Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Habari wana JF!
Nimewaza kufanya biashara hii ya kununua na kuuza dola, nanunua bei inaposhuka na kuuza bei inapopanda!
Naombeni uzoefu wenu, Jinsi ya kufanya ili niweze kuifanya biashara hii.....
NB: Sina uwezo wa kufungua ofisi ya Bureau de Change kwa sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaza kufanya biashara hii ya kununua na kuuza dola, nanunua bei inaposhuka na kuuza bei inapopanda!
Naombeni uzoefu wenu, Jinsi ya kufanya ili niweze kuifanya biashara hii.....
NB: Sina uwezo wa kufungua ofisi ya Bureau de Change kwa sasa!
Sent using Jamii Forums mobile app