Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Guys juzi juzi nilikua Zimbabwe napenda ku-share nanyi kwamba kule biashara hii inalipa sana.
Kwa siku hiace (high/super roof) inaingiza 80$ na flat base inaingiza 60$.
Changamkieni.
Kwani huko hamna DART?