Kuwaza ushirikina ni mambo ya kizamani sana. Hakuna ushirikina katika sayansi. Hao washirikina mbona hawaendi kuwafanyia ushirikina akina Azam, MO, Manji etcAcha kabisa. Mimi mara ya kwanza nilifungua Manzese. Ila washirikina walinifanya nifunge nikahamia nilipo sasa.
Ukipenda ushirikina, utawaza kishirikina. Uliubaini vipi ushirikina kama hukutumia njia za kishirikina?
Sent using Jamii Forums mobile app