Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Kwa nini unataka kupambana na watu walioamua kutumia miili yao binafsi jinsi watakavyo na hawamdhuru mtu yeyote?
 
Biashara ya ukahaba ni biashara kongwe duniani

Manabii wameikuta na wameiacha.

Umesema wanaojiuza ni wenye shida hasa single mamas na hapo hapo umesema hata waliopo serikalini wanajiuza.

Fafanua hapo zaidi
kihuhalisia nimeeleza kwamba asilimia nyingi za watu wanaojiuza ni wenye shida mbalimbali sijaitimisha kwamba sababu ni maisha magumu tu ila sababu kuu inaonekana kuwa iyo
 
Mtoa mada kuna jambo sijaelewa ni wapi na wakati gani imesemekana mwanamke anabidi aishi maisha ya juu kuliko mwanaume in terms of expenditures wise? Tukipata kujua hili ndio tutajua source ya hii biashara.
hakuna ilipoandikwa lakini uhalisia ndo unaotwambia kwamba wanawake maisha yao yapo juu
 
Mbona hiyo biashara zamani ilijulikana sana majina fulani siwezi kukataja maana kanadhalilisha kabila fulani hapa nchni na walitaijirika sana biashara hii ilikujabaribiwa na maradhi au ugonjwa uliojulikana kwa jina slim kwa sasa ivh na walisaidia kupunguza matukio ya ubakaji kwa kiwango fulani maana mtu akisikia kiu anapoza fasta.
Ni kwel kwa maana kila biashara ina faida na madhara yake ndo maana nkatoa suggestion ya kuhalaloshwa ingawa kidini inakuwa kinyume na maadili
 
Na ndio ingefaa hasa kuwa kodi ya mshikamano, literary. Maana ni tendo la kushikamana kimapenzi
na serikali ingepata mapato mengi kutokana na hii biashara kwa sabab watu wanaoifanya ni wengi sana
 
Kuna mataifa hii biashara hii inatambulika kama vile ilivyo Bangi namenginewee.

Ila kwa utamaduni wetu hatuwezi ruhusu biashara za ma kaka poa.

Au ikiwezekana isiwepo tuu kabisaa

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
kihuhalisia mambo ya maadili inabidi yapimwe kwa mtu mmoja mmoja hauwezi sema eti sisi watanzania sema mimi mtanzania
 
Hivi kwanini mnapenda kuwaonea akinamama. Hii biashara kuna upande unataka pesa na kuna upande unataka utamu na upo tayari kutoa pesa ili utamu upatikane.

Wateja wengi ni wanaume tuliooa. Hii ni huwa ni kama suspension ya gari, ndani hupati kitu na hapo hapo abdallah anataka kuachia. Punyeto inagoma maana abdallah anataka kuachia ndani ya mwili wa mtu si katika mikono.

Suluhisho la hii kitu ni ngumu maana wahanga wa kunyumba wasipopata hao machangu utawafunga miaka 30 wote. Kwa upande wangu hao machangu wanafanya kazi ya kutukuka maana wanadumisha ndoa nyingi hasa za hao wasio na kipato cha kuwatunza akina Unique Flower wanaotoa mapovu kwa vile hakuna wanaowatongoza PM
umeongea kitu kikubwa mkuu nimepata kitu cha kujifunza
 
Back
Top Bottom