King 999
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 5,872
- 8,374
[emoji3064][emoji3064][emoji44][emoji44]Hivi sehemu ya wanaume kujiuza ipo wapi maeneo ya Dar ili nikachangamkie ajira hizo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3064][emoji3064][emoji44][emoji44]Hivi sehemu ya wanaume kujiuza ipo wapi maeneo ya Dar ili nikachangamkie ajira hizo?
nadhani hii biashara kwa sasa ni private ivo sio vizuri kutaja kwa majiniWapo mbali mkuu Chattle au?
unataka kusemajeBila picha ni sawa na sambusa bila tunyamanyama
Hivi asilimia kubwa ni wasomi wahitimu wa vyuo vikuu au form four leaver unaisi elimu hawana elimumkuu hii kua biashara huwezi tunaweza kuleta hoja za kupunguza kwa utoaji wa elimu kwa wanawake juu ya kujitegemea
Makubwa hayaHiyo biashara ni kongwe zaidi, hata huyo Maria Magdalena ambaye Bible inasema alikuwa wa kwanza kumuona Yesu baada ya kufufuka alikuwa Changudoa kabla ya kukutana na Yesu. Na conspiracy theorists wanasema Yesu alikuwa anamtafuna na walifunga ndoa na kuzaa mtoto mmoja
Ni kweli lakini lilikuwa ni wazo kwa serikali watengeneze sera itakayokuwa na manufaa ata kwa serikali yenyeweBiashara zote illegal Zina faida sana Lakin wakizihalalisha zitapoteza maana na kuharibu jamii:-
1.Ukahaba
2.Madawa ya kulevya et mihadarat na bangi
3.Viungo vya binadamu
4.Pornograph
5.na zingine zote zinazofanyka black market
So Acha watu wafanye kimykimy tu huku wakipata faida
Your wrong ni bora kutafuta wataalamu wa theorogia wakusaidie ili wakati mwingine kuepuka kuongea hoja bila kuwa na uhakika nayo na ukaleta mikanganyikoHiyo biashara ni kongwe zaidi, hata huyo Maria Magdalena ambaye Bible inasema alikuwa wa kwanza kumuona Yesu baada ya kufufuka alikuwa Changudoa kabla ya kukutana na Yesu. Na conspiracy theorists wanasema Yesu alikuwa anamtafuna na walifunga ndoa na kuzaa mtoto mmoja
Kaongea tu yawezekana kulingana na imani yakeMakubwa haya
Mfia dini pole....Mkuu unafika mbali kuwa na mpaka kidogo kwenye baadhi ya mambo hasa yanayohusu imani za watu
Kama ambavyo unapenda kuheshimiwa ni vizuri pia kujifunza kuheshimu dini za watu kuna watu huyu Yesu kwao ni Mungu na msaada wao na wanamtazamia siku moja kurudi na kuwapeleka mbinguni ndo maana nkakwambia jifunze kuwa na heshima na dini na imani za watuMfia dini pole....
Katika ile picha inasemekana mmoja pale ni mwanamke, ujue muonekano wao unachanganya wanaume pia wana nywele ndefu labda ndio maana ukazagaa huo uzushi.... Anyway mi sijui hayo banaSasa mmoja alikua demu wake kivipi wakati wanafunzi wa yesu wote walikua wanaume
Pole mfia diniKama ambavyo unapenda kuheshimiwa ni vizuri pia kujifunza kuheshimu dini za watu kuna watu huyu Yesu kwao ni Mungu na msaada wao na wanamtazamia siku moja kurudi na kuwapeleka mbinguni ndo maana nkakwambia jifunze kuwa na heshima na dini na imani za watu
Hyo sera si kama tu kuhalalisha. Au nn maana ya sera??Ni kweli lakini lilikuwa ni wazo kwa serikali watengeneze sera itakayokuwa na manufaa ata kwa serikali yenyewe
ukitengeneza sera ina maana sera inatengeneza mazingira mazuri kwa iyo biashara kwa iyo kama itahararishwa itafanyika katika mazingra mazuri na tahadhari ili kurinda tasiwira ya taifa na vizazi vyakeHyo sera si kama tu kuhalalisha. Au nn maana ya sera??
Hakuna kitu kama iko wanafunzi wa Yesu walkuwa wanaume wote ingawa alkuwa na watu ndani yake kuna kina mamaKatika ile picha inasemekana mmoja pale ni mwanamke, ujue muonekano wao unachanganya wanaume pia wana nywele ndefu labda ndio maana ukazagaa huo uzushi.... Anyway mi sijui hayo bana
View attachment 1863395
Kwa nilivyo muelewa nikwamba kunabaadhi ya viongoz/watumishi Wa serikar ambao wanajiusisha na biashara hiyoBiashara ya ukahaba ni biashara kongwe duniani
Manabii wameikuta na wameiacha.
Umesema wanaojiuza ni wenye shida hasa single mamas na hapo hapo umesema hata waliopo serikalini wanajiuza.
Fafanua hapo zaidi
ExactlyKwa nilivyo muelewa nikwamba kunabaadhi ya viongoz/watumishi Wa serikar ambao wanajiusisha na biashara hiyo