Biashara ya gym, vifaa vyake na changamoto zake

Biashara ya gym, vifaa vyake na changamoto zake

Kwanza mkuu inategemea na eneo lenyewe lina ukubwa kiasi gani na kama ni kubwa basi ni vyema ukaweka complete gym set up
kama ni la size unaweza weka incomplete lakini basic equipment kama zifuatazo lazima ziwepo

1: Full dumbell set(in libs, 5lb-50lb) hii utapata na rack yake

2: barbell rack complete set (30lbs-110lbs)

3: Cardio machine kama aina nne i.e trademills, bicycles,na nyingine na brand nzuri ni lifefitness au startrac

4: Bench press na mawe yake hii inakuwa na accurate weight 5kg-105kg unaweza pata ya zaidi ya hapo i recommend smith machine

5; Machine nyingine kama za miguu,tumbo, hizo unaongeza moja baada ya nyingine kutokana na mwamko wa biashara hiyo. Na uzuri mashine nyingi za sasa hivi zinakuwa multifunctional

6: Ruberized floor muhimu carpet lile mpira

Kingine unatakiwa kuangalia ni mazingira ya goli lenyewe gym lazima iwe kaeneo ka town town kidogo hasa penye makazi yaliyochangamka in short mahali panaingia ingia ugeni

Markerting/ advertising hasa ki digital inaweza kukuza biashara ya gym hasa eneo likiwa salama na accessible. Sale inaweza kuwa ya kwa siku.kwa mwezi, miezi 3,6 hata mwaka ukipenda ni wewe na bei utakayopanga. unaweza kaba kuanzia single membship, couple/double/family.

Kila kitu kikisimama ni bora zaidi ukasimamia mwenyewe mpaka utakapopata mtu unaemwamini
Wasalam hiyo ndo maarifa kidogo niliyo nayo juu ya gym
Mkuu nilikuwa naomba Kama inawezekana ungeniwekea Na Bei zake kabisa but all in all nashukuru Sana [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji2533][emoji120]
 
Ikwa na vifaa vya kutosha kama vile dumbbells uzito tofauti hata seti 5 , bench 2 za chest, za triceps, z bar za biceps...

Zingatia na watu wa aerobics hasa wakina dada jkiweza kuwateka itapendeza zaidi...
Maana hawa hufanya mazoez siku mbili tatu na kupotea wakipata maumivu[emoji23][emoji23] inabidi uwape elimu kadri wanavyofanya ndio mwili huzoea!

Bjnafsi iwe local gym , au ya kisasa zowte zinalipa kila moja kutokana na uwekezaji wake.

Za kisasa bei kiwango cha chini ni kati ya Tshs 10,000 /siku , 150,000/mwezi.

Local gym bei kiwango cha chini ni kati ya Tshs 2,000 /siku , 30,000/mwezi.

Ni biashara inayolipa sana, ukisimamia vizuri
Vifaa vya kutosha , marketing nzuri, mazingira mazuri ya kufanyia mazoezi.

Inalipa kuliko hata mtu aliyejenga vyumba vitano uswazi akodishe kwa Tshs 50,000/=

Maintenance yake ni ndogo , local gym utahitaji si chini ya 3mil+ kwa kuanzia
umeongea point sana mkuu, watu wanashauri gym kubwa sababu hawajui cost zahayo mambo. mfno kuna mtu amezungumzia kuhusu kununua vyuma full set vya bench press ambayo kasema nikama 105kg bila kufafanua garama zake. manake kg1 ya plate hzo zachuma inaanzia 10,000 mpaka 14,000 tegemea na brand pamoja namaterial(rubber/iron)

barbell/fimbo ni 100,000 mpaka 160,000

hio bench press inaanzia 700,000 mpaka 1,000,000 nazaid

kwahiyo moja tu hapo cost yake inafikia million 2 au zaid, kwahesabu hio anamaanisha kuweza kufungua hio gym itacost zaid ya 20 million. kama nikwalengo lauwekazaji atakua yuko sahihi sababu kiuhalisia return on investment(RTO) itakua nindogo mno ila kma sio muekazaji anataka kutengeza kafaida ka 800k 1million kwa mwezi atumie njia hio uliotumia au kama atapenda anaweza kunichek nitampa mchanganuo zaid na tricks zakuwin hio biashara
 
