linahbaby
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,087
- 3,084
Rejea kichwa cha habari hapo juu.
Nina mpango wa kufanya biashara ya dagaa wa kukaanga wa Mwanza niwe napaki kwa vipakeji nasafirisha mikoa hii Dar na Moshi Ila sina uzoefu.
Naombeni kujua changamoto na je ni lazima nikatie kibali mtaji wangu ni wa laki tu nisaidieni njia za kufikia lengo.
Nina mpango wa kufanya biashara ya dagaa wa kukaanga wa Mwanza niwe napaki kwa vipakeji nasafirisha mikoa hii Dar na Moshi Ila sina uzoefu.
Naombeni kujua changamoto na je ni lazima nikatie kibali mtaji wangu ni wa laki tu nisaidieni njia za kufikia lengo.