Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Jamani biashara hyo iko poaa mi namsaidia my father kampuni DEKALINK lakini kabla hujaanza tafta rasilimal watu wakuchukua iko vizuri sio mbaya maana watu wanapenda.
Mkuu Samahani hyo DEKALINK iko situated wap?
 
Yello Masai Mura Hii Business unaweza kununua kutoka Musoma - soko la Musoma linaitwa Mwigobero ukaenda kuuza Dar , Mimi mi Mhitimu WA Chuo kikuu cha Mtakatifu Augostino - Mwanza Campus lakini kwa sasa nafanya kazi ya Kusimamia na kuhakiki upimaji WA Madumu ya Dagaa , mzee Wang Mimi ndo Biashara yake na Kaka angu ananunua mpaka Tani 300 Za Dagaa anapeleka Dar kwa Falcon - Tegeta , kwa Matinde kitunda , Kibaha kwa Mama Mkuza pale Mkuza Chicks Na masoko mengineyo hii Business inahitaji Sometimes Huge amounts of money Ndo hata profit inakua maximized ILA hata wenye mitaji midogo midogo wapo na wanafanya na wanapata faida kulinga na mitaji Yao , kumbka mungu Baba ndye mtoaji WA Riziki zote.
Pia sio lazima Tu utoe Musoma PIA unaweza kutoa sehemu nyingine kama visiwani ILA kwa upande WA Musoma na Kirumba mwaloni Mimi ndo mwenyeji zaidi
Mkuu nakishukuru sana. Nitakupm tuwasiliane zaidi.
 
UZOEFU NA USHAURI

Ni muda wa Miezi Mitano sasa Toka nihitimu Chuo pale Chuo kikuu cha Mtakatifu Agostino (Mwanza) Tawi kuu. Namshukru Mungu nkapata Degree yangu ya Kwanza ya Falsafa na Elimu, lakini kwa kipindi chote hicho mpaka Sasa hivi nafanya Temporary work kwa Rafiki yang kipenzi (Boss Fulani) mmiliki wa Magari kadhaa ya mizigo na Mnunuzi wa Tani za Dagaa kutoka mikoa ya Mara na Mwanza.

Kiukweli Nje ya Business ya Magari ya Mizigo (Semi - Trailers) especially Scania R 420 , 114 n.k Jamaa hyu Business ya Dagaa inamlipa Sana kuliko Magari na pia sisi kama wasimamizi wake Maisha yanaenda japo kazi Ni Ngumu ila masilahi yapo.

Biashara hii Dagaa hufanywa kwa kuchukua Dagaa kutoka huku na kupelekwa Dar, Congo, Tunduma, Arusha na kwingineko na inalipa Sana ukizingatia yafuatayo, Mtaji, Soko, Muda wa kusimamia na juhudi na watu (Social capital), n.k

Mimi kesho na kesho na kesho ntaka Nijipange na nianze Mdogo mdogo. Karibuni Musoma karibuni Kwenye Dagaa. Tafadhali Mchanganuo kama ifuatavo; Dagaa inayonunulia ni Dagaa chafu (Chakula ya kuku) na Dagaa safi Chakula ya Binadam

1. Chakula ya kuku Inauzwa kwa Dumu yaani ndoo ya Litre 20 , Mara nyingi dagaa hii ya Chakula ya kuku huuzwa kwa Tsh. Elfu 10,000/= mpaka Elfu sita na Mia Tano kwa Kama Dagaa imepatikana nyingi Sana bei yake hususha Automatically Kwan kwenye Masoko Hufurika Sana.

UANDAAJI Chakula ya kuku huandaliwa kwa kuwekwa kwenye Gunia kubwa ambapo Kila gunia hubeba Dumu 21 na @ Gunia likipimwa hutoa kilo kuanzia 120- 95.

USAFIRI Baada ya kuandaliwa na kuwa tayari hupakiwa kwenye Magari ya mizigo na kupelekwa Kwenye Masoko kama vile Dar, Congo,Tunduma, Arusha n.k . bei ya Usafiri Inategemea Mzigo Wako na PIA Maelewano na Mwenye Gari lakini kama Semi- Trailer lenye Contena Kama vile Scania R420 Mara nyingi hubeba Gunia 270 na hapo hutegemea upakiaji WA Makuli husika na bei hapa Kwa Gari huwa Ni one million and point six 1,600,000/=

BEI kiwandani dagaa hizi huuzwa kwa kilo ambapo Kilo Ni 3500- 2500 Inategemea Upatikanaji wa Bidhaa na Kiwanda husika.

Kwa hyo gunia lenye Dumu 21, Na lenye Thamani ya Tsh. 210,000= na Gharama ya 25,000 Uaandaji usafiri , ushuru na Mengineyo na lenye kilo 120 Ambapo @ kilo 3500- 2500.

Hapo ukipiga Hesabu utakuta kwamba ni
120*3500= 420000
420000- 235000= 185000
Au 95*2500= 237500 Kama Dagaa umeinunua kwa bei nzuri na umebana Mapato saswa Sawa.

