Msafirisha madawa Haram sio mwenzetu.Kuwa na huruma mkuu hujasoma hapo juu kuwa ni watanzania wenzetuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msafirisha madawa Haram sio mwenzetu.Kuwa na huruma mkuu hujasoma hapo juu kuwa ni watanzania wenzetuu
😀😀😀😀kwamba walitua uwanja wa ndege wa Mumbai na kirikuu?
Hawa watu hua wanaangalia Soko au huenda India ilikua ni Gateway tu.Kwa kweli sijaelewa hapa..
Yaani walikuwa wanapeleka barafu kwa eskimos?
Duuh... hiyo route itakuwa wenge sanaHawa watu hua wanaangalia Soko au huenda India ilikua ni Gateway tu.
Hata wangekuwa raia wa nchi nyingine mbali na Tanzania ''Watakoma'' tu.Kuwa na huruma mkuu hujasoma hapo juu kuwa ni watanzania wenzetuu
India cocaine hakuna hukoKwa kweli sijaelewa hapa..
Yaani walikuwa wanapeleka barafu kwa eskimos?
Kwani walienda kwa miguu?Wangepanda ndege
Unamuonea huruma muuza madawa?Kuwa na huruma mkuu hujasoma hapo juu kuwa ni watanzania wenzetuu
Washtakiwa hao walitambuliwa kuwa ni Mtwanzi Carlos Adam na Rashid Paul Sayula, ambao walisafiri kutoka Dar es Salaam nchini Tanzania kwenda Mumbai kupitia Addis Ababa kwa mujibu wa kitengo kwa kupambana na Dawa za Kulevya cha Mumbai.
![]()
Kurugenzi ya Upelelezi wa Mapato (DRI) alisema wamewqkamata raia wawili wa Tanzania katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mumbai wakiwa na vidonge 151 vya dawa ya kulevya aina ya cocaine, kwa jumla ikiwa na uzito wa zaidi ya kilo 2.2, iliyofichwa ndani ya matumbo yao.
“Wawili hao walikamatwa na maafisa wa kitengo cha ukanda wa DRI cha Mumbai mnamo Aprili 22 kulingana na pembejeo za ujasusi kwamba walikuwa wakibeba vitu vya marufuku kwa kuzificha mwilini mwao,” afisa huyo aliongeza.
Baada ya kuwaweka chini ya ulinzi katika uwanja wa ndege, uchunguzi wao wa kimatibabu ulifanywa katika Hospitali ya serikali ya JJ kwa maagizo ya korti, aliongeza.
Wakati wa uchunguzi wao wa X-ray, uwepo wa nyenzo zingine za kigeni ziligunduliwa ndani ya tumbo lao, na baada ya hapo walilazwa hospitalini, alisema, akiongeza kuwa wakati wa kukaa kwao kwa siku sita kwa muda hadi Aprili 28, Mtwanzi alisafisha vidonge 54 , wakati Sayula alisafisha vidonge 97.
“Jumla ya gramu 810 za unga mweupe zilipatikana kutoka kwa vidonge 54 na gramu 1,415 za poda kama hiyo kutoka kwa vidonge 97. Wakati wa kupima unga huo uligundulika kuwa kokeni,” afisa huyo alisema.
Katika taarifa zao, Mtwanzi na Sayula walikiri kumeza vidonge kabla ya kuanza safari ya kwenda Mumbai, alisema.
Washtakiwa wote wawili walikamatwa rasmi siku ya Alhamisi na kufikishwa mbele ya korti ya eneo hilo, ambayo iliwaweka rumande.
Naunga mkono hoja. Kuna coordinated effort ama payroll kabisa. Viza za kwenda India walizipataje, Airport mpya yenye vifaa vya kisasa na trained staff jamaa wamepitaje. Hapa lazima kulikuwa na lubricating grease ya kulainisha mikono ya watendaji.Uhalifu hauwezi kuisha kabisa ila kuna namna ya kupunguza, kipindi cha jei kei wa Tanzania tulikuwa tuna vyumba vyetu maalum vya ukaguzi tunapofika viwanja vya Ndege kwani nchi ilikuwa ni transit...
Safari waliyokuwa wanakwenda/nchiwalipenyaje pale JK Nyerere? Hii biashara ngumu sana, tukubaliane kuwa TANZANIA ni border zuri! Hao ndio tuwasahau kabisa na wamekiri.
Ninachokiandika ndio uhalisia hata jiwe alipokuwepo bado hizi biashara ziliendelea,ss sijui huko zilipopungua ni wap au Nanjilinji Lindi?Dah! [emoji28],wewe unaishi shimoni kiasi kwamba ushindwe kuona kinachoendelea ndani ya jamii mpaka usubili vyombo vya habari[emoji28].Nonsense