Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Nipo serious mzee nipe connectionMkuu serious??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo serious mzee nipe connectionMkuu serious??
kijana unataka kuwa bwabwa au unamaanisha nini.
Unataka kusema...
Yani wanawake wanakuja nawagegeda then wananipa pesaKijana unataka kujiuza tena?! Kazi iendelee
hiyo nayo ikianza mbona tatizo la ajira nchini linakwisha kirahisi kabisa.Yani wanawake wanakuja niwagegede wanipe pesa
Ndio yani wanawake wanakuja wanagegeda then wananipa pesaUnaanza biashara ya kujiuza? Au sijakuelewa
Fursa kabisa hiyo, mm natafuta location kama ipohiyo nayo ikianza mbona tatizo la ajira nchini linakwisha kirahisi kabisa.
Verified member anatembea angani au u-special wa verified Member ni upi.?Jamani a verified Member anasema haya!
Jirani wewe achana na hizo ishu, hao wanaojiuza wanasaidia sana kuepuka kuchomwa au kutuma na ya kutolea.Nawashukuru sana malaya wa Tandika na Temeke, mlinisaidia sana mpaka leo nadunda.Na wale wa Dodoma asanteni sana bila kuwasahau wale wa Mwanza pale naniihi na wale wote tuliokutana na mkaniruhusu kupiga na kondomu.Asanteni sanaNikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.
Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.
Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.
Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.
Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.
NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.
Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.
Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.
Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
Kwa kucheka huko inamaanisha unajua Location, em nambie ni wapi nianze kujiajiri leo leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tuwakaye dyudyuNikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.
Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.
Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.
Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.
Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.
NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.
Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.
Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.
Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
ni kweli kabisa kwamba asilimia kubwa ya wanaojiuza hawafanyi kwa kupenda ila wanabanwa na ugumu kwelikweli wa maisha. wengi wao walitoka vijijini kuhadiwa kwamba mjini watapata kazi, kumbe walipofika kazi ndo hiyo na hakuna nauli ya kurudi kijijini achilia mbali pesa kwa ajili ya chakula na malazi, wengine walipofika mjini walipewa kazi za ndani, wakaanza kufanya kwa uaminifu kabisa, maskini baba mwenyenyumba kakawakia tamaa kakabaka, au kukatongoza katoto ka watu, mama mwenye nyumba kashtukia mahusiano hayo haramu pengine hata kwa kuambiwa na kabinti kenyewe, kisirani kimemjaa kakafukuza kama mbwa kwa kisingizio cha kulinda ndoa yake , hata kama ndoa ,yenyewe ni ya mkeka, ili mradi tu kwamba yeye ndo ameshika kwenye mpini. Kabinti ka watu kanafukuzwa, hakapewi hata nauli , kakianza kurandaranda mitaani pa kwenda huenda kakakutana na wasamaria wema kwa ngozi ya kondoo tu ,kumbe ndani ni wafilist, hawa kama .ni wadada watakashirikisha kazi hiyo na ni ngumu kwake kukwepa.Nikiwa ni kijana mdogo nasoma kijijini kwetu nilikuwa nikisikia habari kwamba mjini kuna wanawake wanajiuza, sikuweza kuelewa kulingana na mazingira niliyokuwa nikiishi, nilitamani siku moja niwaone nipate uhakika na kwa mara ya kwanza nimefika mjini ilikuwa jiji la mwanza nilimuomba mwenyeji wangu anipeleke wanapopatikana kiujumla nilipata jambo la kujifunza ambalo mpaka sasa napata kitu cha kukuandikia wewe mdau wa Jamii forum.
Biashara hii imeshamiri sana kwa siku za hivi karibuni, Je umewai kujiuliza kwa nini, serikali inapiga marufuku sana Je watu wanaofanua hawaogopi serikali, nikagundua pia serikali yenyewe kuna watu ambao ni wadau wa biashara hizi kwani wananunua hawa dada poa au pia wao wanajiuza.
