Soko zuri ni Tandika na Ilala mkuu.Nataka nifungue duka la vyakula tu jumla na rejareja. Mchele maharage.... Unga etc kwa dar es salaam ni sehemu gani ntapata hizo bidhaa kwa bei nzuri.
Plz nahitaji mawazo yenu.
Umekosea au umekusudia mkuuVyakula vya biashara ya ngono vinalipa sana
Heshima kwenu wakuu!
Nimekuwa nikiwaza muda mrefu kuanza biashara ya kilimo. Ninaipenda sana japo sijawahi kuifanya. Nimetamani kuanza kununua mazao ama kwa kuyauza moja kwa moja au kwa kuyatunza katika ghala ili niwe nauza baadaye bei ikiwa nzuri.
Ninao mtaji kidogo kwa kuanzia lengo ni ili niweze kukua kidogo kidogo na sio kuweka pesa nyingi ambayo ninaweza kula hasara kipindi naanza biashara hii.
Sijachagua mazao maalum ya kuanza nayo na ndio maana nahitaji mawazo yenu.
Hivyo basi nipo hapa kuomba ushauri ni mazao gani ninaweza kuanza nayo, mtaji mdogo ambao unaweza kufaa kuanza nao ni kiasi gani, maeneo na masoko ya biashara ya mazao ndani na nje ya nchi ni yapi?.
Nitashukuru hata kwa ushauri wa ziada mtakaonipa.
Ukivuna utauzaje mchele kg 1?mimi ni mukulima mdogo mdogo niko huku morogoro wilaya ya mvomero maeneo ya manungu tulian, huku nimelima mpunga nina heka sita za mpunga na nategemea kuanzia wiki (jmos) ijayo nianze kuvuna, hivyo kama utakua unahitaji mpunga au mchele tunaweza kufanya biashara ndugu!
Mkuu "Chasha Poultry Farm" nimekuwa nikifatilia comments zako nyingi kwenye threads tofauti kwa kweli una mitazamo ya tofauti, kisomi na kimapinduzi zaidi kwenye tasnia nzima ya ujasiriamili na biashara Tanzania, binafsi nimekuwa insipired sana na miongozo yako mbalimbali, Mungu akubariki.
Value addition is very important in every things we do as entrepreneur and business men, watanzania umefika wakati tutoke kwenye mbinu za ujima za kibiashara. Mkuu big up sana
Nipo kwenye ajira kwa sasa, ila for sure I'm not happy being employed, this two years of employment are more than enough, anytime soon naenda kujiajiri coz I can see and feel niko na spirit ya ajabu in entrepreneurship and business, my business idea ni kuwa supplier wa food staffs kwenye big hotels and supemarkets in town ndio maana point yako ya value addition imenigusa sana na malengo makuu ni oneday kumiliki viwanda vya kuchakata na kusindika mazao mbalimbali ya majini na nchi kavu for export purpose.
I do believe oneday nitaleta mrejesho wa mafanikio makubwa kwenye hili, mungu awabariki wana JF wote.
AMEN
Vp now songea mahindi kwa mkulima sh ngapsongea kiongozi. Nategemea kununua wakati wa mavuno.ntafanya ya mahind,maharage na mpunga!
mimi ni mukulima mdogo mdogo niko huku morogoro wilaya ya mvomero maeneo ya manungu tulian, huku nimelima mpunga nina heka sita za mpunga na nategemea kuanzia wiki (jmos) ijayo nianze kuvuna, hivyo kama utakua unahitaji mpunga au mchele tunaweza kufanya biashara ndugu!
Kivipi mkuu?Wewe naona unataka kukosana na watu wako wa karibu.
Jaribu kwanza ndiyo utajua anachomaanisha.Kivipi mkuu?
Gunia la viazi shilingi ngapi, na ni la ndoo ngapi?Naomba msaada wa muhitaji wa bidha za mazao tunauwezo wa kukufuata mteja mpaka ulipo kwa bei nafuu bila kujari umbali dream, morogoro, iringa, lindi ,mtwara nk bidhaa hizo nikama vile
-maindi
-maharage ya rangi yoyote utakayo
-vihaz vya aina zote yaani mviringo(vya chip's ) nk
-ndizi
Nk
Kwayeyote anae hitaji kuingia kwenye mfumo huu wa bihashara ya mazao ya aina mbali mbali awasiriane nasi kwa namba 0767691382