Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu

Biashara ya duka la rejareja inahitaji roho ngumu

Mkuu umewahi ifanya hii biashara? Umesoma pia comments/ushauri wa waliotangulia? Naona wewe ni mkataji tamaa mzuri sana. Hii biashara ina faida sana. Sijawahi ifanya ila ina faida kubwa kutokana na utafiti nilioufanya

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa maduka ya mtaani ukiuza sana faida waweza pata 10000/=ukitaka kupata faida nzuri weka bia..hapo utapata faida nzuri..sukari inafaida ya sh 7500..ss km unauhakika wa kumaliza sukari ndan ya siki 3 hewala..mafuta kupikia faida yake nakumbuka ilikua 5000 ndoo kubwa..ndoo ndg 2400..faida yake uuz yale madumu..unga ngano faida haizid 7000..utanengeneka nao wee kwa 3wks..sembe faida haizid 7000 utakesha nao 2wks..!binafs ht nibembelezwe vipi sitakuja ifanya tena!ukikaa mwanamke dukan utakopwa bia na wanaume balAa then wanaishia kukutongoza😏😏😏!kwenye duka kitu kinacholeta faida ni

1. Mafut ya taa, bia na vinywaji vyote
3. Sigara zote, lakini mchele sijui maharage faida zake hazizidi 300/kama sio wehu ni nn
 
Kwa maduka ya mtaani ukiuza sana faida waweza pata 10000/=ukitaka kupata faida nzuri weka bia..hapo utapata faida nzuri..sukari inafaida ya sh 7500..ss km unauhakika wa kumaliza sukari ndan ya siki 3 hewala..mafuta kupikia faida yake nakumbuka ilikua 5000 ndoo kubwa..ndoo ndg 2400..faida yake uuz yale madumu..unga ngano faida haizid 7000..utanengeneka nao wee kwa 3wks..sembe faida haizid 7000 utakesha nao 2wks..!binafs ht nibembelezwe vipi sitakuja ifanya tena!ukikaa mwanamke dukan utakopwa bia na wanaume balAa then wanaishia kukutongoza😏😏😏!kwenye duka kitu kinacholeta faida ni
1.mafut ya taa
.bia na vinywaji vyote
3.sigara zote
lakini mchele sijui maharage faida zake hazizidi 300/kama sio wehu ni nn
Manengeloo bora wewe unajua faida hii na mchanganuo mzima wengine wanaanza tu wafanye kwa mazoea.
 
Umenikumbusha wakati nasoma sekondari..... miaka ile maduka mengi ya wapemba. Na ule utaratibu wa kununua mahitaji ya nyumbani ya mwezi mzima haukuwepo.... mfano sabuni ya kufulia kila siku lazima mtu aende dukani kununua. Vivo hivyo mchele na harage la jioni.

Sasa siku za jumamosi kuna duka jirani na nyumbani muuzaji alikuwa kijana tuu sikumbuki kabila lake ila alikiwa ananipenda balaa. Kila nikienda dukani nikimpa hela naomba sabuni anachukua sabuni ananipa hela hapokei, nikiendelea kusisitiza achukue hela anachukua hela nyingine kwenye droo ananipa. Nikajua huyu ananipenda ila mie sikumpenda hata kidogo nikaona anafanya vile ili niendelee kukaa dukani pale afurahie kunitizama.

Alivoona simuelewi akamwambia dada yangu mmoja tulikuwa tunaishi nae (mtoto wa baba mkubwa) dada akawa nanituma dukani, Kasie nenda dukani kanunue mafuta ila niombee na halfkeki.
Sikumfilisi duka lake Ila nilifaidi hela ambazo hakupokea nikawa naweka akiba.

Kweli biashara ya duka ni ngumu, yataka moyo.
Dah...kumbe ulikuwa wewe...maisha bana...mimi bado nipo dukani..palepale[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Beretta ARX 160
 
Dah...kumbe ulikuwa wewe...maisha bana...mimi bado nipo dukani..palepale[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Beretta ARX 160


Hahahaaaa ntakuja kunywa soda hapo Dukani kwako mwezi wa 11.
 
Hahahaaaa ntakuja kunywa soda hapo Dukani kwako mwezi wa 11.
Dah...karibu sana...ila safari hii "tutaandikishiana" [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Beretta ARX 160
 
Umenikumbusha wakati nasoma sekondari..... miaka ile maduka mengi ya wapemba. Na ule utaratibu wa kununua mahitaji ya nyumbani ya mwezi mzima haukuwepo.... mfano sabuni ya kufulia kila siku lazima mtu aende dukani kununua. Vivo hivyo mchele na harage la jioni.