Sababu kubwa za hii biashara ni ugumu wa maisha unaowakumba wanawake na mabinti wengi wa kitanzania ingwa kuna watu wanaifanya hii biashara kama burudani kwa sababu hakuna jipya yaliwai kufanyika tangu kipindi cha sodoma na gomora kwa wale wenzangu na mimi wasomi wa biblia.
Asilimia kubwa ya wanaofanya hii biashara ni wanawake wenye mtoto mmoja au zaidi na hawana mme, hii inatoa tafsiri kwamba ugumu wa maisha ndo chanzo nilifanya utafiti katika jiji la Dodoma ambapo nilikutana na wanawake wanaofanya hii biashara zaidi ya 20 na wote walikuwa na mtoto na walisema wanafanya hivi ili mtoto wake aishi maisha mazuri. Kitu nilichopenda kutoka kwao ni kwamba hawakai na watoto wao kama ni mzawa wa Dar es salaam utakuta bishara ya kujiuza anaifanyia dodoma pesa anayopata anatuma kwa familia yake.
Katika asilimia izo kuna wanachuo pamoja na wahitimu wa vyuo mbali mbali, kwa mkoa wa Dodoma kuna vyuo vingi ambavyo vinatoa idadi kubwa ya hawa watu wanaojiuza hii ni kwa sababu ya ugumu wa maisha uliopo vyuoni pesa anayopata mtoto wa kike haiendani na uhitaji wake.
NINI KIFANYIKE?
Je, serikali inaweza kupambana kuondoa hii biashara ili kutunza taswira ya nchi jibu ni hapana.
Ni kweli kwamba dini na siasa vinategemeana lakini si kitu kimoja, nafikiri kisiasa hii biashara sio mbaya lakini kidini ni mbaya kwa sababu ni kinyume na maadili.
Hivi kwa nini serikali isiache hii biashara ifanyike kwa uhuru na viongozi wa dini husika wafanye kwa nafasi yao, kwa sababu uhalisia ni kwamba mtaani hali ni mbaya, kikubwa ni yatengenezwe mazingira sahii na sera nzuri ili bishara hii ifanyike salama ikiwa ni pamoja na kuzuia maambukizi ya magonjwa ya ngono kwa kasi zaidi.
Madhara ya hii biashara ni mengi kiafya na kimaadili lakini sera nzuri inaweza kuwa suluisho pamoja na viongozi wa dini kusimama katika zamu yao, inaweza kuondolewa bila ata kutumia nguvu ya dora.
Karibuni kwa mjadala kwa maswali na maoni pia
Hivi sehemu ya wanaume kujiuza ipo wapi maeneo ya Dar ili nikachangamkie ajira hizo?
Ahh hv hakuna eneo kama vile uwanja wa fisi wanavojiuza.?
Unajiuza???😁Ahh hv hakuna eneo kama vile uwanja wa fisi wanavojiuza.?
Hizi story mpya kabisaaDuuuuh! Kweli Elimu haina mwisho, tupe shule walau kidogo juu ya hayo mahusiano baina ya Yesu na Maria Magdalena
Anauza dushe huyo ( anakodisha dushe kwa wanawake ), unaichuku unaweka waaaaUnajiuza???😁
Unazungumzia wahaya auMbona hiyo biashara zamani ilijulikana sana majina fulani siwezi kukataja maana kanadhalilisha kabila fulani hapa nchni na walitaijirika sana biashara hii ilikujabaribiwa na maradhi au ugonjwa uliojulikana kwa jina slim kwa sasa ivh na walisaidia kupunguza matukio ya ubakaji kwa kiwango fulani maana mtu akisikia kiu anapoza fasta.
Mi mwenyewe nishasikia hizi story, hata ile picha ta last supper kwamba yesu alikua na wanafunzi wake eti pale mmoja alikuwepo dem wake 😂😂😂Hizi story mpya kabisaa
Duh! Tuhuma hazina mashiko hizo.. huyo mtoto wa Yesu ni nani kwanza ?Mi mwenyewe nishasikia hizi story, hata ile picha ta last supper kwamba yesu alikua na wanafunzi wake eti pale mmoja alikuwepo dem wake 😂😂😂
Tutachomwa moto kwakweli!!!!