mimi pia ninafanya iyo biashara.sijaisajili bado kwa sababu ninabiashara nyingine naifanya inanikeep bize sana.sijapata muda hasa.
-utaratibu wangu unaacha dhamana kiwanja,hati ya kiwanja au nyumba,kadi ya gari na gari lenyewe,laptop,smart phone kwa kampuni za apple samsung sony htc,au hisa kwenye kampuni flani.
-dhamana unayoiacha ni lazima ivuke 87% ya pesa unayotaka.na huwa ninatoa 60% hadi 80% ya thamani ya dhamana.kulingana na dhamana yenyewe.
-cha muhimu ww kama c.e.o uwe na mwanasheria unayemwamini,uwe na proffesional surveyor kwa ajili ya evaluations,viwanja na nyumba.kingine uwe na watu 5 professional&mixer ambao watakuwa washauri wako.
-malipo ya mkopo wangu ni 17% kila mwezi kwa muda wa miezi 8 au 4.+ amount uliyochukua. yaani 17% kivyake na amount uliyochukua kivyake.wafanyabiashara wengi wamjini wanakopesha kwa 35% interest+ amount ulioichukua/utakayoichukua.
-loan processing fee yangu ni 9% inalipwa kabla au up on loan delivery.
-Ila kwa sasa nakopesha wafanyabiashara wa mazao,wakulima,wafanyabiashara wenzangu wa madini na wanaohitaji kuingia kwenye madini au kilimo/mazao.biashara nyingine ninayokopesha ni jumla na rejareja.Nakopesha wanaotaka kuingia kwenye biashara,cha muhimu dhamana.
-Pia mkopaji anasign transfer documents kwa mwanasheria wa hiyo dhamana yake kuja kwa jina langu.akishindwa kulipa ndani ya siku 90 kisheria namfilisi bila kusuburi sekunde.
-Biashara hii inautajiri wa haraka sana,kuna mbinu na ubunifu.
+255627575354