masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Inategemea na eneo ulipo pia, kama ni dar Kinondoni hata saa kumi na moja alfajiri unapata chips tena za moto tu, sehem nyengine mwisho saa tano na chips kwa kawaida zinaanza kuuzwa jioni kwaio suala la mda nalo linazingatiwa ili 'tajiri' achungue ngapi
je utamuanzishia na ngapi???utampa kila kitu viazi,mayai and the like alafu atalipa au inakuaje elaborate kidogo hapo