Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Biashara ya Duka la Rejareja: Ushauri, Mchanganuo, Changamoto na Namna ya Kutunza Kumbukumbu

Wakuu habar za midaa hii ya iftar inakaribia,

Nipo hapa nimekuja kuchek maendeleo ya duka langu duka toka 14.12.2015 lkn holaaa wadau linakula tu pesa zangu za kazin nimefukuza vijana wengi tu nikijua naibiwa tu na ni nimejaribu kuhama mara nyingi for location lakini napata gud location tu Dar kinondon

Nikawa napiga stor mbili tatu na mwenyeji hapa namweleza mzee mtaa huu mgumu watu weng lkn sion pesa mzee akacheka tu na kunieleza yafuatayo ndugu hapa kweli ni pagum lkn ni rahisi kivingine si unamwona shirima pale anajaza jiran yangu nae anaduka km langu anauza sn na wateja wanapanga foleni.

Nikasema mzee jamaa hapa nimemkuta lkn wateja wamepazoea mzee kabisha hamna ww siunaona na mwenzako pale anadonoa wateja jiran mwngne nae hola tu km mimi.

Usione watu wana maduka kuna siri nzito agiza bidhaa zako nje ya hapa maduka mengi ya jumla hapa pesa wanachukua mzigo unaisha pesa huoni au kama uko tayar kuna mtu yupo kigoma nikuunganishe nae? Mpaka mwakani utakuwa na maduka kama haya zaid ya manne kanipa na mfano wa mtu

Sasa mimi kama msomi na mshahara napata ila napenda maendeleo ya biashara pia nimeona niwafikishie ujumbe ndugu zangu mnishaur maana naona napoteza pesa zangu kuziweka dukan kila mwezi.

Nawasilisha
Njoo tuchangie tuwe wawili
 
yaan ukitaka kuteketea mazima ingia pande hizo,bahat mby mi siamin kbs mambo ya shirki aic,,anywys jaribu...
 
  • Thanks
Reactions: apk
Ok hoja nzuri na inaonesha unataka ufumbuzi wa kibiashara.. zingatia mambo yafuatayo wakati unaanzisha biashara..

1. Aina ya wateja unaowatarget mf wazee, watoto, wanamama, maduu nk..

2. Nyakati husika ya biashara yako.. hapa angalia jinsi gani biashara yako kama inaendana sawa na nyakati zilizopo mfano.. nyakati za magufuli huwezi uza maziwa ya NIDO au aina yoyote ya maziwa ya unga ya bei kubwa pia huwezi uza vitu vyenye bei kubwa zaidi kwa sababu za kiuchumi.

3. Location.. angalia eneo ulilopo je wakazi wengi ni matajiri au masikini au wa kiwango cha kati?? Kama matajiri always wanapendelea kununua vitu kwa pamoja na sio daily kununua kilo ya unga nk. Masikini wao hununua kilo moja moja daily.. hapa itakusaidia kubalance stock/inventory zako.. yaan kama ununuaji wa kilo moja moja basi yafaa ukichukua mzigi uangalie zaidi mauzo ya wiki..

4. Mjue mshindani wako vizuri.. kosa kubwa tulifanyalo ni kwamba hatutaki kujua washindani wetu hutumia mbinu gani ili kufanikisha mauzo.. ukijua hilo utapata njia mbadala ya namna ya kuwapata wateja wapya.

5. Kama ni duka nakushauri deal na watoto wadogo.. kivipi kila mtoto akija kununua kitu iwe unga, sabuni, mafuta nk mpatizie kizawadi kidogo mara nyingi pipi ikiwa ivory au ukiweza hata pipi kijiti za bei rahisi.. hali hii itamfanya mtoto kila atumwapo kwao akimbilie dukani kwako.. mwisho wateja wengi watakupenda kwakuwa tu watoto wao wanafuraha na wewe.

6. Ishi vizuri na muuzaji/mfanyakazi wako.. mwelekeze kuwa duka lile ni kama lake hivyo likifa na yy hatokuwa na kazi hivyo aipende kazi yake.. hapa sasa siku zingine unamruhusu akatembee, unampa zawadi mbalimbali hadi duka likae sawa..

7. Jitahidi kuficha itikadi za chama, dini na ukabila.. hapa wengi hufeli na hupoteza wateja kwa sababu ndogo sana..

NB BIASHARA ZA USHIRIKINA ALWAYS HAZICHANUI VIZURI.. Labda ujigange wewe mwenyewe na duka lako lkn sio dawa ya kuvuta wateja.. hakuna kitu kama hicho
 
