Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

Hiyo hela inatosha mbona ndugu.. Jiko la pumba 15,000/= kabati 150,000/= jiko la mishikaki la kimtindo 20,000/=.. Jiko la mkaa ni 25,000/= ukitaka kuokoa gharama nenda gereji wakupe rim la gari baada ya hapo peleka kwa fundi welding akutengenezee.. Una mpoza hela kidogo tu..karai..sahani..flampeni..chujio havizidi 60,000/= hela unayo baki nayo n kulipia frem au kujenga banda la kimtindo na mtaji
Daaaahhhhhh!!!!! Nashukuru broo kwa msaada wako !!!!
Ngoja nianze kuhangaika... baada ya wiki mbili nitaleta mrejesho hapa MUNGU AKIPENDA
 
Habari zenu wanaJF,

Ebwana mimi ni graduate wa mwaka 2013 katika course ya banking and finance (degree) from IFM, nimetafuta internship katika benks bila mafanikio nakama kigezo ni gpa nina overall gpa ya 4.1 , hivo ninafikiria kufungua banda la chips, wadau ninaomba mawazo yenu juu ya hii biashara ninayo fikiria, what should i put in my business to attract customers.

My contact ni +255719058458
GPA hata ingekuwa 5.0 kama huna hela ni boya tu. Fikiria kuuza Kitimoto ndo mwake-mwake. Hata wavaa kobazi wanamkubali mdudu japo kimya kimya
 
hahaahh kweli The Boss kuna watu wanaoenda kachumbari kuliko chips
yaa jumamosi nitakuwepo mara chache kuangalia biashara inavyokwenda

yaaa viazi vya kilimanjaro sio vizuri kwa chips vinanyonya maji sana hivyo hutumia mafuta mengi mpaka kukauka si unajua kilimanjaro ardhi yake ina maji vya mikoa mingine ndo vizur na pia kimi nikiviangalia kwa macho navijua vipi ni vipi......,nishalimaga sana
usafi wa dogo ni changamoto kubw sana si unajua ukidili na viazi plus mafuta plus moto

thanx nitakwambia mahala nipo one weekend uje na marafiki zako
Kama mie kuna mahali naendaga kufata pilipili ya maji yenye kitunguu saumu ile. Nikifika cha kwanza nataka kujua kama ipo, incase haipo sili nasepa
 
Daaaahhhhhh!!!!! Nashukuru broo kwa msaada wako !!!!
Ngoja nianze kuhangaika... baada ya wiki mbili nitaleta mrejesho hapa MUNGU AKIPENDA
Watanzania hususani vijana tuna takiwa tuwaze hivi ili miaka kadhaa ijayo angalau asilimia kubwa tuta kuwa nasi tume punguza tatizo la ajira.. Wewe uki ajiri mtu mmoja..mwingine wawili..mwingine watatu..mwingine mmoja basi pole pole ndo mwendo.. Changamoto ya hiyo biashara n kumpata mtu sahihi kama hauifanyi wewe ila usivunjike moyo mm wali nisumbua sana mara ya kwanza kuleta hesabu ila sasa namshukuru Mungu nime wawekea utaratibu mpya tuna enda nao vyema tu
 
Watanzania hususani vijana tuna takiwa tuwaze hivi ili miaka kadhaa ijayo angalau asilimia kubwa tuta kuwa nasi tume punguza tatizo la ajira.. Wewe uki ajiri mtu mmoja..mwingine wawili..mwingine watatu..mwingine mmoja basi pole pole ndo mwendo.. Changamoto ya hiyo biashara n kumpata mtu sahihi kama hauifanyi wewe ila usivunjike moyo mm wali nisumbua sana mara ya kwanza kuleta hesabu ila sasa namshukuru Mungu nime wawekea utaratibu mpya tuna enda nao vyema tu
Ni kweli unachoongea broo!!!!... fursa zipo nyingi, imagine dar kuna population ya watu 5 million, hao wote wanahitaji kula na kuvaa
Inabidi tufikirie positive...

Nashkuru sana broo!!!! Nitakucheki kila changamoto nitakayoipata unisaidie kuitatua.
 
Hiyo hela inatosha mbona ndugu.. Jiko la pumba 15,000/= kabati 150,000/= jiko la mishikaki la kimtindo 20,000/=.. Jiko la mkaa ni 25,000/= ukitaka kuokoa gharama nenda gereji wakupe rim la gari baada ya hapo peleka kwa fundi welding akutengenezee.. Una mpoza hela kidogo tu..karai..sahani..flampeni..chujio havizidi 60,000/= hela unayo baki nayo n kulipia frem au kujenga banda la kimtindo na mtaji
Kijana io pesa nikubwa sana...kama ulivyoshauriwa na mdau apo juu io pesa inatosha kabisa changamoto ni pango au sehem yakuuzia,
Kwa mfano mimi ilinilazimu kutumia jiko la gesi kwasababu ya mazingira (chuo) watoto wachuo wanapenda madoido kinoma..apo nlijaribu kusatisfy custumers wangu...
Otherwise ningepambana na hayo majiko ya pumba
 
Ila biashara hii usiwe mtu wa kushoboka na mademu. Maana utaishia kugawa chips-kuku bure kwao ujira wa KIPOCHI MANYOYA mwisho wa siku unabak na madeni kwa "supplier" wa viazi, mafuta, gesi n.k
 
Kuna dogo alikuwa ananipigia kazi maeneo ya Tabata alikuwa muaminifu sana,sema tu biashara eneo lile ilikuwa ngumu that's why nikaachana nayo.Kama utamhitaji mfanyakaz muaminifu uni pm coz dogo mpaka leo anahita kazi.
nipe nmba zake mkuu
 
Wakuu habari za mchana kwa anae fahamu vijana wa kukaanga chips malipo yao yanakua kiasi tafadhali anijuze...
 
Wakuu habari za mchana kwa anae fahamu vijana wa kukaanga chips malipo yao yanakua kiasi tafadhali anijuze...
Itakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
 
Itakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Shukrani mkuu kwa mchango
 
Itakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Umenikumbusha mambo za: piece rate na time rate
 
Itakuwa vizuri kama utamwajiri bila kumlipa mshahara, bali chambua ufahamu gunia la viazi na gharama nyingine kama mafuta, mkaa n.k litanatoa shilingi ngapi, baada ya hapo awe anakulipa hesabu kwa siku kama Bodaboda, Bajaji au Daladala. Hiyo itamfanya aone kama naye ni sehemu ya kazi hiyo na atajituma zaidi. Changamoto ya kumlipa mshahara ni kwamba atakuwa na uhakika kuwa hata asipofanya kazi kwa bidii, mwisho wa mwezi atalipwa tu.
Mm pamoja na kuwafanyia njia hii lakini napo vijana wakashindwa biashara kichaa hii
 
Back
Top Bottom