Profesa wa Maliasili
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 632
- 1,910
Baada ya mama kutuongezea chajuu kidogo kwenye salary nimeamua kujilipua benki nimevuta mkopo wa mulioni ishirini, milioni kumi nimefanyia finishing ya nyumba yangu ya kuishi na kumi zilizobaki nataka nifanye biashara ya kununua na kuuza korosho almaarufu kangomba.
Naomba mwenye uelewa anieleweshe kujua bei inaweza ikacheza vipi sokoni kuanzia mnada wa kwanza maana hadi sasa nina tani moja nimeshanunua kwa bei ya kilo1 @1500 kwa wakulima.
Nimeamua kusimama kwa muda ili nisome upepo kwanza nisije kuchukua mzigo mkubwa halafu bei ikawa chini ya niliochukulia mzigo.
Mwenye uelewa na hii bishara naomba Abc's tafadhali kwa mwaka huu mnaonaje soko lake.
Naomba mwenye uelewa anieleweshe kujua bei inaweza ikacheza vipi sokoni kuanzia mnada wa kwanza maana hadi sasa nina tani moja nimeshanunua kwa bei ya kilo1 @1500 kwa wakulima.
Nimeamua kusimama kwa muda ili nisome upepo kwanza nisije kuchukua mzigo mkubwa halafu bei ikawa chini ya niliochukulia mzigo.
Mwenye uelewa na hii bishara naomba Abc's tafadhali kwa mwaka huu mnaonaje soko lake.