Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
- Thread starter
- #41
Ndyo wanafugika.Ni nzuri.Hongera sana
Je sato pia wanafugika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo wanafugika.Ni nzuri.Hongera sana
Je sato pia wanafugika?
Wakula au kufuga?Mwenye kambale kwa Dar au Pwani nahitaji wa kununua
😷We mwenyewe kama tapeli fulani,hapa unatafuta wateja ili ufanye yako....Vyuma tight
Kweli wewe mjasiriamali wa ukweli
😂😂 mimi.naishi na wataalam wa samak..ila sijui kwann wanafuga haya makambale aisee.. mm ht iweje siwez kula ujue.. bora ufuge sato.. ingawa sato hawakui..Upo na huku?
Kweli wewe mjasiriamali wa ukweli
😀😛😀 hupendi hayo makambale au hupendi samaki kwa ujumla?Unaishi na wataalamu ila hufugi?😁😂😂 mimi.naishi na wataalam wa samak..ila sijui kwann wanafuga haya makambale aisee.. mm ht iweje siwez kula ujue.. bora ufuge sato.. ingawa sato hawakui..
😀😛😀 hupendi hayo makambale au hupendi samaki kwa ujumla?Unaishi na wataalamu ila hufugi?😁
Unanichekesha.Kambale ukitaka kumfaidi inafaa awe mkubwa sio wale wadogo.Sato watamu,nakubali.Mimi sifugi ila nashawishika siku za usoni nijaribu kuwekeza hukosipendi kambale.. sijawah fuga kwakweli.. i.mean nimezungukwa na wataalam wabobezi..nao wanalalamika sato hawakui..alafu hawana ladha..aku mm.ntakula sato wa mwanza tu hawa wanaonuka tope sipendi
.ww unafuga.?
Unanichekesha.Kambale ukitaka kumfaidi inafaa awe mkubwa sio wale wadogo.Sato watamu,nakubali.Mimi sifugi ila nashawishika siku za usoni nijaribu kuwekeza huko
Hahaha!Nakusoma kama namsikia RC wa Tabora,Mwanri!Jiandae kuja tuwabariki sato.Ninampango huo seriously.ah wapi ww..kambale?hapana...wananuka matope.tope.alaf wana sura ya kuogofya....ukianza kufuga sato niite tuwabariki
😁😂😂 kila la heri mkuuHahaha!Nakusoma kama namsikia RC wa Tabora,Mwanri!Jiandae kuja tuwabariki sato.Ninampango huo seriously.
Wakula au kufuga?
Asante MKUU.Usikose kuja😁😂😂 kila la heri mkuu
Weka madini yako kuhusu Uzi huu,cc tutaamua nani tapeli tunaachana naye.pinga kwa hoja c matusiWe mwenyewe kama tapeli fulani,hapa unatafuta wateja ili ufanye yako....Vyuma tight
Piga0752809878Eneo lipo geita. Ni eneo la Maji ya ziwa Victoria ni sehemu nzuri kwa uwekezaji wa Samaki .
Bei:6m
Maelewano yapo. KARIBUNI SANA.
sipendi kambale.. sijawah fuga kwakweli.. i.mean nimezungukwa na wataalam wabobezi..nao wanalalamika sato hawakui..alafu hawana ladha..aku mm.ntakula sato wa mwanza tu hawa wanaonuka tope sipendi
.ww unafuga.?
Mkuu inategemea na sorce ya kambale wako wanatokea wapi. Katika ufugaji, kambale huwa hawanuki tope kabisa sababu wanskuwa wamefugwa katika maeneo masafi. Nakukarbisha uje ujionjee minofu ya kambale uone walivyo watamu.sipendi kambale.. sijawah fuga kwakweli.. i.mean nimezungukwa na wataalam wabobezi..nao wanalalamika sato hawakui..alafu hawana ladha..aku mm.ntakula sato wa mwanza tu hawa wanaonuka tope sipendi
.ww unafuga.?
Upo mwanza sehemu gani kiongozi?Nipo mwanza mkuu.