tawfiq
Member
- Aug 9, 2014
- 16
- 7
Hi! Guys mm ni kijana mwenye umri wa miaka 19 m/mungu ameniwezesha kupata kiac cha fedha sh 9450000 ili niweze kufungua biashara.
Je nauliza kwa wenye kujua biashara ya chips inalipa?? Na je inahitaji kiac gni kufungua biashara hyo?
Na je nkifungua pub italipa?? Naombeni ushauri wenu please
Je nauliza kwa wenye kujua biashara ya chips inalipa?? Na je inahitaji kiac gni kufungua biashara hyo?
Na je nkifungua pub italipa?? Naombeni ushauri wenu please