MASOKO
kwa Dar ndo habari yake Kwan ndo Viwanda vingi vya Chakula ya kuku hupatikana Hasa kwa Falcon, Kitunda kwa Matinde few to mention just Na hapa kwenye vizuri kufatilia mwenyewe kuepusha madalali na matapeli WA mujini , Nakaribisha Kitu Maswali, Matusi,Kejeli na Mengine.

MAWASILIANO

KARIBUNI MUSOMA KWENYE DAGAA WA CHAFU (CHAKULA YA KUKU)
 
HABARI ZENU WAKUU
Ni Muda WA Miezi Mitano sasa Toka nihitimu Chuo pale Chuo kikuu cha Mtakatifu Agostino (Mwanza) Tawi kuu. Namshukru Mungu nkapata Degree yangu ya Kwanza ya Falsafa na Elimu , lakini kwa kipindi chote hicho mpaka Sasa hivi nafanya Temporary work kwa Rafiki yang kipenzi (Boss Fulani) mmiliki WA Magari kadhaa ya mizigo na Mnunuzi WA Tani za Dagaa kutoka mikoa ya Mara na Mwanza.
Kiukweli Nje ya Business ya Magari ya Mizigo ( Semi - Trailers) especially Scania R 420 , 114 n.k Jamaa hyu Business ya Dagaa inamlipa Sana kuliko Magari na PIA sisi kama wasimamizi wake Maisha yanaenda japo kazi Ni Ngumu ILA masilahi yapo .
Biashara hii Dagaa hufanywa kwa kuchukua Dagaa kutoka huku na kupelekwa Dar , Congo,Tunduma, Arusha na kwingineko Na inalipa Sana ukizingatia yafuatayo, Mtaji,Soko,Muda WA kusimamia na juhudi na watu (Social capital), n.k
Mimi kesho na kesho na kesho ntaka Nijipange na nianze Mdogo mdogo
Karibuni Musoma karibuni Kwenye Dagaa.
Huyo jamaa yako sio J4 kweli??

Ni kweli mkuu kuna wale dagaa wanaitwa dagaa wachafu au chakula ya kuku na wanalipa sana.
Lukuba huko ukipata nafasi ya kwenda unapiga hela sana na vizinga vya Bunda pale.

Big up sana aiseeeee
 
Mkuu hio business Huwa naskia inalipa sana, sema ungetuwekea mchanganuo hapa kiasi cha mtaji na vinginevyo ingekua poa sana. Or Chek me on 0767328063 please niko interested
 
Aisee vepe tunasubiri mkuu pia weka mdogo ambao waweza anzia hiyo biashara
 
HABARI ZENU WAKUU
Ni Muda WA Miezi Mitano sasa Toka nihitimu Chuo pale Chuo kikuu cha Mtakatifu Agostino (Mwanza) Tawi kuu. Namshukru Mungu nkapata Degree yangu ya Kwanza ya Falsafa na Elimu , lakini kwa kipindi chote hicho mpaka Sasa hivi nafanya Temporary work kwa Rafiki yang kipenzi (Boss Fulani) mmiliki WA Magari kadhaa ya mizigo na Mnunuzi WA Tani za Dagaa kutoka mikoa ya Mara na Mwanza.
Kiukweli Nje ya Business ya Magari ya Mizigo ( Semi - Trailers) especially Scania R 420 , 114 n.k Jamaa hyu Business ya Dagaa inamlipa Sana kuliko Magari na PIA sisi kama wasimamizi wake Maisha yanaenda japo kazi Ni Ngumu ILA masilahi yapo .
Biashara hii Dagaa hufanywa kwa kuchukua Dagaa kutoka huku na kupelekwa Dar , Congo,Tunduma, Arusha na kwingineko Na inalipa Sana ukizingatia yafuatayo, Mtaji,Soko,Muda WA kusimamia na juhudi na watu (Social capital), n.k
Mimi kesho na kesho na kesho ntaka Nijipange na nianze Mdogo mdogo
Karibuni Musoma karibuni Kwenye Dagaa. Tafadhali Mchanganuo kama ifuatavo ; Dagaa inayonunulia Ni Dagaa chafu (Chakula ya kuku) na Dagaa safi Chakula ya Binadam
1. Chakula ya kuku Inauzwa kwa Dumu Yan ndoo ya Litre 20 , Mara nyingi dagaa hii ya Chakula ya kuku huuzwa kwa Tsh. Elfu 10,000/= mpaka Elfu sita na Mia Tano kwa Kama Dagaa imepatikana nyingi Sana bei yake hususha Automatically Kwan kwenye Masoko Hufurika Sana.
Uandaaji Chakula ya kuku huandaliwa kwa kuwekwa kwenye Gunia kubwa ambapo Kila gunia hubeba Dumu 21 na @ Gunia likipimwa hutoa kilo kuanzia 120- 95.
Usafiri Baada ya kuandaliwa na kuwa tyr hupakiwa kwenye Magari ya mizigo na kupelekwa Kwenye Masoko kama vile Dar, Congo,Tunduma, Arusha n.k . bei ya Usafiri Inategemea Mzigo Wako na PIA Maelewano na Mwenye Gari lakini kama Semi- Trailer lenye Contena Kama vile Scania R420 Mara nyingi hubeba Gunia 270 na hapo hutegemea upakiaji WA Makuli husika Na bei hapa Kwa Gari huwa Ni one million and point six 16000,000/=.
Bei kiwandani dagaa hizi huuzwa kwa kilo ambapo Kilo Ni 3500- 2500 Inategemea Upatikanaji WA Bidhaa na Kiwanda husika.
Kwa hyo gunia Lenye Dumu 21, Na lenye Thamani ya Tsh. 210000= na Gharama ya 25000 Uaandaji usafiri , ushuru na Mengineyo na lenye kilo 120 Ambapo @ kilo 3500- 2500 .
Hapo ukipiga Hesabu utakuta kwamba Ni
120*3500= 420000
420000- 235000= 185000
Au 95*2500= 237500 Kama Dagaa umeinunua kwa bei nzuri na umebana Mapato saswa Sawa. Masoko kwa Dar ndo habari yake Kwan ndo Viwanda vingi vya Chakula ya kuku hupatikana Hasa kwa Falcon, Kitunda kwa Matinde few to mention just Na hapa kwenye vizuri kufatilia mwenyewe kuepusha madalali na matapeli WA mujini , Nakaribisha Kitu Maswali, Matusi,Kejeli na Mengineyo Mchana Mwema
Vipi uhakika wa upatikanaji wa hiyo dagaa hapo Musoma?

