Biashara ya korosho

Biashara ya korosho

Zao jingine ni kahawa mkuu.mwaka huu nimeuza gunia zipatazo 15,kilo moja ilikuwa 4000.karibuni saaana mbinga tuwekeze kwenye kilimo cha kahawa.kazi ya kuajiriwa nafanyia dodoma.huku mbinga nafanya kilimo tu cha kahawa.kwa sasa nina hekari zipatazo 4.malengo yangu nimiiliki angalau hekari 10
 
Zao jingine ni kahawa mkuu.mwaka huu nimeuza gunia zipatazo 15,kilo moja ilikuwa 4000.karibuni saaana mbinga tuwekeze kwenye kilimo cha kahawa.kazi ya kuajiriwa nafanyia dodoma.huku mbinga nafanya kilimo tu cha kahawa.kwa sasa nina hekari zipatazo 4.malengo yangu nimiiliki angalau hekari 10
Nimewahi kuishi mbeya maeneo ambayo wanalima kahawa lakini sina abc la zao hili.Korosho na kahawa ndo mazao yanayomlipa mkulima ana deserve
 
Zao jingine ni kahawa mkuu.mwaka huu nimeuza gunia zipatazo 15,kilo moja ilikuwa 4000.karibuni saaana mbinga tuwekeze kwenye kilimo cha kahawa.kazi ya kuajiriwa nafanyia dodoma.huku mbinga nafanya kilimo tu cha kahawa.kwa sasa nina hekari zipatazo 4.malengo yangu nimiiliki angalau hekari 10
Mkuu hongera aise, we umepanda jamii gani ya kahawa?? Kwa wastani unaweza pata kilo ngapi kwenye heka moja?? Mapori huko mbinga bei zinaendaje kwa heka??
 
Honestly i can say kwa miaka miwili tangu mh rais Magufuli kwa upande wa kilimo zao la korosho limeongezeka bei kwa 200%. Sijajuwa kwa nini miaka ya nyuma hili zao lilikuwa chini sana hadi wakulima wa Lindi na Mtwara kuañza kuliacha kwani halikuwanufaisha hata kidogo.

Mwaka 2016 ndipo wakulima walifuta machozi yaliyotoka kwa miongo kadhaa,bei ya 1kg ya korosho iliuzwa kwa bei ya sh3500+ kutoka bei ya awali ambayo ilikuwa sh1400.Wakulima wa zao hili la korosho walifurahi na kufarijika kwa kuuza kwa bei nzuri kabisa.Mwaka huu bei ya 1kg ya korosho ni sh 3900+ hadi 4000.

Nilinunuwa shamba mwaka 2015 but mwaka 2016 nilianza rasmi kuhudumia shamba kwa ajili ya msimu wa mwaka huo.Japo sikuweka nguvu sana kutokana na uwoga for the first tim lakini nilipata tani 2 àmbazo ni sawa na sh mil7±.

Baada ya kuona kumbe korosho ni ya forex trade ndipo mwaka huu nikatanuwa wigo wa huduma shambani na kununuwa shamba lingine.Nikayapatia huduma kwa wakati sahihi nayo yamenilipa mavuno sahihi.Hadi nimeshavuna zaidi ya tani 5 na shambani bado zipo zipo japo zimepunguwa kiasi.

Am sure nitakunja more than 12million Tsh. Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulisimamia zao hili kwa sasa wakulima wamesahau machungu ya mbaazi. Maombi yangu naomba musichoke katika hili kwani wakulima wa korosho wapata walichokosa kwa miaka mingi.

My take;
Vijana wenzangu tuache kulalamikà na kutafuta public sympathetic na Ku dream kuwa tajiri through gambling. Twendeni kwenye ardhi kuna pesa nyingi sana.

NB; Nimenunuwa pori hekta 3 nimeangusha msitu mwezi huu December napanda miche ya mikorosho ya muda mfupi.
Mkuu nakuunga mkono tatizo ni kwamba shuguli zetu nyingi hazitabiriki.
Huwez jua hii hali ipo kwa muda gani.
 
Aisee nyie limeni tu mm nitakuja kununua.
Nitawafata huko huko vijijini mashambani.
 
Honestly i can say kwa miaka miwili tangu mh rais Magufuli kwa upande wa kilimo zao la korosho limeongezeka bei kwa 200%. Sijajuwa kwa nini miaka ya nyuma hili zao lilikuwa chini sana hadi wakulima wa Lindi na Mtwara kuañza kuliacha kwani halikuwanufaisha hata kidogo.

