Nrangoo
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 3,407
- 5,418
Mkuu kwa mfano ukanunua dagaa kisha ukahifadhi mpaka wakati ambao dagaa wanaadimika kutokana na changamoto ya hali ya hewa si unaweza kuuza kwa bei nzuri zaidi?
mkuu kisiwa cha GOZIBA ushafika? Nimeshauriwa nitulie mpaka mvua zikate kwanza kwasababu sasa hivi bei ya dagaa ipo juu itanisumbua kupata mteja sokoni hii ni kweli mkuu?