Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Biashara ya Dagaa: Mjadala wa Uendeshaji, Masoko, Faida, Hasara na Changamoto zake

Usiogope fanya reseach na apo dar... Ujue ni watu gani unawatarget na biashara yako utaiweka wapi location!!! Then business round hii inahitaji ubunifu mkuu, tumia fursa za kwenye mtandao kujitangaza" then anza biashara yako kikubwa uwe na office mkuu na ili utoboe make sure unakuwa msafi kuanzia wewe mwenyewe... Na umu Jamii Forums tayari kuna watu wapo dar watakuungisha.... Usiogope na biashara haijaribiwi bro ukiamua kufanya biashara usikubali kufeli wekeza pia na akili yako kwenye iyo biashara kwaku onyesha ubunifu wako na kujitofautisha na wengine maana wapo wanaouza kabla yako!!! Then fanya biashara.... Sina hakika kama wote humu wanafanya biashara so hata kukiwa na majibu yakukukatisha tamaa usijali, jiamini na amini zaidi wazo lako cuz wewe ndo mtendaji, hongera sana chapa kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka ndo anaanza biashara
Biashara yenyewe dagaa wa kukaanga
Asifungue ofisi kwanza mpaka apate mzunguko mzuri wa biashara asijepoteza hela ya kodi bure

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Mkuu,
Kwakuwa wazo lako ni biashara ya dagaa, nadhani hata biashara ya samaki wengine itakufaa!
Sababu samaki na dagaa naona ni kama kitu kile kile.
Kwakuwa wewe uko hapo dar, na naona umeandika kuwa wewe ni mwenyeji (kama sijakosea).
Basi tafuta soko la samaki (sehemu utakapo uza samaki)
Mimi niko nje kidogo ya dar (kilomita 160 hivi) nafanya hili na lile.
Hapa nilipo kuna samaki wengi sana, ninaposema wengi elewa ni wengi.
Hali jinsi ilivyo, unakuja mpaka eneo husika, hapa kuna samaki wanauzwa kwa kipimo cha ndoo kubwa.
Ndoo ni wastani wa 20k - 25k hapo ni mwisho!
Kwa bei hiyo, ukinunua samaki wa 200k, ni mzigo wa kuzidi sana, mwingi. unaweza wakaanga au ukawabanika.
Hao ni samaki wa magamba.
Ukija kwenye kambale na jamii zake pia hao ni wengi mara dufu zaidi!
Samaki wapo, wananuzi hawatoshi.
Swala la usafiri huku ni boda boda, ila mvua ikinyesha njia ni mziki kidogo.
Mtandao pia huku inakupasa upande japo kisiki ndiyo uwe hewani (niko juu ya mti hapa ninapotype).
Keybord imejaa!
Elekeza unakopatikana na aina gani ya samaki maana wa magamba wako wengi
Au labda Kama unataka ufanye biashara na mtu mmoja sawa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni kijana wa miaka 26, baada ya kumaliza kusoma kitabu cha “rich dad poor dad” nakumbuka nilikuja na uzi wa kuahidi kuyafanyia kazi yale yote niliyojifunza kutoka kwenye kitabu kile.

Basi nilianza kufanya saving za hapa na pale mpaka sasa nina laki 4 na elfu 32, wazo la biashara nililokuwa nalo toka muda niliplan kufanya biashara ya dagaa wa kukaangwa kutoka mwanza kwenda Dar so jana nilipata nafasi ya kwenda pale ferry kuuliza bei na vitu kama hivyo.

Ndoo ya dagaa wa kukaangwa ni elfu 65, boksi la package ni elfu 1500, kutoka pale ferry mpaka nata kwenye mabasi ya zuberi ni elfu 1000 kwa boda boda, kusafirisha mzigo kuanzia debe moja ni elf 10000 hadi 15 elfu. Sasa hapa najiuliza mimi uko Dar nitauzaje hao dagaa ili kufidia hizo gharama na nipate faida?

Dar es salaam bado sijafanya utafiti wa soko lenyewe hapa si naenda kuangukia pua wakuu? Nimetoka kusoma ule uzi wa hasara gani umepata kwenye maisha yako ndo nimeishiwa nguvu kabisa.

Naomba mtu mwenye uzoefu wa hii biashara aniambie kwa mchanganuo huo wa gharama naweza vipi kupata faida nikija kuuza Dar au kama nitaangukia pua mniambie mapema, kitabu Kimenifunza kutake risk lakini mmmh.

Nb. Mimi makazi yangu yapo Dar so ni mwenyeji sema Mwanza nipo kwa muda huu.
Mkuu ni hatua kubwa na ya kupewa kongole kuweza kuweka akiba, pamoja na kufanya utafiti wa biashara unayotaka kuifanya.

lakini bado hujamaliza utafiti wako kelele za nn ? rudi na upande wa dar uone uhitaji wake na vile wauzaji wengine wanavyouza ili ujue kama na ww utapata faida.

