Biashara ya Kufuga samaki inalipa sana. Ila ni kwanini wengi hupata hasara?

Biashara ya Kufuga samaki inalipa sana. Ila ni kwanini wengi hupata hasara?

Nasubiri darasa la kufuga sato...pia elezea na ufugaji wa kambale
 
Mkuu umefikia wapi mwaka huu 2018 katika ufugaji ???? Nipo Dar unaweza kuni kadiria niwe na kiasi gani kuanza na samaki 500>>>
 
Mkuu asnte kwa elimu yako nzuri uliyotupatia Allah akulipe zaid
Then naomba contacts zako tafadhali nahitaji kujifunza zaidi
 
Mwenye kambale kwa Dar au Pwani nahitaji wa kununua
 
Hii post inanifaa sana kwa kweli...
Acha nikitafute nipate elimu kidogo.
 
Ndyo wanafugika ila wanahitaji umakini sana maana wao ukikosea tu kidogo wanadumaa na wakidumaa hawawezi kurecover. Baadaye ntakuja na somo juu ya ufugaji wa sato.
Ni aina ipi ya samaki wanaofugwa kirahisi?
 
Back
Top Bottom