Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
- Thread starter
- #21
Ndyo wanafugika ila wanahitaji umakini sana maana wao ukikosea tu kidogo wanadumaa na wakidumaa hawawezi kurecover. Baadaye ntakuja na somo juu ya ufugaji wa sato.Ni nzuri.Hongera sana
Je sato pia wanafugika?