mangare 1st
Member
- Jul 16, 2017
- 30
- 40
Kusafiri kuja mwanza kwangu ni vigumu, huwezi kuniunganisha na mtu huko nikapata gharama za mchakato mzima was gunia Hadi kufika hapa dar?Kwa Dar upande wa masoko sijui kupo vipi ila upande wa ziwani unaweza kuwa na mtu ama wew mwenyew; unanunua dagaa wabichi kwenye mtumbwi, unalipia sehemu za kuanika, unanunua mafuta, kuni, n.k dagaa zikikauka kuna wakaangaj unawalipa wanakukaangia, mna pack kwenye viroba mnalipia ushuru na kibali kama hutaki usumbufu laikni, then unasafirisha.
Mkuu, naomba kufahamu bei ya gunia la dagaa wakavu wasio na mchanga kutoka mwanza au bukoba. Bei ya jumla..nataka kuleta ArushaKwa Dar upande wa masoko sijui kupo vipi ila upande wa ziwani unaweza kuwa na mtu ama wew mwenyew; unanunua dagaa wabichi kwenye mtumbwi, unalipia sehemu za kuanika, unanunua mafuta, kuni, n.k dagaa zikikauka kuna wakaangaj unawalipa wanakukaangia, mna pack kwenye viroba mnalipia ushuru na kibali kama hutaki usumbufu laikni, then unasafirisha.
Gunia ngapi mkuu? nikakuulizie pale soko la Mwaloni kuna dagaa wakutosha huwa napita tu nazionaMkuu, naomba kufahamu bei ya gunia la dagaa wakavu wasio na mchanga kutoka mwanza au bukoba. Bei ya jumla..nataka kuleta Arusha
Ningefahamu kwanza bei yake ili nione kama nitaweza, pia usafiri kutoka mwanza hadi arusha ningependa kufahamu inakuaje. Ni Jambo la kujipanga nikishafahamu gharamaGunia ngapi mkuu? nikakuulizie pale soko la Mwaloni kuna dagaa wakutosha huwa napita tu naziona
Ningefahamu kwanza bei yake ili nione kama nitaweza, pia usafiri kutoka mwanza hadi arusha ningependa kufahamu inakuaje. Ni Jambo la kujipanga nikishafahamu gharama
Asante mkuu, ila nipo Arusha. Nikipata nafasi ya kwenda Mwanza nitafanya hivyo. Thanks.Nenda mwaloni pale mwanza mtafute mtu anaitwa jamal mweleze kuna kaka ulikua unamsafirishia dagaa kwenda Congo , alikua anafikia G&G , huyo atakueleza jinsi ya kusafirisha mzigo
Karibu mkuu nikusaidie.Kusafiri kuja mwanza kwangu ni vigumu, huwezi kuniunganisha na mtu huko nikapata gharama za mchakato mzima was gunia Hadi kufika hapa dar?
Ninauza dagaa wazuri wa bukoba, hawana mchanga kabisa, kilo 1 nauza elfu 5, ukihitaji tuwasiliane PMKusafiri kuja mwanza kwangu ni vigumu, huwezi kuniunganisha na mtu huko nikapata gharama za mchakato mzima was gunia Hadi kufika hapa dar?
Kama utahitaji mkuu tuwasiliane nikutumie ata kwa basi, ninao wazuri wa bukoba hawana mchanga kabisa na stock ipo ya kutoshaNingefahamu kwanza bei yake ili nione kama nitaweza, pia usafiri kutoka mwanza hadi arusha ningependa kufahamu inakuaje. Ni Jambo la kujipanga nikishafahamu gharama
NakupmKama utahitaji mkuu tuwasiliane nikutumie ata kwa basi, ninao wazuri wa bukoba hawana mchanga kabisa na stock ipo ya kutosha
Kutoka Mwanza kitu kama 140k -170k + usafiri Unaweza kupata, Bei inaweza kuzidi hapo au kupungua kulingana na ubora wa dagaaMkuu, naomba kufahamu bei ya gunia la dagaa wakavu wasio na mchanga kutoka mwanza au bukoba. Bei ya jumla..nataka kuleta Arusha
Sijui kama ulipata msaada Mkuu, kama bado ni Dm nikupe namba za mtu anaeweza kuwa na maelezo mazuri zaid au me mwenyewe ntakupea jibu kama litakuwa ndani ya uwezo wanguKusafiri kuja mwanza kwangu ni vigumu, huwezi kuniunganisha na mtu huko nikapata gharama za mchakato mzima was gunia Hadi kufika hapa dar?
Kwa dagaa wa mafuta litakuwa na around kilo 40 hiviGunia la dagaa debe 6 huwaga Lina kg ngap, msaada tafadhali
Vumbi la kongo. Weka namba ya sim tuwasilianeHeshima kwenu wakuu
●Naomba kujuzwa bei ya jumla ya gunia la dagaa
●Debe la dagaa lina kilo ngapi?
●Bei ya kusafirisha gunia 1 hadi DSM
Mimi niko Dar natamani kufanya hiyo biashara kama nitapata connectionMm natafuta mtu wa kufanya naye biashara ya dagaa kwa sasa niko mwanza kikaz ila natak nijikite kwenye biashara kwa maeneo ya arusha 0674477835
Mkuu Mimi nafanya hii biashara kama upo tayari niwe nakutumia mkuu, dagaa ni wazuri na safi mnoMimi niko Dar natamani kufanya hiyo biashara kama nitapata connection
Mkuu, bei zako zikoje?Mkuu Mimi nafanya hii biashara kama upo tayari niwe nakutumia mkuu, dagaa ni wazuri na safi mno