Ok hoja nzuri na inaonesha unataka ufumbuzi wa kibiashara.. zingatia mambo yafuatayo wakati unaanzisha biashara.
1. Aina ya wateja unaowatarget mf wazee, watoto, wanamama, maduu nk..
2. Nyakati husika ya biashara yako.. hapa angalia jinsi gani biashara yako kama inaendana sawa na nyakati zilizopo mfano.. nyakati za magufuli huwezi uza maziwa ya NIDO au aina yoyote ya maziwa ya unga ya bei kubwa pia huwezi uza vitu vyenye bei kubwa zaidi kwa sababu za kiuchumi.
3. Location.. angalia eneo ulilopo je wakazi wengi ni matajiri au masikini au wa kiwango cha kati?? Kama matajiri always wanapendelea kununua vitu kwa pamoja na sio daily kununua kilo ya unga nk. Masikini wao hununua kilo moja moja daily.. hapa itakusaidia kubalance stock/inventory zako.. yaan kama ununuaji wa kilo moja moja basi yafaa ukichukua mzigi uangalie zaidi mauzo ya wiki..
4. Mjue mshindani wako vizuri.. kosa kubwa tulifanyalo ni kwamba hatutaki kujua washindani wetu hutumia mbinu gani ili kufanikisha mauzo.. ukijua hilo utapata njia mbadala ya namna ya kuwapata wateja wapya.
5. Kama ni duka nakushauri deal na watoto wadogo.. kivipi kila mtoto akija kununua kitu iwe unga, sabuni, mafuta nk mpatizie kizawadi kidogo mara nyingi pipi ikiwa ivory au ukiweza hata pipi kijiti za bei rahisi.. hali hii itamfanya mtoto kila atumwapo kwao akimbilie dukani kwako.. mwisho wateja wengi watakupenda kwakuwa tu watoto wao wanafuraha na wewe.
5. Ishi vizuri na muuzaji/mfanyakazi wako.. mwelekeze kuwa duka lile ni kama lake hivyo likifa na yy hatokuwa na kazi hivyo aipende kazi yake.. hapa sasa siku zingine unamruhusu akatembee, unampa zawadi mbalimbali hadi duka likae sawa..
6. Jitahidi kuficha itikadi za chama, dini na ukabila.. hapa wengi hufeli na hupoteza wateja kwa sababu ndogo sana..
NB BIASHARA ZA USHIRIKINA ALWAYS HAZICHANUI VIZURI.. Labda ujigange wewe mwenyewe na duka lako lkn sio dawa ya kuvuta wateja.. hakuna hiyo kitu kakangu
Kwa msaada zaidi nicheki whatsapp 0718007719 free
thnx bro
 
Kuna siku Bibi mmoja alipita dukani kwangu akawa ananunua kitu.

Baada ya kununua akaniambia, kama unataka biashara yako ikue zaidi na iwe na wateja, niko tayari kukusaidia.

Akaendelea kusema, usimuone flani na flani ni mimi nimewasaidia ndio maana biashara zao ziko vizuri.

I was like, whaaaat?! Nikamwambia nashukuru sana ila kwa sasa siko tayari.

Nilichogundua, wenye maduka wengi au asilimia kubwa wanatumia ndumba.

Mwisho: sikushauri ufuate huo ushauri wa mzee, simamia biashara zako mwenyewe au mkeo utaona inakua. Wengine utawalaumu tu.
 
  • Thanks
Reactions: apk
Inategemea na mazingira ila kama upo twn weka meza eneo la watembea kwa miguu wengi kisha uza vifuatavyo
: sukari za kupaki
:unga wa kilo 5
Sabuni za kuogea
: sabuni za Inga(kilo)
:tambi
Mafuta ya Lita moja na liter 3
Dawa za meno
Usisahau na vocha
:Karanga
:ubuyu
:mandaz ya azam(yakupak sio lazma azm)
:leso,toilet paper ,tishu, toothpic
😛ipi Kali n bites ndogo ndogo
Mchana na asubuh utakuwa n wateja wachache ila kwa jion kama iko mahali pazur utauza sana hiyo pesa ni nyingi



sending using jamiiforum makinikia
 
Roho zenu mnazijua aiseee tangia MTU aanzishe Uzi wake 2015 August 8 ndo mnampa ushauri Leo kweli ???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kashabet kaliwa

Fursa2017
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna namna mzee baba ,kila mtu apambane na hali yake tu kwa kweli
 
Roho zenu mnazijua aiseee tangia MTU aanzishe Uzi wake 2015 August 8 ndo mnampa ushauri Leo kweli ???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Kashabet kaliwa

Fursa2017
dah! eti "keshabeti kaliwa...."
 
Inategemea na mazingira ila kama upo twn weka meza eneo la watembea kwa miguu wengi kisha uza vifuatavyo
: sukari za kupaki
:unga wa kilo 5
Sabuni za kuogea
: sabuni za Inga(kilo)
:tambi
Mafuta ya Lita moja na liter 3
Dawa za meno
Usisahau na vocha
:Karanga
:ubuyu
:mandaz ya azam(yakupak sio lazma azm)
:leso,toilet paper ,tishu, toothpic
😛ipi Kali n bites ndogo ndogo
Mchana na asubuh utakuwa n wateja wachache ila kwa jion kama iko mahali pazur utauza sana hiyo pesa ni nyingi



sending using jamiiforum makinikia
We jmaaa mungu akubarii sana kwa ushauri wako kwakweli vitu ulivyo olozesha hapo nibonge LA biashara kuna jamaa yangu analala na Pesa nzuri sana kupitia biashra hiyo mungu akubariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inategemea na mazingira ila kama upo twn weka meza eneo la watembea kwa miguu wengi kisha uza vifuatavyo
: sukari za kupaki
:unga wa kilo 5
Sabuni za kuogea
: sabuni za Inga(kilo)
:tambi
Mafuta ya Lita moja na liter 3
Dawa za meno
Usisahau na vocha
:Karanga
:ubuyu
:mandaz ya azam(yakupak sio lazma azm)
:leso,toilet paper ,tishu, toothpic
😛ipi Kali n bites ndogo ndogo
Mchana na asubuh utakuwa n wateja wachache ila kwa jion kama iko mahali pazur utauza sana hiyo pesa ni nyingi



sending using jamiiforum makinikia
Safii sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee Mtafuteni .....alete mrejesho ....alitumia wazo gani na saiv anakiasi gani cha Mtaji ..... Investment .....ila kama alichagua M~Bet ujue kaliwa maana kule ni kuliwa kwingi

Fursa2017
 
Back
Top Bottom