Biashara ya Internet mtaani

Biashara ya Internet mtaani

Mdani mkuu naomba namba yako kwani mm project nishaianza ila nafanya manual, kuna sehem nimekwama. Namna ya kuuza vocha ili kuepusha wadau kuscaniana passwords, natamani sana kuoata mfumo wa kudhibiti hii
Ndugu vipi ulifanikiwa mimi nna changamoto kama yako
 
Habarini wana JF,

Kama ada ya Watanzania wengi, nina wazo la kuuza internet kwa watu.

Muda mrefu nimekuwa nikifanya utafiti kupitia mitandao ya kijamii nimegundua biashara hii inaweza ikafanywa na vijana walio wengi wa Tz badala ya kukomaa na library, vibanda umiza, pharmacy na biashara zingine ndogo ndogo ambazo zimekuwa kimbilio la vijana wengi.

Hii biashara ni maarufu sana kwa vijana wa nchi kama Ufilipino, Indonesia, India, Pakistan na nchi kadha wa kadha. Hata kwenye utafiti wangu kupitia YouTube vijana wengi kutoka nchi hizo ndio ma-dealer sana wa biashara hizi.

Pia nikaja kugundua hata hapa Tz wapo watu wanafanya biashara hii ila ujuzi ndio changamoto hasa utumiaji wa teknolojia sahihi kwenye hii biashara.

Nikakutana na internet ya kijamii kutoka UDOM kupitia masafa ya UHF(WHITE SPACE TV). Hivyo nikaonelea inaweza kuwa msaada mzuri kwenye kufanya biashara ya internet. Ila changamoto kupitia program hii utaalam ni changamoto hivyo watahitajika wataalam na mtaji mkubwa kiasi kufanikisha biashara hii. Ila bado pana ombwe kwani bado sijajua gharama halisi kuweza kunufaika na internet hii.

Nikarahisisha wazo kwamba si lazima sana kutumia masafa ya white space tv, bali vijana wanaweza kukodi internet kutoka makampuni pendwa kama Supakasi ya Vodacom, au fiber za TTCL, ZUKU, GO FIBER, SIMBANET na kampuni za VSAT kupitia vifurushi vyao vya unlimited/uncapped data.

Kama kampuni husika itaruhusu kugawa internet, basi kijana unaweza kutumia fursa hiyo kwa kukodi unlimited internet na kununua baadhi ya vifaa ila kuweza kusambaza kwa waya ama wireless access point.

Vifaa muhimu ni kama komputa, router, cloud key software na vifaa vya kurushia wifi kama camfast au tplink

Mpango wa wateja ni kuuza vocha ambazo utaziprint kupitia software za mtandaoni ama kuuza kwa wifi ya password.

Lengo ni kuuza kwa wateja wengi iwezekanavyo na kufwata mlolongo mzuri wa kibiashara ikiwemo kufanya saving, cash flow au liquidity analysis na mambo kadha wa kadha ya kibiashara ikiwepo utafiti wa soko, mchanganuo wa biashara nk

Vipi mdau wa Jamii forum? Una uzoefu wa hii biashara? Nini mtazamo wako? Una teknolojia gani kuboresha? Una project kama hii ambayo ina exisist? Tuambiwe kwenye komenti ha

Nikweli hii biashara inalipa mm nauza vifaa hapo unavyosema ww unatumia microtik baised hii ni njia moja wapo pia unaweza tumia router pc yenye uwez kidg uka download omada software badala ya hardware unatumia na na ukatafta access point ya kampuni moja ambayo ni tplink Unategemea voucher unauza
 
Japo sijaelewa sana, lakini it seems like a good business idea!
Mm nafanya hii bizness in small scale Niko chuo na generate voucher natumia Mbps 50 nauza business iko profitable NI kaujuz kidg Tu unatoboa sema ukipatia location Sana target vyuon na mtaani kwenye masoko makubwa an sehem kuna mkusanyiko WA watu mtaj ukiwa na laki nane ah 9 unaweza Kuanzia but in small scale unakua unagenerate voucher unampangia mtu kwamba atumie GB moja au mb hata 2 au hata GB 20 ni wewe Tu changamoto kwenye hii biashara ni kuna MDA mtandao unasumbua Sana pia kuna MDA HACKERS wapo kama ukipata mtu alie soma python anawez kucrack na akakuharck vzr Tu sema had mtu afanye hivyo itachukua MDA afu pia unaweza kumuona na. Kublock kbs nichek namawaz Tu vijana tunatoboa maisha
 
Nilijaribu kuifuatilia youtube nikaona kama ina hitaji utaalam wa hali ya juu nikaipotezea
Mambo simple first kuna modem au router kuna switch kama hunamtaj mkubwa so lazima afu kuna omada hardware au kama huna mtaj mzr kuna unaweza download omada software kutoka kwenye tplink community ya mwaka huu njia nyingine ni microtik baised hapo Una kufaa chako cha microtik hap lite (rab941-2nd-tc) na wire cat 6kama Mita 50 au 20 na tplink E110 kama unamtaka mzr unaweza kununua tplink E225 au zaid kulingana na mtaj wako kama unataka biashara iwe kubwa unaweza tumia ranges kama Yale yanayowekwa kwenye minala utume wifi yako distance kubwa then unapiga mpunga Tu ukiwa na million moja na eneo zur aya unapiga pesa vby mno aisee ni ujanja Tu mm mwenyew sjasoma wala nmejifunza tu
 