Mkuu nilikuwa naomba Kama inawezekana ungeniwekea Na Bei zake kabisa but all in all nashukuru Sana [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji2533][emoji120]
Bongo sijui mahali unaweza kupata lakini kwa mahali kama Dubai kuna supplier kibao wanaweza kukuuzia kwa bei ya jumla kulingana na set unayotaka na pia wanaweza kukufanyia custom clearance kutokana na ukubwa wa mzigo
 
umeongea point sana mkuu, watu wanashauri gym kubwa sababu hawajui cost zahayo mambo. mfno kuna mtu amezungumzia kuhusu kununua vyuma full set vya bench press ambayo kasema nikama 105kg bila kufafanua garama zake. manake kg1 ya plate hzo zachuma inaanzia 10,000 mpaka 14,000 tegemea na brand pamoja namaterial(rubber/iron)

barbell/fimbo ni 100,000 mpaka 160,000

hio bench press inaanzia 700,000 mpaka 1,000,000 nazaid

kwahiyo moja tu hapo cost yake inafikia million 2 au zaid, kwahesabu hio anamaanisha kuweza kufungua hio gym itacost zaid ya 20 million. kama nikwalengo lauwekazaji atakua yuko sahihi sababu kiuhalisia return on investment(RTO) itakua nindogo mno ila kma sio muekazaji anataka kutengeza kafaida ka 800k 1million kwa mwezi atumie njia hio uliotumia au kama atapenda anaweza kunichek nitampa mchanganuo zaid na tricks zakuwin hio biashara
Ni kweli hapa itategemea zaidi na muhusika amejipanga vipi, kufnguwa gym ya standard ipi...!
 
We nadhani ujawaia kufanya hata ayo mazoezi yenyewe,, gym zinalipa, ila Gym fungulia uswazi fulani, sio hizi ambazo babkubwa sana ,, fungulia uswahilini ndio unapiga pesa
Huko huwaje gharama zake Mzee tupeane uzoefu kidogo
 
Huu uzi nimeupenda. Natamani na mimi huko mbeleni niwekeze kwenye hii biashara
Hii ni very good investment, ukiwa na uelewa mzuri wa hii biashara, huduma bora na usimamizi
 
umeongea point sana mkuu, watu wanashauri gym kubwa sababu hawajui cost zahayo mambo. mfno kuna mtu amezungumzia kuhusu kununua vyuma full set vya bench press ambayo kasema nikama 105kg bila kufafanua garama zake. manake kg1 ya plate hzo zachuma inaanzia 10,000 mpaka 14,000 tegemea na brand pamoja namaterial(rubber/iron)

barbell/fimbo ni 100,000 mpaka 160,000

hio bench press inaanzia 700,000 mpaka 1,000,000 nazaid

kwahiyo moja tu hapo cost yake inafikia million 2 au zaid, kwahesabu hio anamaanisha kuweza kufungua hio gym itacost zaid ya 20 million. kama nikwalengo lauwekazaji atakua yuko sahihi sababu kiuhalisia return on investment(RTO) itakua nindogo mno ila kma sio muekazaji anataka kutengeza kafaida ka 800k 1million kwa mwezi atumie njia hio uliotumia au kama atapenda anaweza kunichek nitampa mchanganuo zaid na tricks zakuwin hio biashara
Naona hapa mnataja tu gharama ya vifaa vya Gym bila ya kutaja mjengo,ina maana mjengo utapanga au utajenga?kama utapanga sidhani kama itakulipa kivile labda ujenge,kama issue ni kujenga napo utajengea maeneo gani,maana wateja wa Gym wengi ni watu wa katikati ya miji,ukisema ununue kiwanja Kibaha au mlandizi au Mkuranga ndio ujenge Gym ujuwe imekula kwako,kifupi ili ikulipe unahitaji mtaji mkubwa kiasi flani...
 
Biashara ni nzuri ,usikate tamaa ,ila nivizuri ukaanza na local gym kama wadau wanavyoeleza hiyo ndio itakupa mwanga wa biashara husika.
 
Bro nahitaji kujua zaidi kuhusu hii biashara vp nije PM?
umeongea point sana mkuu, watu wanashauri gym kubwa sababu hawajui cost zahayo mambo. mfno kuna mtu amezungumzia kuhusu kununua vyuma full set vya bench press ambayo kasema nikama 105kg bila kufafanua garama zake. manake kg1 ya plate hzo zachuma inaanzia 10,000 mpaka 14,000 tegemea na brand pamoja namaterial(rubber/iron)

barbell/fimbo ni 100,000 mpaka 160,000

hio bench press inaanzia 700,000 mpaka 1,000,000 nazaid

kwahiyo moja tu hapo cost yake inafikia million 2 au zaid, kwahesabu hio anamaanisha kuweza kufungua hio gym itacost zaid ya 20 million. kama nikwalengo lauwekazaji atakua yuko sahihi sababu kiuhalisia return on investment(RTO) itakua nindogo mno ila kma sio muekazaji anataka kutengeza kafaida ka 800k 1million kwa mwezi atumie njia hio uliotumia au kama atapenda anaweza kunichek nitampa mchanganuo zaid na tricks zakuwin hio biashara
Ara
 
Back
Top Bottom