shufaa yusuph
New Member
- Oct 26, 2013
- 4
- 0
MKuna maelezo nitakupatia lkn ni lazima nijue unapatikana wapi/Makazi yako au wapi umelenga liwe soko lako baada ya kuwapata, ili nikupe njia raisi kulingana na wapi unapatikana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MKuna maelezo nitakupatia lkn ni lazima nijue unapatikana wapi/Makazi yako au wapi umelenga liwe soko lako baada ya kuwapata, ili nikupe njia raisi kulingana na wapi unapatikana
Mkuu kwa sasa wanapatikana? Na je ni maeneo gani.AhsantehZanzibar huku ni wengi mnoo mkuu hela yko tyu,na wanafaida sana huko balaaa
Ndo hao hao hujakosea.Ni kama wale wa Tanga?
Hilo gunia la dagaa la kilo mia lina ukubwa gani? Maana gunia la dagaa wa Mwanza kina kilo 40.Yuko jamaa zanzibar anauza dagaa wakavu kwa jumla gunia kilo 100 anauza laki 5 mpaka laki 4.5 ( 500'000- 450'000) ila sijui kama bado mzigo anao na dagaa wake sio wale wa mchanga wako vizuri sanaa
Ukubwa sitaweza kuujua nadhani hapo ushajijibu mwenyewe kama la mwanza kilo 40.. na la huyu jamaa yeye kl100 kwa ww ucheze na kilo tu hizo kuhusu ukubwa wa gunia lake sijui hufungajeHilo gunia la dagaa la kilo mia lina ukubwa gani? Maana gunia la dagaa wa Mwanza kina kilo 40.
Ila lazima litakua kwa ukubwa liko tofauti na la mwanza mkuu...Ukubwa sitaweza kuujua nadhani hapo ushajijibu mwenyewe kama la mwanza kilo 40.. na la huyu jamaa yeye kl100 kwa ww ucheze na kilo tu hizo kuhusu ukubwa wa gunia lake sijui hufungaje
Inategemeana na ujazo wa gunia, dagaa wazuri ambae hawana mchanga Huwa nawachukulia bukoba, Kila gunia linaujazo wake wa kilo, tunaweza kuwasiliana zaidi Kwa maelezo ya kinaDagaa wako unauza gunia bei gani na nataka kujua ubora wa dagaa zako mana Dagaa wa mwanza sasa sijui kwanini vumbi linakuwa jingi kuna ukaangaji mbaya
Lile la debe 15 unauza bei ganiInategemeana na ujazo wa gunia, dagaa wazuri ambae hawana mchanga Huwa nawachukulia bukoba, Kila gunia linaujazo wake wa kilo, tunaweza kuwasiliana zaidi Kwa maelezo ya kina
Hao Wa bukoba bei gan kwa kila ujazo Wa guniaInategemeana na ujazo wa gunia, dagaa wazuri ambae hawana mchanga Huwa nawachukulia bukoba, Kila gunia linaujazo wake wa kilo, tunaweza kuwasiliana zaidi Kwa maelezo ya kina
Mnataka wa kukaangwa au wakavu? Me najua wakavu kwa debe ni sh elfu 24 adi elfu 25 Wale wa bukoba hawana mchanga alafu ni grad One kuna shangazi yangu huwa namtumia yupo darBei?
Mnataka wa kukaangwa au wakavu? Me najua wakavu kwa debe ni sh elfu 24 adi elfu 25 Wale wa bukoba hawana mchanga alafu ni grad One kuna shangazi yangu huwa namtumia yupo dar
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kukaangwa cjajua wanauzaje kwa debe ngoja nije kuulizia, ila kitini cha dagaa wa kukaanga ni elfu 13 kwa debe cjajuaNa waliokaangwa je
Wa kukaangwa cjajua wanauzaje kwa debe ngoja nije kuulizia, ila kitini cha dagaa wa kukaanga ni elfu 13 kwa debe cjajua
Sent using Jamii Forums mobile app