Biashara ya kukopesha: Ni vitu gani tofauti ya kuandikishiana naweza kuchukua kwa ninaye mkopesha?

wolf5100 mkuu nimekuelewa sana somo lako. Nimeshalia sana, na kupoteza marafiki kwa mambo kama haya.
Tena bahati mbaya nilikua nawaazima watu kwa lengo la kuwasaidia bila riba, binadamu hatufanani na kulipa madeni ni kipaji.

Ahsante kwa somo.
 
Usije ukadanganyika kufanya hiyo biashara bila kuchukua dhamana kutoka kwa mkopaji.

Naongea from experience. Ni bora usifanye kabisa hiyo biashara kuliko kufanya bila dhamana.
 
wolf5100 mkuu nimekuelewa sana somo lako. Nimeshalia sana, na kupoteza marafiki kwa mambo kama haya.
Tena bahati mbaya nilikua nawaazima watu kwa lengo la kuwasaidia bila riba, binadamu hatufanani na kulipa madeni ni kipaji.

Ahsante kwa somo.
Mi SAA iz sina hamu usiwaamini watu kwa maneno yao!! Mi mwenyewe nimelizwa Mara kibao!! Sina hamu yaan!!! Ila kwenye hela hata awe mchungaji usimuamini
 
kweli maarifa n muhmu
mm nimepigwa pesa zangu hv hv ...nmekopesha afu watu wakankaushia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…