Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Inategemea na eneo ulipo pia, kama ni dar Kinondoni hata saa kumi na moja alfajiri unapata chips tena za moto tu, sehem nyengine mwisho saa tano na chips kwa kawaida zinaanza kuuzwa jioni kwaio suala la mda nalo linazingatiwa ili 'tajiri' achungue ngapi

je utamuanzishia na ngapi???utampa kila kitu viazi,mayai and the like alafu atalipa au inakuaje elaborate kidogo hapo
 
Niliifanya kitaa ila palikua na mzungu wa watu, viaz km viaz havina faida xana, endapo utakua mjanja kuweka vifuatavyo utakua na uhakika zaid; mishikaki, ndizi, soseji, samaki, kuku na vinywaji km vile juic za matunda na soda na maji...

mkuu plz kwa heshima na taadhima naomba uniambie kwa nininunasema viazi havina faida

why ndizi na soseji na mishikaki ndo inafaida ur help plz
 
wewe pia ni kijana13 nimekujibu pm naona kimya ongeza 10niulete mzigo itakuwa ni kila siku wa kwako mi unaleta nyt tu na cash
nijibu huko tumalizzane nimekujibu naona kimya

Hapana mimi sio kijana13.
 
je utamuanzishia na ngapi???utampa kila kitu viazi,mayai and the like alafu atalipa au inakuaje elaborate kidogo hapo

Unampa kila kitu kinachohitajika, kwamaana kwamba hapo mtaji ni wako, thn kama wiki moja hivi unaangalia biashara inaendaje, vikiisha vile vitu vya mwanzo, yaani mafuta, viazi, mkaa, ndio utapata jibu. Utakua unajua mauzo na matumizi kwa siku ni shingp, na inayobaki ni ngapi, kama una na vinywaji basi uwezekano wa 'tajiri' kupata 25 mpka 30 kwa siku upo...
 
sitaweza nina majukum chungu nzima yaaani wakoloni wamekua wakali na wakikuongezea hata 100 katika salary basi ndo inakua shughuli si ya kitoto si umeona hata uwepo wangu humu umekua magumashi tangu january ni shidaa

MI NAONA HIVI KWA SIKU MI NAMWAMBIA ANILETEE LETSAY 30000 nitamuanzishia kwa kumnunulia labda kuku 10,viazi gunia moja,na mayi tray kazaa so kutoka pale nitakua nachukua ela tu kiasi flani yeye hata akipata laki ngapi jitachukua tu kiwango cha ela nilichopangiana nae

kama alivyoshauri bwana utafiti hapo juu

all the best.
 
Changamoto kubwa ni wanawake wenzio, sijui chips wanaipendea nini kiasi cha kukubali "kuliwa" sababu ya chips na soda tu.

Watamrubuni kijana wako mpaka wajiwekee uhakika wa kupata chips za bure kila siku jioni! Sasa uombe Mungu awe mwanamke mmoja maana wakiwa watano waliofanikiwa kumrubuni kijana wako ujue umeumia.

hahahaha.....naona umemjibu jibu linaloendana na jukwaa.
 
Unampa kila kitu kinachohitajika, kwamaana kwamba hapo mtaji ni wako, thn kama wiki moja hivi unaangalia biashara inaendaje, vikiisha vile vitu vya mwanzo, yaani mafuta, viazi, mkaa, ndio utapata jibu. Utakua unajua mauzo na matumizi kwa siku ni shingp, na inayobaki ni ngapi, kama una na vinywaji basi uwezekano wa 'tajiri' kupata 25 mpka 30 kwa siku upo...

nicee
so vitu vya kwanza vikiiisha nitanunua tena mimi au tunafanyaje hapo
 
nicee
so vitu vya kwanza vikiiisha nitanunua tena mimi au tunafanyaje hapo

Hapana, ukishakamilisha KILA KITU kuanzia hapo biashara inajiendesha yenyewe, tomato ikiisha anatoa kwenye hela aliouza jana anaenda kununua, na sikweli kua mauzo yote anaenda kununua vitu, hua haviishi kwa pamoja, leo mafuta kesho mkaa, na hivi sio kila siku, vyakila siku ni ile kachumbari tu
 
Hapana, ukishakamilisha KILA KITU kuanzia hapo biashara inajiendesha yenyewe, tomato ikiisha anatoa kwenye hela aliouza jana anaenda kununua, na sikweli kua mauzo yote anaenda kununua vitu, hua haviishi kwa pamoja, leo mafuta kesho mkaa, na hivi sio kila siku, vyakila siku ni ile kachumbari tu

asante sana utafiti umenifungua pakubwa sana
 
Ni biashara nzuri ila uaminifu kwa mhudumu ni jambo la msingi. Niliwahi kuifanya maeneo ya Mabibo hostel-Dar kitambo 2003 si unajua kupandisha bumu, ila sikuwa na mhudumu mzuri kwasababu baada ya kuona inaenda vizuri siku hiyo kauza sana, mimi ikiwanakomaa na nyanga za slub akaamua kutoroka na vitu kuviuza. Nilimtafuta nabaada ya wiki nikamata na kumpeleka polisi hana hata shiligi. ilibidi niwe mpole tuu na kuachana nae!
 
Nafikiri umepata mengi ya kuanzia natumaini utafanikiwa, kwa mimi ninavyojua mbali na kuuza kila kitu lakini huduma ikiwa nzuri kwa wateja I mean kukaribisha watu kwa uso mkunjufu, pindi unapoona mtu amefika, Karibu na tabasamu na kumuonyesha pa kukaa inasaidia sana. Badala ya kumwacha customer anazubaa na au kuondoka,
 
Nafikiri umepata mengi ya kuanzia natumaini utafanikiwa, kwa mimi ninavyojua mbali na kuuza kila kitu lakini huduma ikiwa nzuri kwa wateja I mean kukaribisha watu kwa uso mkunjufu, pindi unapoona mtu amefika, Karibu na tabasamu na kumuonyesha pa kukaa inasaidia sana. Badala ya kumwacha customer anazubaa na au kuondoka,

asante sana puchu nitazingatia haya huu uzi nimeusave kabisavina my tab
 
Ni biashara nzuri ila uaminifu kwa mhudumu ni jambo la msingi. Niliwahi kuifanya maeneo ya Mabibo hostel-Dar kitambo 2003 si unajua kupandisha bumu, ila sikuwa na mhudumu mzuri kwasababu baada ya kuona inaenda vizuri siku hiyo kauza sana, mimi ikiwanakomaa na nyanga za slub akaamua kutoroka na vitu kuviuza. Nilimtafuta nabaada ya wiki nikamata na kumpeleka polisi hana hata shiligi. ilibidi niwe mpole tuu na kuachana nae!

usimuamini mtu yoyote kabla hyu dogo sijamkabidhi kuna taratibu nataka nifate hawez kutoroka lazima nimjue mjini kamleta nani
ulikua unauzia pale Eat some more nini maana ile place watu huingiaga na kutoka sijui kwa nini pia milistudy mambo flan land loard pia akiona wauza sana atapandisha kod na usumvufu so yaaa zipo changamoto
 
Hii biashara ni ulimbo kwa wadada...hapo inabidi dogo apate semina elekezi namna ya kupambana na genye za ghafla...kama si hivyo..utashangaa gunia limekwisha alafu mfukoni ana buku tu...
 
Changamoto kubwa ni kugawana faida na dogo...maana atakuwa anauza na yeye gunia lake na mayai yake...na kuku wake..nilishawhi kuona mahali hii isue..
 
Back
Top Bottom