Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa upande wangu,nilianza 2018 mwishoni Ila mwakani kwenye mwezi wa 07,nafungua naenda kufanya Mambo mengineJaman mirejesho tujue tangu 2019 mafanikio ya biashara zenu zimefikia wapi ili nasi tupate courage
Unafungua nn? Na duka ambalo umeanza nalo 2018 hali iko vip?Kwa upande wangu,nilianza 2018 mwishoni Ila mwakani kwenye mwezi wa 07,nafungua naenda kufanya Mambo mengine
Sijaelewa, unafungua au unafunga?Kwa upande wangu,nilianza 2018 mwishoni Ila mwakani kwenye mwezi wa 07,nafungua naenda kufanya Mambo mengine
Unafungua nn? Na duka ambalo umeanza nalo 2018 hali iko vip?
Nafunga nimekosea tu hapo,utasema kwanin nafunga naenda kupambana na mishe zingineSijaelewa, unafungua au unafunga?
Nafunga nimekosea tu hapo,utasema kwanin nafunga naenda kupambana na mishe zingine
We ni mfanyabiashara? Unamtaji kiasi gani? Mipango yako ni ipi?
Nimekusomaa kiongoz biasharaa nying kwa mtaji mdogo huwaa zinasumbuaa sanaNafunga nimekosea tu hapo,utasema kwanin nafunga naenda kupambana na mishe zingine
Mkuu kwa mtazamo wako ni mtaji kiasi gani unaona ni sahihi kwa duka la aina hiyo?We ni mfanyabiashara? Unamtaji kiasi gani? Mipango yako ni ipi?
Mimi nimefika point nikaona inatosha,duka la reja reja ukiwa na mtaji mdogo utateseka Sana,wakati unapambana kulinda wateja watakuja wengine wenye mitaji mikubwa zaidi ya wewe,watakuja pia wenye mitaji sawa na wewe pia mnaanza kupambana,ukiwa unapambana kukuza mtaji uwe mkubwa zaidi zinakuja unfortunate zingine unayumba ,xo kwa mda huu nilikaa nikatafakali nilichoamua ni kuanza kujiwekeza sehem zingine,ili nitapoacha hapa niwenimefanya hiki na kile,unataka kufanikiwa ziadi kwenye hii biashara uwe na mtaji mkubwa,pia ubunifu zaidi mim watu wengi hapa mtaani wananiiga nikileta hiki wapo na wao ngoja nap watumie akili zao
Ni swali gum Sana boss wangu,unaweza anza na kiasi chochote ukiwa na vitu vile muhim,ambavyo mtu akimka asubuhi mpaka jioni atavihitaji,Basi unaweza anza Safari kitakachohitajika ni subira yako Sasa.Mkuu kwa mtazamo wako ni mtaji kiasi gani unaona ni sahihi kwa duka la aina hiyo?
Mkuu kiukweli haujanibu kwasababu mimi binafzi nafanya biashara fulani na ukiniuliza kuhusu biashara yangu kuwa mtaji sahihi kuanza nao ili duķa liwe na kila kitu nitakujibu kwasababu biashara ni factNi swali gum Sana boss wangu,unaweza anza na kiasi chochote ukiwa na vitu vile muhim,ambavyo mtu akimka asubuhi mpaka jioni atavihitaji,Basi unaweza anza Safari kitakachohitajika ni subira yako Sasa.
Pia kwenye swala la mtaji pia inategemea wewe unaenda kufanya wapi biashara,je! Hiyo sehem wewe ni mtu wa ngapi unafanya hicho kitu,uliowakuta Wana mtaji kiasi gani? Je! Utaweza kushindana nao,pia he hao unaoshindana nao Wana side hustle au wanategemea duka tu,km wanategea duka ni rahisi kupambana nao maana hata wakienda kukopa Basi hawewezi kuja na kiasi kikubwa hawawezi kushusha Bei ili kuleta ushindani,wafanyakazi Hawa waga wanamambo ya waki anaweza shusha Bei ili tu akukomoe,km hiyo sehem wewe upo peke yako ni wewe Sasa na uvumilivu wako,nakuwa sharp kuleta vitu ninavyouliziwa hapo ndo mtaji utakapokua
Ni swali gum Sana boss wangu,unaweza anza na kiasi chochote ukiwa na vitu vile muhim,ambavyo mtu akimka asubuhi mpaka jioni atavihitaji,Basi unaweza anza Safari kitakachohitajika ni subira yako Sasa.Mkuu kwa mtazamo wako ni mtaji kiasi gani unaona ni sahihi kwa duka la aina hiyo?
Unaposema kila kitu,hapo ndo kazi inapoanza Ila angalau Basi ununue mzigo wa 1.5 m,kwasababu kwa sahizi thamani ya pesa imeshuka,,vitu vimepanda Bei hela nyingi itaenda kwenye vitu vya kupima km unga,sukali,mcheleMkuu kiukweli haujanibu kwasababu mimi binafzi nafanya biashara fulani na ukiniuliza kuhusu biashara yangu kuwa mtaji sahihi kuanza nao ili duķa liwe na kila kitu nitakujibu kwasababu biashara ni fact
Atakuwa amerogwaUkipata eneo lenye makazi ya watu wa kipato kidogo na cha kati.
