The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
hongera kwa ujasiria mali
nafikiri changamoto kuubwa mno ni kujua hasa viazi vizuri ni vipi
kuna muuza chipsi mmoja huwa najiuliza why chips zake ni nzuri kila siku na watu wanapita
watu weengi kumfuata.....siku moja nikamsikia kabisa anasema kuna viazi na viazi
yeye viazi vyake anavifuata sehemu na anavijua kwa macho....
kabla ya hapo mi nilifikiri viazi vyote ni sawa tu kumbe kuna siri hapo
kingine usafi wa dogo na vifaa na kachumbari iwepo nzuri na usiwajibu wateja 'kachumbari imeisha'
wengine kachumbari ndo muhimu kuliko chips.........
nafikiri changamoto kuubwa mno ni kujua hasa viazi vizuri ni vipi
kuna muuza chipsi mmoja huwa najiuliza why chips zake ni nzuri kila siku na watu wanapita
watu weengi kumfuata.....siku moja nikamsikia kabisa anasema kuna viazi na viazi
yeye viazi vyake anavifuata sehemu na anavijua kwa macho....
kabla ya hapo mi nilifikiri viazi vyote ni sawa tu kumbe kuna siri hapo
kingine usafi wa dogo na vifaa na kachumbari iwepo nzuri na usiwajibu wateja 'kachumbari imeisha'
wengine kachumbari ndo muhimu kuliko chips.........