Biashara ya korosho

Biashara ya korosho

Unataka kununua mnadani ? Au choma choma a.k.a kangomba?
Korosho zipo wilaya zote za Lindi na mtwara
Karibu sana
 
Bei elekezi itatqngazwa na msimu utafunguliwa,minada uanza Mara baada ya kukusanya mzigo wa kutosha maghalani endeleeni kuvuta subira soon mtajua muelekeo
 
Habari wakuu

Naomba kujuzwa ABC za hii biashara ya korosho huko mtwara, hasa kwa mwaka huu inavyokwenda, biashara zimekuwa ngumu inabidi tujaribu kila biashara sasa.

Naomba mwenye kufahamu inafanyika vipi, yaani ununuzi wake na uuzaji wake, maana nasikia kuna minada ndio huwa inafanyika mara tena naambiwa kuna “kagomba “ sijui kama nimepatia, sasa sijapata somo vizuri wakuu.
Ni PM mkuu tufanye mambo..
 
Bei Elekezi ni shs 1550 kwa msimu wa 2018/2019

Wale wazee wa kangomba ni neema tuuu!!!

tapatalk_1538233776045.jpeg
 
Habari wanajamvi naomba kuuliza kuhusu hii biashara ya korosho jinsi gani inafanywa na faida napataje kwa kiasi ambacho ntakua nimewekeza kwa mfano nimewekeza Kali moja hapo inakuaje naomba Sana kufahamu maana nataka kujaribu kufanya.
 
nimekaa miaka mitano huko nilkuwa nakwamishwa na mtaji tu aise ila ni biashara ya muda mfupi na inalipa na msimu umeanza kama unataka kuwekeza wahi sasa
 
nimekaa miaka mitano huko nilkuwa nakwamishwa na mtaji tu aise ila ni biashara ya muda mfupi na inalipa na msimu umeanza kama unataka kuwekeza wahi sasa
Halafu mabibo unakausha unampeleka mpakan na msumbiji kwenda kuuza ili wakatengenezee gongo msumbiji gunia 40000 mpaka 80000
 
Kama mtaji wako wa mawazo mwaka huu usije kusini utalia, tuachie wazoefuu!!!
 
Kwanni Mkuu ..
Hali mbaya sana nni ..?
Korosho hazieleweki,,, kwahiyo kuna mara mbili,, kupata faida au kukosa faida...kwahiyo km unapesa yako ya mkopo ni bora ukaa nayo kwanza usubiri bei ya mnadani mwishoni wa mwenzi huu,,

Sasahiv tuna bet tuu
 
Korosho hazieleweki,,, kwahiyo kuna mara mbili,, kupata faida au kukosa faida...kwahiyo km unapesa yako ya mkopo ni bora ukaa nayo kwanza usubiri bei ya mnadani mwishoni wa mwenzi huu,,

Sasahiv tuna bet tuu
Kwelii kwa upepo huu inabidi kutuliza mshono .
 
Korosho hazieleweki,,, kwahiyo kuna mara mbili,, kupata faida au kukosa faida...kwahiyo km unapesa yako ya mkopo ni bora ukaa nayo kwanza usubiri bei ya mnadani mwishoni wa mwenzi huu,,

Sasahiv tuna bet tuu
Ndio Bei ya mnadani ndio nayohitaji kujua hua inagota sh ngapi
 
Tunduru: Watu wanakamatwa huku ... Watu wanaonunua wanasakwa kama maghaidi huku ... Juzi wamezolewa watu kibao kutoka vijijini sikuhizi kuna masnitch wapo vijijini kuweni makini ndugu zangu sahizi kangomba ni biashara haramu
 
Back
Top Bottom