Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Biashara ya kujiuza, Dada poa, Kaka poa na Ma-sugar Mamy: Nini kifanyike kupambana nayo?

Hiyo biashara ni kongwe zaidi, hata huyo Maria Magdalena ambaye Bible inasema alikuwa wa kwanza kumuona Yesu baada ya kufufuka alikuwa Changudoa kabla ya kukutana na Yesu. Na conspiracy theorists wanasema Yesu alikuwa anamtafuna na walifunga ndoa na kuzaa mtoto mmoja
Yeah ni kweli hii biashara ni tangu sodoma na gomora kama nilivoelezea kwenye chapisho langu
 
Niliishigi nchi moja ambaye anatokea mchezaji mpira legend kwa miaka 2

Mambo kama haya yanafanyika yaani ni full liana

Kuna mahali fulani kuna jamaa waliweka wenyewe wanaita glory hole's,[emoji23][emoji23]

Wanawake wakienda huko hawaonani na mtu ila wanakutana na dushe tu,wanamaliza shida zao

Ova
unachokisema ni kweli kabisa
 
Hivi jamani wahaya wauza mbususu bado wapo? Anzi hizo huko ndiko nilikojifunzia kandanda, nilipelekwa na mwanangu wa kitaa enz hizo za ubalu balu za barehe, akaulizwa leo umekuja na mukaka wako.
hii sasa sio ya wahaya tu imekuwa ni kwa makabila yote Tanzania
 
Hitimisho lako halijaeleweka wewe unaamini kipi.
Mara useme serikali isimamie iwe halali mala tena viongozi wa dini wasimame kidete isitishwe coz ina madhara mengi. Unaamini kipi mkuu??
Natoa uhuru pande zote mbili kwa wanaoitaji uhalari wa hii biashara na wale wanaoona ni kinyume na maadili
 
Kujiuza ni hulka ugumu wa maisha sio kigezo.
Wanaingiza pesa nyingi Sana kama shida ni mtaji ina maana miaka yote hio ashindwe kukusanya mtaji afanye biashara.
Pili ni ngumu kuthibiti sababu wengi ufanya kupitia mitandao pia
Ni biashara anaifanya yupo nyumbani na sasa wengi wana vyumba vyao ukihitaji huduma unawafata
 
Mzee haujatembelea huko kwenye mitandao ie Badoo, telegram etc. Hii ni biashara ina hela kwa sababu ina huduma na wateja so ikiharalishwa itakua ni big deal, itaongeza ajira kibao, ikiboreshwa itapunguza hatari kama magojwa au uharifu, itasisimua shunguli zingine za uchumi ie bar na usafirishaji, itasaidia kuboresha miundo mbinu nk.
kwel kabisa na imeajiri vijana wengi wakiwa madalali kwa kuanzisha makundi ambayp yana huduma izo
 
Jirani wewe achana na hizo ishu, hao wanaojiuza wanasaidia sana kuepuka kuchomaa au kutuma na ya kutolea.Nawashukuru sana malaya wa Tandika na Temeke, mlinisaidia sana mpaka leo nadunda.Na wale wa Dodoma asanteni sana bila kuwasahau wale wa Mwanza pale naniihi na wale wote tuliokutana na mkaniruhusu kupiga na kondomu.Asanteni sana
Dah mkuu
 
Back
Top Bottom