Hawa maisha hayaendi bila sukari, mafuta ya kula, ya kujipaka, unga wa sembe, ngano, maharage mchele, karanga, vocha, soda, bia, mikate, nk.
Ikipita siku hujauza hivyo vitu, basi kuna shida
KabisaAtakuwa amerogwa
Kufunga stock maana yake nini?Habari wadau;
Leo nizungumzie kidogo kuhusu boashara ya reja reja ya maduka ya bidhaa za matumizi ya nyumbani kama mchele,unga sabuni,nakadhalika.
Unapotaka kufungua aina hii ya duka ni lazima kwanza utambue eneo unalotaka kufungua je ni eneo la watu wenye kipato au watu wa hali ya chini,je ni eneo lenye mzunguko wa watu ni eneo ambalo halina mzunguko wa watu.
Kwa sababu za kiuchumi huku kwetu Super market culture bado haijakuwa vizuri kwa hiyo basi maduka haya yanauza sana.Unapotaka kufungua biashara hii haya ni baadhi ya mambo ya kuzingatia.
Jambo la muhimu katika duka la rejareja ni kuhakikisha kuwa unaweka kumbukumbu za manunuzi na mauzo ya kila siku na kama unaweza kufunga stock basi funga stock kila baada ya miezi mitatu au unaweza kufunga stock kwa kuchagua upande wa duka yaani,vitu vya kupima peke yake na vitu vya mashelfu peke yake.Vile vile hakikisha unaweka mtu muaminifu unamfuatailia hasa kwenye mauzo na iwapo unasimamia mwenyewe usipende kutoa pesa za dukani kwa matumizi ya nje bila kujua katika mauzo hayo faida yako ni kiasi gani.
- Kodi ya fremu ya duka la reja reja yapaswa kuanzia shilingi 30,000 kwa mwezi hadi shilingi 150,000 kwa mwezi iwapo imazidi hapo ni lazima uwe na hakika kuwa eneo lina mzunguko wa uhakika.
- Leseni ya duka la rejareja ni kati ya shilingi 50,000 hadi 200,000
- Kodi kwa duka la rejareja inayolipwa TRA inaanzia shilingi 300,000 kwa mwaka kutegemea na makadirio ya mapato yako
- Kuna vitu vya aina mbili katika duka la rejareja,kwanza ni vitu vya kupima ambavyo ni muhimu zaidi kama vile unga,mchele,mafuta taa,maharagwe n.k.hivi unaweza kuviwekea mtaji wakuanzi shilingi 450,000 hadi shilingi 900,000 kutegemea kiasi na uwezo na pili ni vitu ambavyo si vya kupima mwenye kama vile sabuni,mafuta ya kupikia,sabuni za unga,sabuni za kuoga,lotions na mafuta ya kupaka,dawa za mswaki,viberiti,stili waya,mishumaa,soda,maji na vifaa vidogo vidogo.Hivi unaweza kuviwekea mtaji wa kati ya shilingi 600,000 na 1,500,000
- Kama una uwezo ongeza huduma za Mpesa,na uuzaji wa LUKU
- Unaweza kuhitaji kuwa na FRIJI,MIZANI,MASHINE YA KUUZA LUKU ambavyo unaweza kuvitengea mtaji wa angalau TZS 1,500,000
Kwa kawaida vitu vingi vya dukani profit margin yake ni ndogo sana hivyo kwa ajili ya makadiria weka margin ya 0.5 % mpaka 5% na hapo utajua iwapo mauzo yako yanakupa faida kiasi gani.
Tuendelee na mjadala
muoneni huyu ngedereAitheee nakushauri ufungue duka la kuuza kondom
Ni miaka mitano sasa tupe mrejesho.Mleta mada umenikosha na mm nimefungua duka leo nina siku ya 7 na siku ya kwanza niliiza laki na Arobaini(140000) Ilinipa moyo sana ila kesho yake ikashuka mpk 50 trend inayoenda toka siku ya tatu na nne ni hyo 50,60 na 70 I hope mambo yatakua mazuri tuu bidhaa ulizoweka Almost nimeweka zote kasoro mafuta ya kupima pima. Nimekuzidi hapo gas nina gas za aina tatu mihan, oryx na O ga.
Kwa mitaa yetu Mihan inatoka vzr daily toka nifungue ninauza mtungi 1 hadi 2. Namshukuru Mungu aisee. Kwa sasa nashughulikia Line ya tigo na Mpesa. Jamani mm nimeona watu wamekua matajiri kwa biashara hii na tena wanakwambia uanze kwa mtaji mdogo uwe una ongeza bidhaa kadri ya mahitaji ya watu. So mtu akitaka kufanya kitu just mpe moyo na sio kuleta theories ambazo hata hujawai kufanyia practicals. Asante tena mleta mada umenipa moyo zaidi wa kupambana