Mwaka 2016 ndipo wakulima walifuta machozi yaliyotoka kwa miongo kadhaa,bei ya 1kg ya korosho iliuzwa kwa bei ya sh3500+ kutoka bei ya awali ambayo ilikuwa sh1400.Wakulima wa zao hili la korosho walifurahi na kufarijika kwa kuuza kwa bei nzuri kabisa.Mwaka huu bei ya 1kg ya korosho ni sh 3900+ hadi 4000.

Nilinunuwa shamba mwaka 2015 but mwaka 2016 nilianza rasmi kuhudumia shamba kwa ajili ya msimu wa mwaka huo.Japo sikuweka nguvu sana kutokana na uwoga for the first tim lakini nilipata tani 2 àmbazo ni sawa na sh mil7±.

Baada ya kuona kumbe korosho ni ya forex trade ndipo mwaka huu nikatanuwa wigo wa huduma shambani na kununuwa shamba lingine.Nikayapatia huduma kwa wakati sahihi nayo yamenilipa mavuno sahihi.Hadi nimeshavuna zaidi ya tani 5 na shambani bado zipo zipo japo zimepunguwa kiasi.

Am sure nitakunja more than 12million Tsh. Naipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kulisimamia zao hili kwa sasa wakulima wamesahau machungu ya mbaazi. Maombi yangu naomba musichoke katika hili kwani wakulima wa korosho wapata walichokosa kwa miaka mingi.

My take;
Vijana wenzangu tuache kulalamikà na kutafuta public sympathetic na Ku dream kuwa tajiri through gambling. Twendeni kwenye ardhi kuna pesa nyingi sana.

NB; Nimenunuwa pori hekta 3 nimeangusha msitu mwezi huu December napanda miche ya mikorosho ya muda mfupi.
Mkuu shamba lako liko mkoa wapi?
 
Mkuu hongera aise, we umepanda jamii gani ya kahawa?? Kwa wastani unaweza pata kilo ngapi kwenye heka moja?? Mapori huko mbinga bei zinaendaje kwa heka??
Mimi nimepanda Robusta mkuu,hekari moja ukiihudumia vzuri unaweza kuvuna gunia zisizo pungua 20,maana kadri umri wa mmea unavyozid kukua na kiwango cha mavuno huongezeka.hii ya kwangu ni changa,ndo kwanza ina mvua tatu.Huku mapori hupatikana kwa gharama nafuu saana,hekari moja unapata hata kwa laki mbili mpaka tatu.
 
Habar wadau poleni kwa majukumu ya kila siku .
Kama mada hapo juu inavyosema nahitaji mtu serious ambaye tutafanya biashara ya korosho kama ifuatavyo:
Mimi Nipo Masasi Mtwara ni mkulima wa korosho
Kwa hyo korosho zishaanza kwa tajir anayehitaj mzgo ambapo kwa sasa bei ni sh 2000 /kg 1 Baadae atauza sh 3800/kg 1 au zaid ya hapo
Kwa hyo mzgo unanunulia then unahifadhiwa au anauchukua mwenyew
Kwa maelezo zaid pm au no: 0683708181 au 0679921501
 
Habar wadau poleni kwa majukumu ya kila siku .
Kama mada hapo juu inavyosema nahitaji mtu serious ambaye tutafanya biashara ya korosho kama ifuatavyo:
Mimi Nipo Masasi Mtwara ni mkulima wa korosho
Kwa hyo korosho zishaanza kwa tajir anayehitaj mzgo ambapo kwa sasa bei ni sh 2000 /kg 1 Baadae atauza sh 3800/kg 1 au zaid ya hapo
Kwa hyo mzgo unanunulia then unahifadhiwa au anauchukua mwenyew
Kwa maelezo zaid pm au no: 0683708181 au 0679921501
Nitumie e-mail yako niko nje
Kama umesajili kampuni ni bora zaidi
 
Habari wanajamvi poleni kwa mihangaiko ya kila siku ya kutafuta ridhiki
Kama kichwa cha habari,nahitaji mtu ambaye yupo tayari kufanya biashara ya korosho kama mnavyofahamu kuwa kwa sasa korosho zina bei nzuri na soko la uhakika
Mimi nipo Masasi Mtwara kwa yeyote anayehitaji pm au piga 0683708181
0679921501
 
Vipi kuhusiana na vyama vya ushirika nitawezaje kuutoa mzigo kwenda bandarini wakati utaratibu lazima mzigo uuzwe na vyama vya ushirika?
 
Back
Top Bottom