Pure_sapiens
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 2,228
- 2,064
Ongera sanaNimekusoma mkuu.
Grafting Ni moja ya njia za kuongeza yields shambani
Mi nimepanda micheche 1,000 ya kisasa ya mikorosho shambani kwangu mwaka na nusu sasa
Njoo upige hela mkuu alafu halina kazi sana katika kulihudumia kama mazao mengineZao hili lina nipa mshawasha sana aisee
Nimewahi kuishi mbeya maeneo ambayo wanalima kahawa lakini sina abc la zao hili.Korosho na kahawa ndo mazao yanayomlipa mkulima ana deserveZao jingine ni kahawa mkuu.mwaka huu nimeuza gunia zipatazo 15,kilo moja ilikuwa 4000.karibuni saaana mbinga tuwekeze kwenye kilimo cha kahawa.kazi ya kuajiriwa nafanyia dodoma.huku mbinga nafanya kilimo tu cha kahawa.kwa sasa nina hekari zipatazo 4.malengo yangu nimiiliki angalau hekari 10
Mkuu hongera aise, we umepanda jamii gani ya kahawa?? Kwa wastani unaweza pata kilo ngapi kwenye heka moja?? Mapori huko mbinga bei zinaendaje kwa heka??Zao jingine ni kahawa mkuu.mwaka huu nimeuza gunia zipatazo 15,kilo moja ilikuwa 4000.karibuni saaana mbinga tuwekeze kwenye kilimo cha kahawa.kazi ya kuajiriwa nafanyia dodoma.huku mbinga nafanya kilimo tu cha kahawa.kwa sasa nina hekari zipatazo 4.malengo yangu nimiiliki angalau hekari 10
Haaa!jamaa muongo sana;tani tano kwa mikorosho 50.oya Mimi nalima iyo kitu kwa hiyo kuwa makini kwenye uongoPammoja na Mabibo
Mkuu nakuunga mkono tatizo ni kwamba shuguli zetu nyingi hazitabiriki.Honestly i can say kwa miaka miwili tangu mh rais Magufuli kwa upande wa kilimo zao la korosho limeongezeka bei kwa 200%. Sijajuwa kwa nini miaka ya nyuma hili zao lilikuwa chini sana hadi wakulima wa Lindi na Mtwara kuañza kuliacha kwani halikuwanufaisha hata kidogo.
Mwaka 2016 ndipo wakulima walifuta machozi yaliyotoka kwa miongo kadhaa,bei ya 1kg ya korosho iliuzwa kwa bei ya sh3500+ kutoka bei ya awali ambayo ilikuwa sh1400.Wakulima wa zao hili la korosho walifurahi na kufarijika kwa kuuza kwa bei nzuri kabisa.Mwaka huu bei ya 1kg ya korosho ni sh 3900+ hadi 4000.
Nilinunuwa shamba mwaka 2015 but mwaka 2016 nilianza rasmi kuhudumia shamba kwa ajili ya msimu wa mwaka huo.Japo sikuweka nguvu sana kutokana na uwoga for the first tim lakini nilipata tani 2 àmbazo ni sawa na sh mil7±.
Baada ya kuona kumbe korosho ni ya forex trade ndipo mwaka huu nikatanuwa wigo wa huduma shambani na kununuwa shamba lingine.Nikayapatia huduma kwa wakati sahihi nayo yamenilipa mavuno sahihi.Hadi nimeshavuna zaidi ya tani 5 na shambani bado zipo zipo japo zimepunguwa kiasi.
Am sure nitakunja more than 12million Tsh. Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulisimamia zao hili kwa sasa wakulima wamesahau machungu ya mbaazi. Maombi yangu naomba musichoke katika hili kwani wakulima wa korosho wapata walichokosa kwa miaka mingi.
My take;
Vijana wenzangu tuache kulalamikà na kutafuta public sympathetic na Ku dream kuwa tajiri through gambling. Twendeni kwenye ardhi kuna pesa nyingi sana.
