kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Aiseee hii kitu ni nzuri ukipata eneo zuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaahhhhhh!!!!! Nashukuru broo kwa msaada wako !!!!Hiyo hela inatosha mbona ndugu.. Jiko la pumba 15,000/= kabati 150,000/= jiko la mishikaki la kimtindo 20,000/=.. Jiko la mkaa ni 25,000/= ukitaka kuokoa gharama nenda gereji wakupe rim la gari baada ya hapo peleka kwa fundi welding akutengenezee.. Una mpoza hela kidogo tu..karai..sahani..flampeni..chujio havizidi 60,000/= hela unayo baki nayo n kulipia frem au kujenga banda la kimtindo na mtaji
GPA hata ingekuwa 5.0 kama huna hela ni boya tu. Fikiria kuuza Kitimoto ndo mwake-mwake. Hata wavaa kobazi wanamkubali mdudu japo kimya kimyaHabari zenu wanaJF,
Ebwana mimi ni graduate wa mwaka 2013 katika course ya banking and finance (degree) from IFM, nimetafuta internship katika benks bila mafanikio nakama kigezo ni gpa nina overall gpa ya 4.1 , hivo ninafikiria kufungua banda la chips, wadau ninaomba mawazo yenu juu ya hii biashara ninayo fikiria, what should i put in my business to attract customers.
My contact ni +255719058458
Kama mie kuna mahali naendaga kufata pilipili ya maji yenye kitunguu saumu ile. Nikifika cha kwanza nataka kujua kama ipo, incase haipo sili nasepahahaahh kweli The Boss kuna watu wanaoenda kachumbari kuliko chips
yaa jumamosi nitakuwepo mara chache kuangalia biashara inavyokwenda
yaaa viazi vya kilimanjaro sio vizuri kwa chips vinanyonya maji sana hivyo hutumia mafuta mengi mpaka kukauka si unajua kilimanjaro ardhi yake ina maji vya mikoa mingine ndo vizur na pia kimi nikiviangalia kwa macho navijua vipi ni vipi......,nishalimaga sana
usafi wa dogo ni changamoto kubw sana si unajua ukidili na viazi plus mafuta plus moto
thanx nitakwambia mahala nipo one weekend uje na marafiki zako
Watanzania hususani vijana tuna takiwa tuwaze hivi ili miaka kadhaa ijayo angalau asilimia kubwa tuta kuwa nasi tume punguza tatizo la ajira.. Wewe uki ajiri mtu mmoja..mwingine wawili..mwingine watatu..mwingine mmoja basi pole pole ndo mwendo.. Changamoto ya hiyo biashara n kumpata mtu sahihi kama hauifanyi wewe ila usivunjike moyo mm wali nisumbua sana mara ya kwanza kuleta hesabu ila sasa namshukuru Mungu nime wawekea utaratibu mpya tuna enda nao vyema tuDaaaahhhhhh!!!!! Nashukuru broo kwa msaada wako !!!!
Ngoja nianze kuhangaika... baada ya wiki mbili nitaleta mrejesho hapa MUNGU AKIPENDA
Ni kweli unachoongea broo!!!!... fursa zipo nyingi, imagine dar kuna population ya watu 5 million, hao wote wanahitaji kula na kuvaaWatanzania hususani vijana tuna takiwa tuwaze hivi ili miaka kadhaa ijayo angalau asilimia kubwa tuta kuwa nasi tume punguza tatizo la ajira.. Wewe uki ajiri mtu mmoja..mwingine wawili..mwingine watatu..mwingine mmoja basi pole pole ndo mwendo.. Changamoto ya hiyo biashara n kumpata mtu sahihi kama hauifanyi wewe ila usivunjike moyo mm wali nisumbua sana mara ya kwanza kuleta hesabu ila sasa namshukuru Mungu nime wawekea utaratibu mpya tuna enda nao vyema tu
Kijana io pesa nikubwa sana...kama ulivyoshauriwa na mdau apo juu io pesa inatosha kabisa changamoto ni pango au sehem yakuuzia,Hiyo hela inatosha mbona ndugu.. Jiko la pumba 15,000/= kabati 150,000/= jiko la mishikaki la kimtindo 20,000/=.. Jiko la mkaa ni 25,000/= ukitaka kuokoa gharama nenda gereji wakupe rim la gari baada ya hapo peleka kwa fundi welding akutengenezee.. Una mpoza hela kidogo tu..karai..sahani..flampeni..chujio havizidi 60,000/= hela unayo baki nayo n kulipia frem au kujenga banda la kimtindo na mtaji
Usiajiri mtu fanya mwenyewe. Au unaogopa mademu watakuona umefulia?Hii biashara ukipata eneo sahihi na mtu sahihi utapiga pesa ila hivyo vyote vikiwa kinyume chake andika maumivu tu..
Kiongozi mimi siogopi wanawake nina fanya kazi moja ambayo karibu mda wote ina nifanya niwe mchafu na kazi hiyo ndo iliyo nipa mtaji wa kufungua biashara hii ya chips.. So cwezi kujigawa..Usiajiri mtu fanya mwenyewe. Au unaogopa mademu watakuona umefulia?
nipe nmba zake mkuuKuna dogo alikuwa ananipigia kazi maeneo ya Tabata alikuwa muaminifu sana,sema tu biashara eneo lile ilikuwa ngumu that's why nikaachana nayo.Kama utamhitaji mfanyakaz muaminifu uni pm coz dogo mpaka leo anahita kazi.
Itakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.Wakuu habari za mchana kwa anae fahamu vijana wa kukaanga chips malipo yao yanakua kiasi tafadhali anijuze...
Shukrani mkuu kwa mchangoItakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Umenikumbusha mambo za: piece rate na time rateItakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Mm pamoja na kuwafanyia njia hii lakini napo vijana wakashindwa biashara kichaa hiiItakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Inategemea umepata kijana kutoka eneo gani, kama ni Mgogo hata ukimwambia kuwa asikuletee chochote bali pesa yote achuke, atashindwa tu.Mm pamoja na kuwafanyia njia hii lakini napo vijana wakashindwa biashara kichaa hii