Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Umesahahu 1000 ya dalali kila gunia.Twende Kwa numbers zaidi
Gunia umenunua 55,000/-
Umepata 30kg
Kukoboa na usuhuru = TZS 100/kg
Hivyo ni TZS 3,000/- Kwa gunia
Ukiuza kg 30 x 2,400 = TZS 72,000/- Kwa gunia.
Faida Kwa gunia
= 72,000 - 55,000 - 3,000
= 14,000/-
Kwa siku unaweza kuuza gunia ngapi? Vipi gharama zingine kama chakula na malazi?
Hizi hesabu za makaratasi vingi sana hajawekaSo una 4000 ya ushuru na usafiri, then 1000 ya udalali kila gunia.
Kilo 30 kwa 2400 ni 72000.
Ukitoa 72000-5000- 55000 unabaki na elfu 13 kila gunia.
Mimi mfanya biashara nikitoka Dar kuja Tabora nauli 45000 na kulala guest atleast 20k. Kwenda na kurudi 45k x 2 na 20k x 3 so 90000 plus 60000.
Hiz gharama zinatakiqa zitoke kwenye ile faida ya elfu 12 kwa gunia.
Mdano nimechukua gunia 50. So nitakuwa na 50×12000= 600,000
Huu ni mzunguko wa Wiki nzima.
Asante kwa Taarifa
Sawa MkuuNamaanisha Kuna watu wanatafta ajira sana mtaani wanakosa na wakati Kanda hii kupanga chumba Kwa mwezi single ni 10k double ni 20k per month na Kuna godoro hadi zimetengenezwa na mpunga zinauzwa 10k zina life span ya miezi9
I didn't mean offending office works but am just trying to make some people reading the qoute understand something
Hata biashara hii ukianza na laki2, utaenjoy kuona jinsi inavofika 500k in a flash
Hapo kaenye stoo panakula sana.Hizi hesabu za makaratasi vingi sana hajaweka
Gharama za ubebaji ushushaji..gharama ukusanyaji mzigo ushonaji gunia..gharama za maroba....gharama za stoo
Nishafanya biashara za mazao..kuna vigharama upuuzi mwingi..wengi wanajua unakuta gunia 200 sehemu unanunua kumbe mara hapa kuna debe 2 mara pale gunia mara pale kisadoHapo kaenye stoo panakula sana.
Na mzigo unaufikisha unashangaa mwezi mzima haujaisha.
Hizi huwa ni ndoto za Abunnwasi na ndo zinawaponza vijana wa A-level na vyuo vikuu. Wakija mtaani hawakutani na haya mambo bali ajira za 250k mpaka 600k. Watu wanaolipwa 5M ni wachache sana tena sana ukilinganisha na wanaolipwa chini ya laki 9"Hautakua sawa na mtu wa ofisini au kuajiriwa". Una maana gani mkuu, nahio sentensi. Kuna Jamaa ambae kaajiriwa anavuta mshahara mil 5 mwingine mil 27 per month.
Na kunadogo langu kaajiriwa lakini analipwa Mili 2.3 lkn Kila mwaka ukiisha wanapewa kiunua mgongo ambacho kinaanzia mil 20 Kwa mtu mmoja, hii haihusiani na mafao ya NSSF, hii nisawa na asante Kwa kutumikia kampuni mwaka mzima.
Je watu kama hawa kwahio biashara utakua sawa nao?.
Sio Kila waajiriwa wananjaa. BTW nimejiajiri.
Kaka umenena kinachotakiwa ni kuwa mjasiliamali .yaan kama ww umeajiriwa kama banker .invest kwenye kuwa Bora mfano"Hautakua sawa na mtu wa ofisini au kuajiriwa". Una maana gani mkuu, nahio sentensi. Kuna Jamaa ambae kaajiriwa anavuta mshahara mil 5 mwingine mil 27 per month.
Na kunadogo langu kaajiriwa lakini analipwa Mili 2.3 lkn Kila mwaka ukiisha wanapewa kiunua mgongo ambacho kinaanzia mil 20 Kwa mtu mmoja, hii haihusiani na mafao ya NSSF, hii nisawa na asante Kwa kutumikia kampuni mwaka mzima.
Je watu kama hawa kwahio biashara utakua sawa nao?.
Sio Kila waajiriwa wananjaa. BTW nimejiajiri.
Acha uongo wewe"Hautakua sawa na mtu wa ofisini au kuajiriwa". Una maana gani mkuu, nahio sentensi. Kuna Jamaa ambae kaajiriwa anavuta mshahara mil 5 mwingine mil 27 per month.
Na kunadogo langu kaajiriwa lakini analipwa Mili 2.3 lkn Kila mwaka ukiisha wanapewa kiunua mgongo ambacho kinaanzia mil 20 Kwa mtu mmoja, hii haihusiani na mafao ya NSSF, hii nisawa na asante Kwa kutumikia kampuni mwaka mzima.
Je watu kama hawa kwahio biashara utakua sawa nao?.
Sio Kila waajiriwa wananjaa. BTW nimejiajiri.
Sawa nimeacha.Acha uongo wewe
Tupe suluisho mkuu , umetupiga dongo na kutuacha.Hizi huwa ni ndoto za Abunnwasi na ndo zinawaponza vijana wa A-level na vyuo vikuu. Wakija mtaani hawakutani na haya mambo bali ajira za 250k mpaka 600k. Watu wanaolipwa 5M ni wachache sana tena sana ukilinganisha na wanaolipwa chini ya laki 9
Mdogo wako anafanya kazi na kampuni gani naomba kufahamu? [emoji848]"Hautakua sawa na mtu wa ofisini au kuajiriwa". Una maana gani mkuu, nahio sentensi. Kuna Jamaa ambae kaajiriwa anavuta mshahara mil 5 mwingine mil 27 per month.
Na kunadogo langu kaajiriwa lakini analipwa Mili 2.3 lkn Kila mwaka ukiisha wanapewa kiunua mgongo ambacho kinaanzia mil 20 Kwa mtu mmoja, hii haihusiani na mafao ya NSSF, hii nisawa na asante Kwa kutumikia kampuni mwaka mzima.
Je watu kama hawa kwahio biashara utakua sawa nao?.
Sio Kila waajiriwa wananjaa. BTW nimejiajiri.
W.O, Lake au Afroil, kati ya hizo haitokua Busara kutaja kampun. But nihizo tatu mojawapo vipi upo hayo maeneo?.Mdogo wako anafanya kazi na kampuni gani naomba kufahamu? [emoji848]
Dar nzima ni soko la karanga mzee, au una maanisha unataka madalali wa soko la karanga? [emoji848]Naweza kujua soko la karanga upande wa Dar tafadhali wadau...
Hapana nilikuwa nataka kujua ili nielewe imekuwaje katusua hapa hapa bongo na hali ilivyo ngumu hivi.W.O, Lake au Afroil, kati ya hizo haitokua Busara kutaja kampun. But nihizo tatu mojawapo vipi upo hayo maeneo?.