NZURI PESA
JF-Expert Member
- Mar 25, 2011
- 5,958
- 2,954
mkuu jua tofauti kati ya KUWASILISHA na KUWAKILISHA.hapa una WASILISHA na sio KUWAKILISHAWadau naomba ujuzi weno kwenye hi biashara, Je nikianza na shilingi milioni 5 itanitoa? Je kuna changamoto zipi nitarajie kukutana nazo.Binafsi napenda sana kujiajiri.Robert Kayosaki anasema kwenye kitabu chake cha poor dady & Rich dady ya kwmba a highly paid slave is still a slave.WanaJF naomba kuwakilisha Hoja.
Morogoro sehemu gani kakaUnaweza ukanunua mpunga.then ukakobolesha mwenyewe.katika machine za Ku grade alafu ukawa unasafirisha na kuuza Michele...iyo ndo inalipa...pana gunia la mpunga utanunua sh 60,000 kukoboa gunia 3,500. Kwa mpunga mkubwa litatoa kilo 70-72.hivyo kama una mtaji Wa laki sita utapata gunia 10,ambazo ukikoboa..utapata kilo 700-720...kwa kilo utauza sh 2000,,hivyo utakuwa na income ya sh.1,400,000..karbu morogoro.
Lazima na karatas za tfda na vyeti vya afya kabsahivi kwa anaefungua fremu la kuuza nafaka ni lazima awe na TIN pamoja na leseni ya biashara??
mh, hata kama mchele unatoka hapa hapa tz karatasi za tfda na afya zinahitajika?Lazima na karatas za tfda na vyeti vya afya kabsa
Tatzo sio mchele unatoka wap,hawa wametubana sababu unauza chakula,so cheti cha afya unakipata na tfda lazima haina mjadalamh, hata kama mchele unatoka hapa hapa tz karatasi za tfda na afya zinahitajika?