake ni nzuri kila siku na watu wanapita
watu weengi kumfuata.....siku moja nikamsikia kabisa anasema kuna viazi na viazi
yeye viazi vyake anavifuata sehemu na anavijua kwa macho....

kabla ya hapo mi nilifikiri viazi vyote ni sawa tu kumbe kuna siri hapo

kingine usafi wa dogo na vifaa na kachumbari iwepo nzuri na usiwajibu wateja 'kachumbari imeisha'
wengine kachumbari ndo muhimu kuliko chips.........
 
hahaahh kweli The Boss kuna watu wanaoenda kachumbari kuliko chips
yaa jumamosi nitakuwepo mara chache kuangalia biashara inavyokwenda

yaaa viazi vya kilimanjaro sio vizuri kwa chips vinanyonya maji sana hivyo hutumia mafuta mengi mpaka kukauka si unajua kilimanjaro ardhi yake ina maji vya mikoa mingine ndo vizur na pia kimi nikiviangalia kwa macho navijua vipi ni vipi......,nishalimaga sana
usafi wa dogo ni changamoto kubw sana si unajua ukidili na viazi plus mafuta plus moto

thanx nitakwambia mahala nipo one weekend uje na marafiki zako
 
Last edited by a moderator:
Nyengine kabisa, usimbane dogo, wee mwambie tu kila jione akutumie m-pesa 25,000. Wewe unalipa kodi ya kibaraza ila garama nyingine zote juu yake, atajua ajilipe vipi. Hapo ikikaa sawa utaona faida yake
 
shee! ndito haya maswali unayouliza humu si ulitakiwa uwe umepata majibu ndo ukanunue karai la kukaangia hizo chipsi na kumtafuta dogo? Mi naona umeanzia mwisho kwenda mwanzo kwa hiyo unafanya biashara ya kubahatisha. Unataka sehemu classic? Anzia hapo hapo kibarazani ili ujifunze changamoto za chipsi kwa vitendo. Na brand yako ya chipsi unamaanisha kama kina merry brown na kfc? Si ndoto mbaya.
 


Nitakuja asante
wawepo na kuku wa kuchoma
 
Nyengine kabisa, usimbane dogo, wee mwambie tu kila jione akutumie m-pesa 25,000. Wewe unalipa kodi ya kibaraza ila garama nyingine zote juu yake, atajua ajilipe vipi. Hapo ikikaa sawa utaona faida yake

hili nalo neno
hifi utafiti unajua suzuki carry kwa siku ni shingapi hapa dar??elfu 20
actually biashara ya chips inaingiza ela kubwa kuliko suzuki carry hapo USIIOMBEEE AJALI
 

nishafanya mengi bila ushauri wa humu ila sasa haimaaanishi humu wa kiniambia hailipia au utaibiwa na dogo basi niache hell noo nataka kujua changamoto ili nijue jinsi ya kuzikabili
sikutaka kujua bei ya vifaa kwani ningeweka tangazo

ila thanx kwa ushauri....yaa brabd nayoizungumzia ndo hiyo
 

ukikubali kula kubali kuliwa
UKIOGOPA HASARA UWEZI KUFANYA BIASHARA YOYOTE ILE HAPA DUNIANI
nina uzoefu na biashara mabali mbali za kuwaweka watu
watamilia MSHAARA WAKE...AKISHAEKA HESABU YANGU MEZANI VINGINEVYO sitamuelewa mimi sio mkali ila sina utani na pesa.
 
Nyengine kabisa, usimbane dogo, wee mwambie tu kila jione akutumie m-pesa 25,000. Wewe unalipa kodi ya kibaraza ila garama nyingine zote juu yake, atajua ajilipe vipi. Hapo ikikaa sawa utaona faida yake

atafute njia za kumzuia dogo kuhonga
 
Hiyo biashara niliwah fanya bt changamoto ni dogo kuwa msafi, mwaminifu na mwenye kauli ya kumuita mteja na cyo kumfukuza...
 
watampwelepweta bure...

wamama na wanawake wa jiji hili wanajua hilo mpaka uwaimbie wwimbo kama aslay ndo wanaelewa wanapenda ela za kwenye waleti sana utasema wameeka wao.....
kutwa kufundishana UMPATE VIPI WA KUKUPA ELA
badala ya kuwaza nitaipata wapi na mimi stereotype mbaya sana hiyo nenda usukumani wamama wanakimbizana na ndoo za samaki like hell noooo
Evelyn Salt...
 
Last edited by a moderator:

changamoto kwenye biashara hii[hata kama utapata eneo lenye wateja 100,000 kwa siku] ni kuibiwa. inaibiwaje? ukimuajiri mtu utaibiwa kiufundi sana, wauzaji uliowaajiri watakuwa wanaleta viazi,mayai,kuku,nyama ya ng'ombe,mbuzi VYA KWAO.

sasa wewe kama uliwapa hela ya gunia mbili au ulileta gunia mbili watauza gunia lako nusu halafu wataleta gunia lao au hata magunia yao mawili ya vizi na watauza,wewe ukija jioni kuhesabu unakuta wameuza nusu gunia na gunia lako moja na nusu lipo. hivyo hivyo watafanya kwenye mayai na nyama.

solution ya wizi huu ni wewe kuwepo kwenye biashara yako.
 
Hiyo biashara niliwah fanya bt changamoto ni dogo kuwa msafi, mwaminifu na mwenye kauli ya kumuita mteja na cyo kumfukuza...

ndugu yangu uliiifanya maeneo ya wanachuo au kitaa tu
kwa mfano kwa siku ilikua inaingia ngapi....niambie na popln ya hapo plz
 
masai dada ulidhamiria hii post ikae hapa?

wewe pia ni kijana13 nimekujibu pm naona kimya ongeza 10niulete mzigo itakuwa ni kila siku wa kwako mi unaleta nyt tu na cash
nijibu huko tumalizzane nimekujibu naona kimya
 
Last edited by a moderator:
hili nalo neno
hifi utafiti unajua suzuki carry kwa siku ni shingapi hapa dar??elfu 20
actually biashara ya chips inaingiza ela kubwa kuliko suzuki carry hapo USIIOMBEEE AJALI

Inategemea na eneo ulipo pia, kama ni dar Kinondoni hata saa kumi na moja alfajiri unapata chips tena za moto tu, sehem nyengine mwisho saa tano na chips kwa kawaida zinaanza kuuzwa jioni kwaio suala la mda nalo linazingatiwa ili 'tajiri' achungue ngapi
 
Niliifanya kitaa ila palikua na mzungu wa watu, viaz km viaz havina faida xana, endapo utakua mjanja kuweka vifuatavyo utakua na uhakika zaid; mishikaki, ndizi, soseji, samaki, kuku na vinywaji km vile juic za matunda na soda na maji...
 

sitaweza nina majukum chungu nzima yaaani wakoloni wamekua wakali na wakikuongezea hata 100 katika salary basi ndo inakua shughuli si ya kitoto si umeona hata uwepo wangu humu umekua magumashi tangu january ni shidaa

MI NAONA HIVI KWA SIKU MI NAMWAMBIA ANILETEE LETSAY 30000 nitamuanzishia kwa kumnunulia labda kuku 10,viazi gunia moja,na mayi tray kazaa so kutoka pale nitakua nachukua ela tu kiasi flani yeye hata akipata laki ngapi jitachukua tu kiwango cha ela nilichopangiana nae

kama alivyoshauri bwana utafiti hapo juu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…