NB; Nimenunuwa pori hekta 3 nimeangusha msitu mwezi huu December napanda miche ya mikorosho ya muda mfupi.
Mkuu shamba lako liko mkoa wapi?Honestly i can say kwa miaka miwili tangu mh rais Magufuli kwa upande wa kilimo zao la korosho limeongezeka bei kwa 200%. Sijajuwa kwa nini miaka ya nyuma hili zao lilikuwa chini sana hadi wakulima wa Lindi na Mtwara kuañza kuliacha kwani halikuwanufaisha hata kidogo.
Mwaka 2016 ndipo wakulima walifuta machozi yaliyotoka kwa miongo kadhaa,bei ya 1kg ya korosho iliuzwa kwa bei ya sh3500+ kutoka bei ya awali ambayo ilikuwa sh1400.Wakulima wa zao hili la korosho walifurahi na kufarijika kwa kuuza kwa bei nzuri kabisa.Mwaka huu bei ya 1kg ya korosho ni sh 3900+ hadi 4000.
Nilinunuwa shamba mwaka 2015 but mwaka 2016 nilianza rasmi kuhudumia shamba kwa ajili ya msimu wa mwaka huo.Japo sikuweka nguvu sana kutokana na uwoga for the first tim lakini nilipata tani 2 àmbazo ni sawa na sh mil7±.
Baada ya kuona kumbe korosho ni ya forex trade ndipo mwaka huu nikatanuwa wigo wa huduma shambani na kununuwa shamba lingine.Nikayapatia huduma kwa wakati sahihi nayo yamenilipa mavuno sahihi.Hadi nimeshavuna zaidi ya tani 5 na shambani bado zipo zipo japo zimepunguwa kiasi.
Am sure nitakunja more than 12million Tsh. Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulisimamia zao hili kwa sasa wakulima wamesahau machungu ya mbaazi. Maombi yangu naomba musichoke katika hili kwani wakulima wa korosho wapata walichokosa kwa miaka mingi.
My take;
Vijana wenzangu tuache kulalamikà na kutafuta public sympathetic na Ku dream kuwa tajiri through gambling. Twendeni kwenye ardhi kuna pesa nyingi sana.
NB; Nimenunuwa pori hekta 3 nimeangusha msitu mwezi huu December napanda miche ya mikorosho ya muda mfupi.
Mimi nimepanda Robusta mkuu,hekari moja ukiihudumia vzuri unaweza kuvuna gunia zisizo pungua 20,maana kadri umri wa mmea unavyozid kukua na kiwango cha mavuno huongezeka.hii ya kwangu ni changa,ndo kwanza ina mvua tatu.Huku mapori hupatikana kwa gharama nafuu saana,hekari moja unapata hata kwa laki mbili mpaka tatu.Mkuu hongera aise, we umepanda jamii gani ya kahawa?? Kwa wastani unaweza pata kilo ngapi kwenye heka moja?? Mapori huko mbinga bei zinaendaje kwa heka??
Nitumie e-mail yako niko njeHabar wadau poleni kwa majukumu ya kila siku .
Kama mada hapo juu inavyosema nahitaji mtu serious ambaye tutafanya biashara ya korosho kama ifuatavyo:
Mimi Nipo Masasi Mtwara ni mkulima wa korosho
Kwa hyo korosho zishaanza kwa tajir anayehitaj mzgo ambapo kwa sasa bei ni sh 2000 /kg 1 Baadae atauza sh 3800/kg 1 au zaid ya hapo
Kwa hyo mzgo unanunulia then unahifadhiwa au anauchukua mwenyew
Kwa maelezo zaid pm au no: 0683708181 au 0679921501
Sina kampuni ndgu ila EmailNitumie e-mail yako niko nje
Kama umesajili kampuni ni bora zaidi
OkSina kampuni ndgu ila Email
IbrahimJuma37@gmail.com
Nasubiri jibu na mimiVipi kuhusiana na vyama vya ushirika nitawezaje kuutoa mzigo kwenda bandarini wakati utaratibu lazima mzigo uuzwe na vyama vya ushirika?