Mkuu emu tupe mwongozo wa kufanya hii biashara mkuu(mchanganuo wa mtaji how much to invest) .....its a worth deal.
Hahahaha ww Hiyo njia naijua si nzr kbs unafanya router inakua nzito heri unafanya hiv router kampuni (Aina tplink)+wire+omada hardware au kama pes hazitoshi tafuta pc install omada software ili uwe Una monitor users kirahis pia + access point Aina tplink Eap110 au taplink Eap225 au zaid kulingana na mtaj wako ukisema utumie njia unazo zisema ww router itakua nzito make hapo unchanged kutoka blacklist kwenda whitelist ambapo badala yakublock Mac adress unaziadd kumbuka kwenye simu kuna phone mac adress na random MC adress sasa. Hapo watu wanakuharck kirahis sna lkn unitumie hiz njia nlizosema hapo juu itakuwaj na uwezo wakumonitor mteja Kwa mfano unaweza amua mteja atumie gb2 au GB 100 au unlimited au mb hata 2 pia unampangia mteja atumie mtandao wako Kwa MDA gani Kwafano hapo unamtengenezea voucher kutumia Hiyo omada software au hardware ambayo unaitengeneza ww itumike kwanza now for example from 2:34 mbk 16:00 alafu inaexpire so inajifuta kwako then Kwa namna Hiyo unaweza kufanya biashara kirahis na vzr hizo router zingine kama Vodacom tigo au Airtel zmetengenezwa Kwaatumizi ya nyumbani Sana so hazina security Sana then utajikuta badala ya kufanya biashara unawafurahisha watu lkn njia nyingine nikama alivyosema huyo jamaa hapo juu unaweza nunua microtik router na modem ya voda au Airtel hata tigo na access point then unacomfigure then unagenerate voucher kutumia pc unauza kwawadau Hiyo nayo iko poa kbs
 
Mdani mkuu naomba namba yako kwani mm project nishaianza ila nafanya manual, kuna sehem nimekwama. Namna ya kuuza vocha ili kuepusha wadau kuscaniana passwords, natamani sana kuoata mfumo wa kudhibiti hii
Hapo broo nitafte nkupe usaidiz kama hujapata namba ya wasap 0750649411
 
Mkuu
Mambo simple first kuna modem au router kuna switch kama hunamtaj mkubwa so lazima afu kuna omada hardware au kama huna mtaj mzr kuna unaweza download omada software kutoka kwenye tplink community ya mwaka huu njia nyingine ni microtik baised hapo Una kufaa chako cha microtik hap lite (rab941-2nd-tc) na wire cat 6kama Mita 50 au 20 na tplink E110 kama unamtaka mzr unaweza kununua tplink E225 au zaid kulingana na mtaj wako kama unataka biashara iwe kubwa unaweza tumia ranges kama Yale yanayowekwa kwenye minala utume wifi yako distance kubwa then unapiga mpunga Tu ukiwa na million moja na eneo zur aya unapiga pesa vby mno aisee ni ujanja Tu mm mwenyew sjasoma wala nmejifunza tu
Dah mkuu una madini sana ila namna ulivyowasilisha nimerudia kusoma sijakuelewa kabisa, unaweza ukatulia utushushie nondo vizuri mkuu kutupa maarifa zaidi au kama kuna anaeelewa zaidi kwa msaada wa wengi
 
Modem ni bure, kifurushi unachagua wewe kulingana na matmizi yako, ila kama umejipanga vizuri unaweza anza na speed 30mbs ambapo utalipia miezi 2 . Kama uko vizuri sana unaweza kuanza na 300mbs kama umefanya utafiti vizuri ukaona kuna uhitaji mkubwa zaidi. Hii side hustle inafaa zaidi sehem yenye mkusanyiko mkubwa sana wa raia especially stand au sokoni.

Min capital 1M ukitaka ufanye kwa kujiachia bila stress.
Kiongoz naomba namba yako
 
Mambo simple first kuna modem au router kuna switch kama hunamtaj mkubwa so lazima afu kuna omada hardware au kama huna mtaj mzr kuna unaweza download omada software kutoka kwenye tplink community ya mwaka huu njia nyingine ni microtik baised hapo Una kufaa chako cha microtik hap lite (rab941-2nd-tc) na wire cat 6kama Mita 50 au 20 na tplink E110 kama unamtaka mzr unaweza kununua tplink E225 au zaid kulingana na mtaj wako kama unataka biashara iwe kubwa unaweza tumia ranges kama Yale yanayowekwa kwenye minala utume wifi yako distance kubwa then unapiga mpunga Tu ukiwa na million moja na eneo zur aya unapiga pesa vby mno aisee ni ujanja Tu mm mwenyew sjasoma wala nmejifunza t

Mambo simple first kuna modem au router kuna switch kama hunamtaj mkubwa so lazima afu kuna omada hardware au kama huna mtaj mzr kuna unaweza download omada software kutoka kwenye tplink community ya mwaka huu njia nyingine ni microtik baised hapo Una kufaa chako cha microtik hap lite (rab941-2nd-tc) na wire cat 6kama Mita 50 au 20 na tplink E110 kama unamtaka mzr unaweza kununua tplink E225 au zaid kulingana na mtaj wako kama unataka biashara iwe kubwa unaweza tumia ranges kama Yale yanayowekwa kwenye minala utume wifi yako distance kubwa then unapiga mpunga Tu ukiwa na million moja na eneo zur aya unapiga pesa vby mno aisee ni ujanja Tu mm mwenyew sjasoma wala nmejifunza tu
Asante kwa taarifa nzuri. Naomba pia u share bei ya vifaa vinavyohitajika, kama tplink E110 au E225 ni kiasi gan dukani, wapi vinapatikana kirahisi.
 
Back
Top Bottom