Lakini mkuu endelea na utafiti vipi ukichukua wabichi na kukaanga mwenyewe gharama ni hizo hizo ? ebu jaribu kuwaza zaidi na zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaribu kufanya haya.

1. Njoo Dar, Nenda soko lolote kodi meza then ukiagiza mzigo unauza mwenyewe.

2. Option 2, Tumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, WhatsApp na Twitter.
Ukipata mteja ndio utume mzigo.
 
Office sio lazima kupanga frem mkuu!! Anaweza kuwa na meza sehemu ila akaboresha muonekano wa iyo meza... Na kwa dar location zipo nyingi ni yeye mwenyewe kujipanga
Kumbuka ndo anaanza biashara
Biashara yenyewe dagaa wa kukaanga
Asifungue ofisi kwanza mpaka apate mzunguko mzuri wa biashara asijepoteza hela ya kodi bure

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya ndoo Ni 40,000. Kama vipi nikupe hookup na jamaa,

Lakini SI uzame mwenyewe kisiwani,unanunua dagaa wabichi toka kwa wavuvi,unakaangaa na kuja nao town tayari kwa kusafirisha
 
mkuu ni hatua kubwa na ya kupewa kongole kuweza kuweka akiba, pamoja na kufanya utafiti wa biashara unayotaka kuifanya. lakini bado hujamaliza utafiti wako kelele za nn ? rudi na upande wa dar uone uhitaji wake na vile wauzaji wengine wanavyouza ili ujue kama na ww utapata faida.
Lakini mkuu endelea na utafiti vipi ukichukua wabichi na kukaanga mwenyewe gharama ni hizo hizo ? ebu jaribu kuwaza zaidi na zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nimewaza mkuu ngoja niendelee na utafiti kama ulivyonishauri nijue na gharama za mafuta pia. Thanks
 
mkuu ni hatua kubwa na ya kupewa kongole kuweza kuweka akiba, pamoja na kufanya utafiti wa biashara unayotaka kuifanya. lakini bado hujamaliza utafiti wako kelele za nn ? rudi na upande wa dar uone uhitaji wake na vile wauzaji wengine wanavyouza ili ujue kama na ww utapata faida.
Lakini mkuu endelea na utafiti vipi ukichukua wabichi na kukaanga mwenyewe gharama ni hizo hizo ? ebu jaribu kuwaza zaidi na zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo nimewaza mkuu ngoja niendelee na utafiti kama ulivyonishauri nijue na gharama za mafuta pia. Thanks
 
Bei ya ndoo Ni 40,000,,Kama vipi nikupe hookup na jamaa,
Lakini SI uzame mwenyewe kisiwani,unanunua dagaa wabichi toka kwa wavuvi,unakaangaa na kuja nao town tayari kwa kusafirisha
Dah kumbe mkuu, vp kisiwani unamaanisha ukerewe? hiyo elf 40 wanakua wabichi sio ama wameshakaangwa? Naomba unijibu mkuu usichoke.
 
Ahsante
Jaribu kufanya haya.

1. Njoo Dar, Nenda soko lolote kodi meza then ukiagiza mzigo unauza mwenyewe.

2. Option 2, Tumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, WhatsApp na Twitter.
Ukipata mteja ndio utume mzigo.
sana mkuu🙏🏿
 
Hiyo bei kwa mwanza kubwa sana hapo unapigwa na hutapata faida
Kuna sehem nakuelekeza nenda mwenyewe ukaone bei maana zinabadilikaga ila haifiki hiyo 65
Unaenda urafiki pale wanapouzaga mitumba na mbegi ,mwisho kabisa Kuna barabara ya vumbi unaenda moja kwa moja mpaka sehemu Kuna kidaraja ukishakimaliza kushoto utaona malori ingia humo muulize dada anaitwa mage anauza dagaa toka mwanza au musoma waliokaa gwa au ingia angaza angaza utamwona
Kuhusu soko tumia akili yako ya shule +ya kuzaliwa
Kuhusu uuzeje na kufanya packaging ukishakuwa tayari useme

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante sana mkuu nitamtafuta🙏🏿
 
Dah kumbe mkuu, vp kisiwani unamaanisha ukerewe? hiyo elf 40 wanakua wabichi sio ama wameshakaangwa? Naomba unijibu mkuu usichoke.
Yes ukerewe,lakini ukerewe Ni mjini,viko visiwa vingine arround,
Yes dagaa wamekaangwa tayari 40,000 Hapo kirumba mwaloni
 
It s
Jaribu kufanya haya.