Ni maeneo gani hizi dagaa za mifugo zinapatikana kwa wingi hapo Musoma?

Nikihitaji semi moja ya tani 29. mathalani itanichukua siku ngapi kuikusanya?

Je naweza kuzihifadhi dagaa kwa muda wa siku ngapi bila kuharibika kabla ya kupeleka kuuza kiwandani,hasa ukizingatia hali ya joto la hapa Dar?

Na je zipi ni changamoto kubwa katika biashara hii?

Naomba majibu kwa manufaa ya wengi hapa Jf.
 
Vipi uhakika wa upatikanaji wa hiyo dagaa hapo Musoma?

Ni maeneo gani hizi dagaa za mifugo zinapatikana kwa wingi hapo Musoma?

Nikihitaji semi moja ya tani 29. mathalani itanichukua siku ngapi kuikusanya?

Je naweza kuzihifadhi dagaa kwa muda wa siku ngapi bila kuharibika kabla ya kupeleka kuuza kiwandani,hasa ukizingatia hali ya joto la hapa Dar?

Na je zipi ni changamoto kubwa katika biashara hii?

Naomba majibu kwa manufaa ya wengi hapa Jf.
UPATIKANAJI WA DAGAA MUSOMA NA CHANGAMOTO

1. Kwa Hapa Musoma Dagaa inapatikana Sana Maeneo ya Mwigobero kwani ni sehemu ambayo Dagaa uletwa kutoka Sehemu Mbali mbali na Kuja kuuzwa hapa.

2. Uhakika upo Kwan Huletwa kutoka Maeneo Tofauti

3. Zitatapatakana na itachukua Siku Mbili Semi ya Tani 29 Ni sawa na Dumu 2000 Ambazo naweza kuzipima kwa siku mbili au Tatu kama Dagaa imepatikana Sana

3. Muda ambao Dagaa chakula ya kuku hukaa zaidi ya Mwezi mmoja kabla ya kupelekwa kiwandani na PIA hutegemea aina ya Dagaa uliyonunua Cha msingi iwe chakula ya kuku ila yenye ubora isiwe na konokono Sana, Furu wengi Sana au isiwe ile size ndogo Sana Kwan ya aina hii ikikaa muda Fulani inachange color na kuwa red Sana.

4. Haaa Haaa Changamoto hapa ndg yangu ni nyngi Sana kwanza FITINA baina ya wafanya biashara , Uchawi lazima uwe nao WA kutosha, kubadilika kwa upepo ambao unaweza kuathiri upatikanaji mzuri wa Dagaa lakini hii utegemea miezi Fulani example June, July na August kidogo.

Na Dawa ya hizi Changamoto Ni wewe Mwenyewe Kwanza namna unavoongea na wateja Wako na PIA wewe unajiwekaje ( Personality) kwanza, Mimi Hapa Mwigobero ni Mzoefu Mpaka Sasa Nina Miaka Minne niko Hapa Toka Nimalize Form Six Nkaja hapa kusimamia Ushuru wa mjomba nkapata Marafiki wafanyabiashara nimekua nikisoma Chuo nikpata likizo nakuja npaga kazi napata pesa ya kurudia Chuo kwa huu muda nimebahatika kujenga mahusiano mazuri na watu wote hapa Degree yangu ya Falsafa na Elimu kutoka Saint Augustine iko kichwani na sio mdomoni.

Sina kujiona wala kujisikia kwa lolote napiga kazi zote Kuanzia kusimamia mpaka Kutwisha makuli mizigo huku Nikisubiria Baba Magufuli Rais wetu apige kipenga vijana tuingie J.K.T au Tukapige Chalk afu Mimi nchecke na CRDB, EQUITY AU NMB nikope nije huku tena.
 
Back
Top Bottom