moreen mollo
Member
- Feb 21, 2013
- 15
- 8
Habari za mahangaiko ya kila siku wana JamiiForums na wapenzi wa jukwaa la Biashara na Ujasiriamali.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ninafikiria kufanya biashara ya kuwa na ofisi ya kukata Bima za aina mbalimbali pamoja na Huduma ya LATRA.. Lakini nimekosa muongozo na kujua kipi kinahitajika, ninaomba muongozo wenu wadau. 🙏 🙏
Natanguliza shukurani zangu.
Nimekuja kwenu kuomba ushauri na sitaki kuwachosha, naenda moja kwa moja kwenye mada.
Ninafikiria kufanya biashara ya kuwa na ofisi ya kukata Bima za aina mbalimbali pamoja na Huduma ya LATRA.. Lakini nimekosa muongozo na kujua kipi kinahitajika, ninaomba muongozo wenu wadau. 🙏 🙏
Natanguliza shukurani zangu.