BradFord93
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 917
- 2,217
Kujua faida kwakwel ni ngumu mno....kujua kama kuna faida n kuangalia maendeleo ya biashara....kwamba vitu vikiisha hela ya kununulia ipo....na pia ukiongeza vitu biashara bado inakuw imesimama
Just hua tunajua faida kwa kuangalia maendleo ya duka....
Sent using Jamii Forums mobile app
Just hua tunajua faida kwa kuangalia maendleo ya duka....
Sent using Jamii Forums mobile app