Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Propaganda za waroma zimekuingia haswaaacha upuuzi aisee, hakuna hicho kitu kwenye historia..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Propaganda za waroma zimekuingia haswaaacha upuuzi aisee, hakuna hicho kitu kwenye historia..
Ndiyo maana zinaitwa "Conspiracies", hamna uhakika, inaweza kuwa kweli or siyo kweliUna uhakika na hizo conspiracy theory zako?
Duuuuh!!Kuna hadi Injili ya Maria Magdalena sema hakina "Bashiru" waliichomoa kwenye bible, hata kanisa aliachiwa huyu mama na sio Petro...damn it!
Mchepuko wa shamte.Huyo fulani em nitumie jina lake pm
ni muislamu nnaefuatilia mambo, kwenye hili umemsingizia masihi mwana wa mariam..Propaganda za waroma zimekuingia haswaa
Story ya Yesu ina janja janja nyingi sana ziliingizwa na Roman Empire kwa manufaa yao ya kiutawalamimi
ni muislamu nnaefuatilia mambo, kwenye hili umemsingizia masihi mwana wa mariam..
nam mkuuSerikali ihalalishe tu hiyo biashara naichukue kodi kabisa
nadhani kuna magroup ya telgram na wassap unaweza kuwapata kwa urahisiHivi sehemu ya wanaume kujiuza ipo wapi maeneo ya Dar ili nikachangamkie ajira hizo?
kihuhalisia nimeeleza kwamba asilimia nyingi za watu wanaojiuza ni wenye shida mbalimbali sijaitimisha kwamba sababu ni maisha magumu tu ila sababu kuu inaonekana kuwa iyoBiashara ya ukahaba ni biashara kongwe duniani
Manabii wameikuta na wameiacha.
Umesema wanaojiuza ni wenye shida hasa single mamas na hapo hapo umesema hata waliopo serikalini wanajiuza.
Fafanua hapo zaidi
hakuna ilipoandikwa lakini uhalisia ndo unaotwambia kwamba wanawake maisha yao yapo juuMtoa mada kuna jambo sijaelewa ni wapi na wakati gani imesemekana mwanamke anabidi aishi maisha ya juu kuliko mwanaume in terms of expenditures wise? Tukipata kujua hili ndio tutajua source ya hii biashara.
hii ni siri yangu kiongoziHukuonja?
Yes watu wengine wanafanya just for funJamani a verified Member anasema haya!
Ni kwel kwa maana kila biashara ina faida na madhara yake ndo maana nkatoa suggestion ya kuhalaloshwa ingawa kidini inakuwa kinyume na maadiliMbona hiyo biashara zamani ilijulikana sana majina fulani siwezi kukataja maana kanadhalilisha kabila fulani hapa nchni na walitaijirika sana biashara hii ilikujabaribiwa na maradhi au ugonjwa uliojulikana kwa jina slim kwa sasa ivh na walisaidia kupunguza matukio ya ubakaji kwa kiwango fulani maana mtu akisikia kiu anapoza fasta.
na serikali ingepata mapato mengi kutokana na hii biashara kwa sabab watu wanaoifanya ni wengi sanaNa ndio ingefaa hasa kuwa kodi ya mshikamano, literary. Maana ni tendo la kushikamana kimapenzi
mkuu lakini hizi biashara ni private kwa nn usitunze privacy za watuBahari beach kuna chimbo utamkuta adi mama yake flani wakike.
kihuhalisia mambo ya maadili inabidi yapimwe kwa mtu mmoja mmoja hauwezi sema eti sisi watanzania sema mimi mtanzaniaKuna mataifa hii biashara hii inatambulika kama vile ilivyo Bangi namenginewee.
Ila kwa utamaduni wetu hatuwezi ruhusu biashara za ma kaka poa.
Au ikiwezekana isiwepo tuu kabisaa
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
umeongea kitu kikubwa mkuu nimepata kitu cha kujifunzaHivi kwanini mnapenda kuwaonea akinamama. Hii biashara kuna upande unataka pesa na kuna upande unataka utamu na upo tayari kutoa pesa ili utamu upatikane.
Wateja wengi ni wanaume tuliooa. Hii ni huwa ni kama suspension ya gari, ndani hupati kitu na hapo hapo abdallah anataka kuachia. Punyeto inagoma maana abdallah anataka kuachia ndani ya mwili wa mtu si katika mikono.
Suluhisho la hii kitu ni ngumu maana wahanga wa kunyumba wasipopata hao machangu utawafunga miaka 30 wote. Kwa upande wangu hao machangu wanafanya kazi ya kutukuka maana wanadumisha ndoa nyingi hasa za hao wasio na kipato cha kuwatunza akina Unique Flower wanaotoa mapovu kwa vile hakuna wanaowatongoza PM