Biashara ya korosho

Biashara ya korosho

Siwezi sahau mwaka jana nilidhulumiwa pesa yangu huku naona but this nazama tena chimbo

great thinker
 
Siwezi sahau mwaka jana nilidhulumiwa pesa yangu huku naona but this nazama tena chimbo

great thinker
Dhulma imejaa saana kwenye korosho mtu anajiamini akikudhulmu umpeleki popote
 
Kilichosahauliwa ni angamizo lililowakuta ndugu zetu wa Masasi, Nachingwea na maeneo ya Rwangwa Na Liwale kunako bei ya mbaazi, choroko Na ufuta ingekuwa ni funzo kwa utawala huu ktk hii biashara ya mwaka huu maana utaratibu wa serikali hii asiyeujua labda awe kichaa ndo atashangaa so tuwe makini waweza nunua 1500 per kg ukaskia mnada umeuzwa 1300 c yakushangaa kwa wale wakongwe wareview miaka kadhaa iliyopta umakini unahtajika nduguzanguni.
 
OK,, mtaji ni wewe mwenyewe nguvu zako tu,mtaji mkubwa faida kubwa.So mtaji inaweza kuwa hata laki tano na mpaka billion kadhaa.

Biashara iko hivi:Kipindi msimu unaanza wakulima (tulio wengi) huwa hatuna hata ela ya kununua chumvi halafu kipindi hiki ni kipindi ambacho cha kuokota na kuziweka ili zipelekwe ghalani kwa ajili ya mauzo.Wakulima wanakuwa bize sana kwenye kazi za shamba wakati hakuna ela wanayoingiza.

Hivyo,kwakuwa hali ya uchumi inakuwa ngumu sana kwa kipindi hiki,baadhi hugawa sehemu ya kipato chao huuza nje ya utaratibu Wa Mnada kwa watu wenye ela.Mkulima atakujia atakuambia Nina gunia zangu mbili pale Nina shida ya ela nisaidie.Wewe ukiwa na ela unampa anakupa mzigo.

Kwa mfano Ikiwa umenunua kila kilo kwa Tsh.1300/=,
Ule mzigo wewe ukipeleka mnadani utauza kwa Tsh.3500,utakuwa umepata faida ya sh.2200.

Na kwakutumia mfumo Wa mnada ela haziji haraka kwa wakulima,mfano mkulima amepeleka mwezi Wa kumi sokoni korosho zake lakini mpaka mwezi Wa kumi na moja bado hajapewa ela zake.Kwahiyo mwezi mmoja mkulima hana ela hata kama amepeleka mapema.Hivyo basi watu huuza sana chomachoma.

Na kama mkulima akauza mapema sana mzigo wake na akapata ela kwa wakati anao uwezo Wa kuizungusha hata Mara tatu au tano mpaka msimu unaisha.Kwahiyo ukianza na mtaji Wa kueleweka mpaka unaishia msimu utakuwa umezungusha sana ela yako kwa manufaa.
ulimsikia kassim majaliwa akiwa tanga kwenye mkutano wa wadau wa korosho?

msimu kangomba (choma choma) wataumia sana.
 
Nitumie namba yako inbox nikuunge kwenye Whatsap group uendelee mwenyewe
 
Salaam wana jukwaa
Bwana Yesu asifiwe
Kama mada inavyojieleza
Naomba wale wakazi wa Mtwara na Lindi mnipe dondoo kidogo kuhusu biashara ya korosho ghafi,namna ya kuzipata na uuzaje wake upoje.
Mnipe elimu kidogo kuhusu inshu ya stakabadhi gharani
Nataka nije huko so nipeni mwongozo
Buena Domingo
 
Ununuzi wa korosho (kongomba) kienyeji hairuhusiwi kisheria na serikali inakataza ila wadau wanapga mzgo km kawa na inahtaji mtaji wa kutosha kidogo na malipo hulipwa kwa account za benk unayoiacha pale unapouza mzigo.
 
Back
Top Bottom