Biashara ya daladala(hiace) Zimbabwe

Biashara ya daladala(hiace) Zimbabwe

Guys juzi juzi nilikua Zimbabwe napenda ku-share nanyi kwamba kule biashara hii inalipa sana.
Kwa siku hiace (high/super roof) inaingiza 80$ na flat base inaingiza 60$.
Changamkieni.


Kwani huko hamna DART?
 
Asiwadanganye mtu. Wa Zimbabwe ni wabaguzi sana na maisha pale ni magumu sana kisa kidogo tu unafungwa.Mkiingia kichwa kichwa Chikurubi maximum security prison ndio yatakua makazi yenu
 
Back
Top Bottom