Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Kula MTU humu nimeona akiisifia biashara ya mchele....
Naomba kufahamishwa kuhusu uhakika wa soko tafadhali kwa maana ya kuwa natakiwa nikatafute mteja then aniambie kapasite yake ya kuchukua mzigo ndo nimpelekee au ni kwamba wateja hupatikana bila tatizo nikifika sokoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
najifunza mengi sana humu... nadhani siku si nyingi ntaazisha namm biashara yangu.. namba tu tusiacha kushauriana pindi tunapohitaji msaada wa ushauri kwa wale wazoefu..... Ahsanteniii
 
Mkuu kwa mawazo hayo kufanikiwa basi kila mtu anajion kwa jicho lake..si kweli kuwa ukitaka kutoboa uwe na hiyo capital ya kuanzia 100m..ukiidharau 100 basi hata hyo 100m haitakusaidia kitu
 
Kamwe Singida mahindi hayawezi kuuzwa bei hiyo, unadanganya watu
 
Kamwe Singida mahindi hayawezi kuuzwa bei hiyo, unadanganya watu
Nilishangaa anaongelea mahindi gani. Yani Singida mahindi yawe cheap kuliko Manyara!

Manyara hii hii iliyoko kwenye production zone yani ndani ya zile big 5 regions zinazotegemewa kwa uzalishaji wa chakula hasa mahindi. Never..

Kwa mpaka Sasa hakuna sehemu yenye kuuza mahindi gunia kwa 54,000. Rukwa kwenyewe ambao ndio baba lao kwa uzalishaji wa mahindi Bei hivi Sasa Ni 85,000 mpaka 90,000 eti Singida wanakolima alizeti na vitungunguu yakawe 54,000??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaweza - just like anything in life....,
Normally kwa mwaka wa kawaida mahindi huwa yanakuwaje katika hii biashara what's the profit margin
 
Vipi mwaka huu? Kama msimu uliopita kulikuwa na upungufu kiasi wa mahindi, vipi mwaka huu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…