Sasa siku za jumamosi kuna duka jirani na nyumbani muuzaji alikuwa kijana tuu sikumbuki kabila lake ila alikiwa ananipenda balaa. Kila nikienda dukani nikimpa hela naomba sabuni anachukua sabuni ananipa hela hapokei, nikiendelea kusisitiza achukue hela anachukua hela nyingine kwenye droo ananipa. Nikajua huyu ananipenda ila mie sikumpenda hata kidogo nikaona anafanya vile ili niendelee kukaa dukani pale afurahie kunitizama.

Alivoona simuelewi akamwambia dada yangu mmoja tulikuwa tunaishi nae (mtoto wa baba mkubwa) dada akawa nanituma dukani, Kasie nenda dukani kanunue mafuta ila niombee na halfkeki.
Sikumfilisi duka lake Ila nilifaidi hela ambazo hakupokea nikawa naweka akiba.

Kweli biashara ya duka ni ngumu, yataka moyo.
Mbinguni utakusikia kwenye magazeti.
 
Chanzo kikuu cha maduka mengi kufilisika ni

1. Kodi kubwa ya fremu

2. Gharama za maisha (maana mwenye duka pia ni binadam na ana familia pia kama amepanga chumba ana kodi ya kulipa)

3. Kodi kubwa ya Serikali(wengi huangushwa na hili)

4. MIKOPO dukani(marafiki, ndugu na majirani)

Njia pekee ya kuendeleza biashara ya duka ni kuwatolea imani kuwa wakija kukopa watapata. Yaani wape hofu ya kukopa kabisa.

Mfano mzuri ni jana tu. Kuna mke wa mjeshi alizoea kuchukua vitu halafu hela ni mpaka mumewe akirudi. Kilichonitisha n kuwa nilickia maduka mengne wakilalamika kuwa huwa halipi kwa wakati. Jana kajileta akitaka maji ya lita 12, sikumpa (na nilisubiri mpaka anipe hela yangu).

Mfano wa pili ni rafiki yangu ambaye tumesoma pamoja kuanzia primary mpaka sekondari. Jamaa alkuja kunitembelea tu halafu baadae akatafta chumba jirani na ninakofanyia biashara.

Kila jioni akawa anakuja anachukua kitu cha 600 anatoa 500(anasema ntaileta, hapohyo itapitiliza wiki) na kuna deni nilimkopesha 2012 mpaka leo hii hajawah hata kukumbushia.

Jana nikasema ngoja nimuoneshe ukatili. Tulipiga story fresh, tumecheka saana. Mwishoni akataka kitu cha 500 akisema hela atoe kesho nilimkazia na hakuamini. Akadhani utani lakini sikumpa chochote.

Kwa wale wanaotaka kuanzisha au wanaofanya biashara ya duka kama wahitaji kuendelea kimaisha
1. Ifanye biashara maisha yako
2. Isimamie ipasavyo
3. Urafiki na biashara vikae mbali
4. Kopesha kama mtu ni muaminifu na kama waona kweli kuna uhitaji wa kumpa(roho ikisita usitoe)
5. Hela ya dukani usitoe hata siku moja hata kama mtu amekuomba kwa muda mfupi
6. Kaa mbali na wanawake(tongoza wanawake wa mbali na wasiojua unafanya ishu gani au wajue unauza duka ila wadanganye location)
7. Roho nyepesi weka pembeni. Binadamu ukimchekea siku ukifilisika atakucheka

Natumaini wale wenye nia ya kufanya biashara ya duka au wenye hiyo bishara tayari tumejifunza kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Duka kubwa lenye mahitaji muhimu maji wake shingapi?
 
