Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Aiseeh
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hitimisho lako halijaeleweka wewe unaamini kipi.
Mara useme serikali isimamie iwe halali mala tena viongozi wa dini wasimame kidete isitishwe coz ina madhara mengi. Unaamini kipi mkuu??
 
Kujiuza ni hulka ugumu wa maisha sio kigezo.
Wanaingiza pesa nyingi Sana kama shida ni mtaji ina maana miaka yote hio ashindwe kukusanya mtaji afanye biashara.
Pili ni ngumu kuthibiti sababu wengi ufanya kupitia mitandao pia
 
Mzee haujatembelea huko kwenye mitandao ie Badoo, telegram etc. Hii ni biashara ina hela kwa sababu ina huduma na wateja so ikiharalishwa itakua ni big deal, itaongeza ajira kibao, ikiboreshwa itapunguza hatari kama magojwa au uharifu, itasisimua shunguli zingine za uchumi ie bar na usafirishaji, itasaidia kuboresha miundo mbinu nk.
 
Wanasema kila ke anajiuza tofauti ni namna anavyojiuza na bei pia. Mwingine barabarani, mwingine ofisini, mwingine mtandaoni hata kulipiwa mahari ni namana ya kununua
Kujiuza ni hulka ugumu wa maisha sio kigezo.
Wanaingiza pesa nyingi Sana kama shida ni mtaji ina maana miaka yote hio ashindwe kukusanya mtaji afanye biashara.
Pili ni ngumu kuthibiti sababu wengi ufanya kupitia mitandao pia
 
Wanasema kila ke anajiuza tofauti ni namna anavyojiuza na bei pia. Mwingine barabarani, mwingine ofisini, mwingine mtandaoni hata kulipiwa mahari ni namana ya kununua
Kujiuza ni hulka ugumu wa maisha sio kigezo.
Wanaingiza pesa nyingi Sana kama shida ni mtaji ina maana miaka yote hio ashindwe kukusanya mtaji afanye biashara.
Pili ni ngumu kuthibiti sababu wengi ufanya kupitia mitandao pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…