LEX STEELE
JF-Expert Member
- Jul 16, 2011
- 224
- 110
Jamani eeh
hebu nifahamisheni hii biashara inakuwaje maana nimepewa offer 2 leo
Moja ya mzigo unaotoka moja kwa moja from Lubumbasi
Ya pili ni iliopo hapo Dar
jamaa wanataka niwatftie wateja toka dunia nzima
wako tayari kwa inspection za kila aina ambazo mteja atataka maana isijetokea mambo ya kuuziwa mabati kama walivyofanya akina msofe
sasa mnasemaje inalipa au inakuwaje?
na pia inawezekana vipi mtu alete shaba all the way toka Congo kisha zikakaa tuu hapa Dar? inamaana mtuyuko tayari kuingia gharaa za transport na storage hivi hivi?
Nimeambiwa kuwa wahusika ni ''watu wa juu'' sasa na mie kama mtoto wa mjini huwa nakuwa na magutu na michongo hii.
Mtu wangu yuko tayari kupunguza bei up to 30 % kwa mzigo utakaotoka Lubumbashi
haya hebu nifahamisheni hili jambo limekaajeje kabla sijaingia kazini?
hebu nifahamisheni hii biashara inakuwaje maana nimepewa offer 2 leo
Moja ya mzigo unaotoka moja kwa moja from Lubumbasi
Ya pili ni iliopo hapo Dar
jamaa wanataka niwatftie wateja toka dunia nzima
wako tayari kwa inspection za kila aina ambazo mteja atataka maana isijetokea mambo ya kuuziwa mabati kama walivyofanya akina msofe
sasa mnasemaje inalipa au inakuwaje?
na pia inawezekana vipi mtu alete shaba all the way toka Congo kisha zikakaa tuu hapa Dar? inamaana mtuyuko tayari kuingia gharaa za transport na storage hivi hivi?
Nimeambiwa kuwa wahusika ni ''watu wa juu'' sasa na mie kama mtoto wa mjini huwa nakuwa na magutu na michongo hii.
Mtu wangu yuko tayari kupunguza bei up to 30 % kwa mzigo utakaotoka Lubumbashi
haya hebu nifahamisheni hili jambo limekaajeje kabla sijaingia kazini?