Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Unakutosha kama huto waza kuuza vitu vya kupima kama sukri! Maana mfuko tu unazaidi ya laki na nusu ujanunua mzani!

Kama unataka kuuza juicy maji maji sabuni viberiti betri sigara yes nimtaji mzuri sana kuanzia my dear!
 
Ni mtaji tosha sana ukisimamia mwenyewe na fungua dizaini ya genge kama jamaa alivyoelekeza hapo juu isipokuwa usisahau pombe Kali za 1500 utapiga pesa kiliko sembe. Thubutu wala usiogope

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu vipi kuhusu faida ya sabuni, unaweza kufafanua hata kidogo ?
 
Unakutosha kama huto waza kuuza vitu vya kupima kama sukri! Maana mfuko tu unazaidi ya laki na nusu ujanunua mzani!

Kama unataka kuuza juicy maji maji sabuni viberiti betri sigara yes nimtaji mzuri sana kuanzia my dear!
Mimi nataka kuuza sabuni tu, kuna maslahi yoyote mkuu ?
 
Kwa Ushauri Wangu, Pata Gunia Zako Za Alizeti Weka Ndani Sikukuu Zikinukia Tu Peleka Mashineni, Kamua Mafuta, Bei Za Mafuta Zinachanganya Sana Kipindi Cha Sikukuu Utarudisha Pesa Yako Yote Na Faida Ya Kutosha Sanaaaa....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu usisubutu ushirikina, maana upo kama ngada, ukianza huachi

invest what you are willing to lose
 
Reactions: apk
Habari wapendwa wana JF .

Kwa wale walio katika biashara, naomba kupewa tips jinsi ya kuanzisha biashara ya duka, yaani nini na nini kinatakiwa ikiwa ni kuhusiana na documentation n.k
Yaani taratibu za kuanzisha biashara nchini tanzania KISHERIA nahitajika nini na nini nifanye niwe nacho hatua kwa hatua, na pesa nazotakiwa kutoa katika hizo hatua...ikiwemo TRA, etc.

Ahsanteni.
 
Kama unapenda kuhonga au una huruma usianzishe tafadhali

Sent using Jamii Forums mobile app


Ahsante kwa ushauri wako...Ila tushauriane kimaendeleo, tuwe na fikra chanya, za kisomi pia.
Mtu usipoteze muda wako kuandika comment ambazo hazijengi, hazi leti faida kwa jamii...Maana ya hii forum ni kuelimishana kibiashara, kupeana ideas n.k. Tuwe na mawazo yaliyo komaa si ya kitoto.....
 
Sijapoteza muda rafiki, mie nafanya biashara hii, nimeandika kitu ninachokijua, biashara ya duka ni ngumu sana kuendelea kama una huruma, wengi wamefilisika kwa kuhonga, na wengi wamefilisika kwa kuwaonea huruma watu hasa ndugu na marafiki pale wapatapo shida au kupungukiwa pesa na kuamua kuwapa bure au kukopesha, kama utaona ni ushauri wa kipuuzi basi achana nao pokea kwa wengine mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 


Sijafikiria hivyo..ndio maana nikaomba hints...hayo ya huruma yoote nilisha yawaza na majibu nikawa nayo..
Ninachoomba ushauri hapa ni taratibu za kisheria ZA KUFUATA tuu sio IDEA ya kufanya biashara sababu nishaiwaza...
Kama niliweza kufanya savings hadi kupata mtaji haiwezi nishinda kuwa makini pia katika biashara yangu sababu pia mimi ni matured enough...
 
Tafuta frem eneo zuri kulingana na aina ya bidhaa ya biashara yako, nenda TRA, leseni ya biashara, vitu kama mizani kama vitu vya kupima, mashine za risiti, then nunua mzigo panga bei ya kuuza yenye faida ndogo ila inakidhi mahitaji, usitake faida kubwa sana na usipate hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duka lako liko wapi nije nikuunge mkono?

Nimependa ulivyo na moyo wa upendo...
 
duka la bidhaa gani maduka yapo mengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…