Duka unaweza kuanza hata na laki 5....kkubwa n moyo na msimamo wa kulisimamia

Kwanza chunguza unapotaka kuweka biashara
Chunguza bidhaa adim...iweke
Chunguza pia kipato cha wateja wa hyo sehem(hii n kujua aina gan ya bidhaa zitatoka)
Chunguza washindan wako(wauza duka wenzio...mapungufu yao na ikiwezkana muda wanaofunga na kufungua)
Katika kipindi cha mwanzon angalia huduma ambzo zna faida...hii n kwa ajili ya kuleta mzunguko mzuri
Duka likisimama na kukua sasa ndipo utaweka na zile znazochukua mda mrefu kutoka

Just duka co mtaji wa kuanza nao....bali ni wew muuzaji...ht kama ukianza na billion 1 muuzaji ukiwa weak litafirisika ndan ya wiki

Just...
kama n bachelor weka mapenz pemben

Tumia lugha nzuri kwa wateja(usiseme kitu hakipo...sema kimekuishia...ahidi kuwa utaleta...ht km hutaleta)

Jenga mazoea na wateja ila yasizidi(mazoea kwenye biashara hupelekea mikopo)

Pia kaa mbali na wanawke hasa wake za watu(wengi huleta mazoea lkn jitahidi kuwaepuka.....hii ni sababu kuu ya maduka mengi kufa)

Epuka mikopo..(usikopeshe...na kama ukishndwa weka limit kuwa mwsho ni 500....na iwe kwa wateja waaminifu tu)

Huruma weka pemben..(binadam hua wana majaribu usiruhusu huruma ikutawale....hata kama waweza kmsaidia jizuie maan itakuponza)

Iheshim hela ya dukani....(ikitoka nje iwe n kama unarudisha chenji au unanunua bidhaa...usimpe mtu hela ya biashara ht km akisema ataleta baada ya dakika 2...binadam akiwa na shda huongea ahadi nyingi sana)

Mwisho napenda kusema kuwa hakuna biashara nzuri kama ile uloikuuza kwa mtaji mdogo...utaiheshim....utakuwa makini...na pia utaogopa kufirisika maana unajua hali ilivyo ukiwa umefirisika

Hpo gharama hasa ni frem...ila hapo kwenye duka ni wew mwenyew....!!mtaji wa kwanza kabisa ni wew....then hela inafuata....ila ni vema ukianza na mil.1...na tafuta frem ndogo ya wastan



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment nimeiscreenshot aisee
 
Duka unaweza kuanza hata na laki 5....kkubwa n moyo na msimamo wa kulisimamia

Kwanza chunguza unapotaka kuweka biashara
Chunguza bidhaa adim...iweke
Chunguza pia kipato cha wateja wa hyo sehem(hii n kujua aina gan ya bidhaa zitatoka)
Chunguza washindan wako(wauza duka wenzio...mapungufu yao na ikiwezkana muda wanaofunga na kufungua)
Katika kipindi cha mwanzon angalia huduma ambzo zna faida...hii n kwa ajili ya kuleta mzunguko mzuri
Duka likisimama na kukua sasa ndipo utaweka na zile znazochukua mda mrefu kutoka

Just duka co mtaji wa kuanza nao....bali ni wew muuzaji...ht kama ukianza na billion 1 muuzaji ukiwa weak litafirisika ndan ya wiki

Just...
kama n bachelor weka mapenz pemben

Tumia lugha nzuri kwa wateja(usiseme kitu hakipo...sema kimekuishia...ahidi kuwa utaleta...ht km hutaleta)

Jenga mazoea na wateja ila yasizidi(mazoea kwenye biashara hupelekea mikopo)

Pia kaa mbali na wanawke hasa wake za watu(wengi huleta mazoea lkn jitahidi kuwaepuka.....hii ni sababu kuu ya maduka mengi kufa)

Epuka mikopo..(usikopeshe...na kama ukishndwa weka limit kuwa mwsho ni 500....na iwe kwa wateja waaminifu tu)

Huruma weka pemben..(binadam hua wana majaribu usiruhusu huruma ikutawale....hata kama waweza kmsaidia jizuie maan itakuponza)

Iheshim hela ya dukani....(ikitoka nje iwe n kama unarudisha chenji au unanunua bidhaa...usimpe mtu hela ya biashara ht km akisema ataleta baada ya dakika 2...binadam akiwa na shda huongea ahadi nyingi sana)

Mwisho napenda kusema kuwa hakuna biashara nzuri kama ile uloikuuza kwa mtaji mdogo...utaiheshim....utakuwa makini...na pia utaogopa kufirisika maana unajua hali ilivyo ukiwa umefirisika

Hpo gharama hasa ni frem...ila hapo kwenye duka ni wew mwenyew....!!mtaji wa kwanza kabisa ni wew....then hela inafuata....ila ni vema ukianza na mil.1...na tafuta frem ndogo ya wastan



Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment nimeiscreenshot aisee
 
Back
Top Bottom