1. Njoo Dar, Nenda soko lolote kodi meza then ukiagiza mzigo unauza mwenyewe.

2. Option 2, Tumia mitandao ya kijamii kama Facebook, Instagram, WhatsApp na Twitter.
Ukipata mteja ndio utume mzigo.
Ahsante mkuu nitazifanyia utafiti izo options zote mbele nijue inanifaa ipi.
 
Dah kumbe mkuu, vp kisiwani unamaanisha ukerewe? hiyo elf 40 wanakua wabichi sio ama wameshakaangwa? Naomba unijibu mkuu usichoke.
Advantage ya kwenda visiwani,,ndoo dagaa wabichi utanunua chini ya 10,000,,then unatafuta mmama anakukaangia,unabeba mzigo kuja town
 
Yes ukerewe,lakini ukerewe Ni mjini,viko visiwa vingine arround,
Yes dagaa wamekaangwa tayari 40,000 Hapo kirumba mwaloni
Ahaaa kumbe nikienda mwenyewe visiwani nikaandaa mwenyewe dagaa naweza kutumia gharama ya chini zaidi ya elf 40 sio. Ngoja nijipange mkuu lazima niende. Thanks
 
Advantage ya kwenda visiwani,,ndoo dagaa wabichi utanunua chini ya 10,000,,then unatafuta mmama anakukaangia,unabeba mzigo kuja town
😳😳😳😳 mkuu kumbe huku mjini ilikua nipigwe kinoma yani eti ndoo elf 70 mwisho 65 . Ngoja nijipange niende, vp gharama za usafiri kuanzia mzigo namimi mwenyewe?
 
Mimi ni kijana wa miaka 26, baada ya kumaliza kusoma kitabu cha “rich dad poor dad” nakumbuka nilikuja na uzi wa kuahidi kuyafanyia kazi yale yote niliyojifunza kutoka kwenye kitabu kile.

Basi nilianza kufanya saving za hapa na pale mpaka sasa nina laki 4 na elfu 32, wazo la biashara nililokuwa nalo toka muda niliplan kufanya biashara ya dagaa wa kukaangwa kutoka mwanza kwenda Dar so jana nilipata nafasi ya kwenda pale ferry kuuliza bei na vitu kama hivyo.

Ndoo ya dagaa wa kukaangwa ni elfu 65, boksi la package ni elfu 1500, kutoka pale ferry mpaka nata kwenye mabasi ya zuberi ni elfu 1000 kwa boda boda, kusafirisha mzigo kuanzia debe moja ni elf 10000 hadi 15 elfu. Sasa hapa najiuliza mimi uko Dar nitauzaje hao dagaa ili kufidia hizo gharama na nipate faida?

Dar es salaam bado sijafanya utafiti wa soko lenyewe hapa si naenda kuangukia pua wakuu? Nimetoka kusoma ule uzi wa hasara gani umepata kwenye maisha yako ndo nimeishiwa nguvu kabisa.

Naomba mtu mwenye uzoefu wa hii biashara aniambie kwa mchanganuo huo wa gharama naweza vipi kupata faida nikija kuuza Dar au kama nitaangukia pua mniambie mapema, kitabu Kimenifunza kutake risk lakini mmmh.

Nb. Mimi makazi yangu yapo Dar so ni mwenyeji sema Mwanza nipo kwa muda huu.

USHAURI: KAMA HUJUI PA KUANZIA USITEGEMEE FAIDA YA HARAKA

Habari ndugu. Hongera sana kuingia katika ujasiriamali. Hakuna tatizo kusoma vitabu sababu unaongeza elimu. Ila ukweli nikuambie kwamba waandishi wa hivyo vitabu wako kimaslahi zaidi. Huyo mwandishi wa hicho kitabu Kiyosaki anaitwa, yeye kampuni yake inayotoa hivyo vitabu ilifilisika na hadi aka-file bankruptcy. Sasa jiulize mtu anayeshauri vizuri anafilisikaje kama sio uongo tu kaandika.

Kiukweli kujua biashara ni kuifanya. Na utakapoifanya ndio utajifunza. Umetaka faida, napenda kukupa habari mbaya kwamba usitegemee faida hadi baadaye sana kwa hio biashara sababu umeshasema hauna soko na haujui pa kuanzia. Manake utafanya makosa mengi kwanza ya kujifunza ambayo yataleta hasara hadi ukipata mfumo mzuri ndio utapata faida. Kwa hio kama lengo ni faida sasa hivi, tafuta biashara unayoijua vizuri sana, na ambayo tayari una wateja ndio uanze nayo hio. Manake tafuta wateja kwanza kabla ya kuanza. Kama ni dar, usinunue bidhaa tafuta wateja wa uhakika kabisa kabis, ndio upeleke bidhaa upate hela yako. Hongera tena. Ujasiriamali ni mzuri sana, lakini mwanzo una changamoto nyingi.
 
Back
Top Bottom