dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,702
- 20,134
Ukishuka riverside mbele kabisa karibu na msikiti, kijiwe cha jamaa anauza chipsi 1000 kavu na yai 2000Hebu nielekeze hapo rivasaidi ili nikajionee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukishuka riverside mbele kabisa karibu na msikiti, kijiwe cha jamaa anauza chipsi 1000 kavu na yai 2000Hebu nielekeze hapo rivasaidi ili nikajionee
Asante dingi ngoja nikajioneeUkishuka riverside mbele kabisa karibu na msikiti, kijiwe cha jamaa anauza chipsi 1000 kavu na yai 2000
Asante dingi ngoja nikajionee
Jf ya 2014 kushuka chini unaweza kutumia kama chanzo cha utafiti wakokweli mkuu but jf pia ni sehemu ya kufanya utafiki ingawa kwenda field moja kwa moja ni muhimu zaidi nimetambua hilo
Usikute aliyefungua hapo mahali ni memba wa humuhumu yeye kaamua kwenda "streit" wakati wewe unasubiri ushauri,..lol
Mkuu ulimuuliza mtaji alotumia Je ulimuuliza changamoto alizo kumbana nazo na zimemfanya atumie kihasi gani ?
Biashara hiyohiyo unaona ipo unaweza kuta mmiliki analia.
Tatizo hujui kupika chipsi...