Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Kwa ufupi usikatishwe tamaa,biashara hii nzuri,waache waoga wa maisha waendelee.
Kwanza inaonekana sio mgeni wa Gari,licha ya kwamba hii itakuwa ya Biashara.
Mie ningekushauri ununue hapahapa TZ sio kuagiza,maana mtaji mrefu,halafu kunamchezo wa kupeana vimeo kwenye gari hizo.
Muhim gari yoyoteni Services,na kupata Driver mzuri,unaweza kutafuta miongoni mwa Family members wako,au tafuta kijana mpeleke chuo kisha muajiri.Au toa Dau kama laki Tano au hata Milioni umchomoe Driver wa mtu umpe gari yako.
Ila siku ikitokea kwako uwe mpole
Kwanza inaonekana sio mgeni wa Gari,licha ya kwamba hii itakuwa ya Biashara.
Mie ningekushauri ununue hapahapa TZ sio kuagiza,maana mtaji mrefu,halafu kunamchezo wa kupeana vimeo kwenye gari hizo.
Muhim gari yoyoteni Services,na kupata Driver mzuri,unaweza kutafuta miongoni mwa Family members wako,au tafuta kijana mpeleke chuo kisha muajiri.Au toa Dau kama laki Tano au hata Milioni umchomoe Driver wa mtu umpe gari yako.
Ila siku ikitokea kwako uwe mpole