Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Bro kama hujawahi hustle na vi business vya kitaa huwezi nielewa au unaweza sema siko serious na life.

I’ve done pass all that..as i speak nina biz kubwa tu tena ya wholesale..

Biashara zina mambo mengi sana, Kwa mtu anayetaka kutoboa in a big way mimi kama
mimi binafsi nashauri atafute capital atleast isiyopungua 100+ million (Thats if mtu huyo ana plan kufanya any type of trading biz)

Kwa capital hyo any trading biz lazima utatoboa..ila sijui una 5M au 10 M utapata hela ndio ila ya kubadili mboga tu.

Ila kama nina elimu yangu nzuri average salary nipate between 1 M to 3M au mpaka 5M kwa mwezi nibora niajiriwe kwa atleast 3 years ni make hela then nizame kitaa na capital.

Maana yake kama hela huna possibly likely hata collateral mtu hana. Ya dig ??
Mkuu wafanyabiashara wengi wametoboa kwa kuanza na mtaji mdogo sana kinachotakiwa ni taarifa sahihi ya unachotaka kukifanya basi...ingekua wote wana mawazo kama yako wasingefanya biashara 100+ unaiona nyingi ila zipo biashara zingine hiyo ni chenji huwezi kuifanya kwa mahindi na ndani au mpunga kiasi chochote mtu anafanya acheni kutishana mtaji wakati cha msingi kwenye biashara ya ndani ya Nchi ni taarifa sahihi za soko...
 
Umewezaje kufika huko mkuu Ikiwa mind yako tu inaonekana si ya kibiashara? Wew.ulianza na 100mil kufika hapo ulipo? Unaielezaje dhana ya kukua kibiashara? Na unajuaje kuwa biashara inakua?
Bro kama hujawahi hustle na vi business vya kitaa huwezi nielewa au unaweza sema siko serious na life.

I’ve done pass all that..as i speak nina biz kubwa tu tena ya wholesale..

Biashara zina mambo mengi sana, Kwa mtu anayetaka kutoboa in a big way mimi kama
mimi binafsi nashauri atafute capital atleast isiyopungua 100+ million (Thats if mtu huyo ana plan kufanya any type of trading biz)

Kwa capital hyo any trading biz lazima utatoboa..ila sijui una 5M au 10 M utapata hela ndio ila ya kubadili mboga tu.

Ila kama nina elimu yangu nzuri average salary nipate between 1 M to 3M au mpaka 5M kwa mwezi nibora niajiriwe kwa atleast 3 years ni make hela then nizame kitaa na capital.

Maana yake kama hela huna possibly likely hata collateral mtu hana. Ya dig ??
 
Sema baba! Yes tusiwe tunapuuza fursa kwanza hapa tunapeana taarifa, ikiwa ndo mhimu kuliko, Then itageuka fursa kwa wale watakaolifanyia upembuzi na kuchukua hatua panapowezekana
ukisikia mtu kakupa fursa usikae ukaanza kubishana sana ni wakati wa kuiangalia maana si kila jambo utasoma hapa ukajitumbukiza ka mjinga, unachukulia ka fursa unafanya utafiti wa kina unalinganisha bei ya kununulia yakuuzia na gharama nyingine zote pia pasipo kusahau hela ya hadhari. baada ya hapo unaona ufanye nini
Bei ya mahindi kwasasa ipo juu na ni baada ya mipaka kuwa wazi, kima cha faida alichokitoa mtoa mada kinaweza kisifike kutokana na baadhi ya gharama ambazo zipo wazi ila hakuziorodhesha. ila faida nzuri ipo maana baadhi ya maeneo hasa mahindi yanalimwa kwa wingi mahindi bei yake ni kwanzia 40 000/= mpaka 60 000/= kwahiyo si mbaya tukichukulia hii ka fursa hasa watu wa biashara za msimu
 
Mkuu ni vyema kweli kujifunza hata mimi hapa najifunza kutoka kwa walionitangulia na kunishawishi niingie huku kwa kweli kuna watu wako juu kiasi kwamba wao mchele wao ni wa kimataifa simu wanazopokea ili wapeleke mzigo ni kutoka Rwanda, Kenya na wanapeleka kweli ila nasi ndo tunawapatia mzigo na tunapata faida ya kutosha.

Kizuri zaidi ni kupiga zote mchele mpunga vyote nunua kama una nafasi na una sehem nzur ya kuhifadhi kwani kuna wakati mpunga unakuwa chini sana kati ya 35 000/- na 55,000/- tu katika mikoa ya Katavi na shinyanga respectively lakini baada ya muda fulani unauza kwa 85000/- hadi 100,000/ - na ukikoboa inakuw zaidi ya hapo.

Hapa mwenzako ni kuzunguka tu mikoani kama mtalii wa ndani ila watu wanakusanya punga na hata shambani naingia.
Hakuna kitu kitamu kama hii game mkuu vigari vya M20 kwako itkuwa kawaida tu hadi natamani serikali iache amsha amsha inayofanya kwa vijana kuhimiza wajiajiri-waachwe waendelee kusubiri ajira za kuagizwa maana wao waziona hizi kazi ni kizamani. Kusema kweli namuona mbunge mmoja yuko kwenye kilimo na anapiga gunia 5, 000/- na anapeleka sijui nje na ana trecta zake kwa kweli hata wananchi wakimpiga chini ubunge hana njaa kabisa.
well said....week hii nmeshnda ndani nawaza kuhusu hii biashara mpaka kichwa kinaniuma yaan nashndwa kuamua niifanye au ntafute biashara nyngne??
 
Kama dogo anajitambua atapiga hatua! Wa kwangu akinikatisha tamaa baada ya kumpa kila nyenzo ya uvuvi akaishia kuoa kijiji kizima kasoro ndugu zake!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aliamua kuweka heshima bar
 
Back
Top Bottom