Wazo zuri biashara iko poa sana jarbu kununua maharage hasa ya njano mazuri hapo karatu au manyara maeneo kama simanjiro au mbulu au kateshi ,babati kipindi cha msimu utoe vijijini ukauzie mjini soko ni kubwa cha msingi uwe na store ila kwa mchele nadhani fanya package afu uuze kwa mama ntiliye reja reja kwa kuwafikishia kazini kwao au hotelini
Wazo zuri, lakin channel ya upatikanaji wake ndio natafuta mwongozo
Upo wapHabarini wana jamii forum ebwana mm ni kijna na ninatamani sana kuingia katika biashara ya nafaka ila nacho itaji kufahamu ni wapi naweza pata mazao ya nafaka kama karanga dengu mtama ufuta ulezi nakazalika kwa bei za jumla au kama unaweza kujua bei za mjula mkoani kwako mnaweza nijuza naombei usaidizi kwa hilo jamn
Check your pm nimekupmMimi nipo mkoani geita mkuu
Mshahara kwa hali ya kawaida ila kwa mtu mwenyehuelewa ni sawa na rushwa unayopewa na bosi wako ili kukupa upofu wa ww kuchelewa kufikia malengo yako.Unamaanisha nini unaposema kusubiria rushwa mkuu?
AsanteeBiashara ya nafaka inalipa mikoa ya pwani hasa DSM, Mwanza watu wengi ni wakulima , na most people wanafanya hyo ya kuuza vinafaka , utahangaika na utahisi unarogwa , kila mmoja yupo aware na hzo bidhaa....Bora ufungue genge la msosi , chips au soft drinks , au biashara za bidhaa za viwandani eg viatu, urembo n.k ...... Au pitia huu Uzi utapata wazo zuri kulingana na mtaji
Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?
Lete madini mkuu, achana na hiyo avatarId nayo inawazisha mkuuwww.jamiiforums.com
Na pia punguza matumizi , nyumba ya kulipa 100000 Kwa mwez mwanza hasa huko buhongwa ni nyumba ya kiwango Kwa 60000 unapata master nzuri Tu mwanza
Asante sana sana sanaKwanza kabla ya yote USIACHE KAZI,
Usiepuke kutembea masaa mawili kwa siku,
Ipende kazi yako,
Biashara ya Nafaka kwasasa sio nyepesi kama unavyoifikilia(sikukatishi tamaa nakupa ukweli) nafaka zipo nyingi sana mtaani kwa sababu ya mipaka kufungwa,
Bei yake sio nzuri sana, faida ni 100, 200 mpaka 300 kwa kilo.
Ukichukua fremu utakula hasara takatifu
Bei ya mzani mpya ni Tsh 150000 used laki mpaka laki na ishirini,
Kwa mtaji huo wa laki nne nakushauri ufanye yafuatayo
Tafuta kituo cha dala dala wanaposhukia watu wengi penye genge la mboga mboga (kwenye mikusanyiko ya watu wengi eneo liwe la mtaani).
Nunua kilo 50 za maharage ya njano kwa bei rahisi, kilo 50 za soya kilo 50 za mchele (ongezea pesa) kisha nenda katege hapo pembeni kwa wauza mboga kaa hapo uuze,
Mara nyingi wateja wanakujaga asubuhi na jioni mchana huwa ni wachache, uza kwa bei rahisi bandika viboksi vyenye bei ili wateja waone wanapopita maeneo hayo,
Mengine utajifunza ukishaanza biashara
NB usikodi fremu, nitaleta uzi kueleza jinsi hii biashara ilivyonipiga za uso kwa kukimbilia kupanga kwenye fremu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Asante sana sana sanaKwanza kabla ya yote USIACHE KAZI,
Usiepuke kutembea masaa mawili kwa siku,
Ipende kazi yako,
Biashara ya Nafaka kwasasa sio nyepesi kama unavyoifikilia(sikukatishi tamaa nakupa ukweli) nafaka zipo nyingi sana mtaani kwa sababu ya mipaka kufungwa,
Bei yake sio nzuri sana, faida ni 100, 200 mpaka 300 kwa kilo.
Ukichukua fremu utakula hasara takatifu
Bei ya mzani mpya ni Tsh 150000 used laki mpaka laki na ishirini,
Kwa mtaji huo wa laki nne nakushauri ufanye yafuatayo
Tafuta kituo cha dala dala wanaposhukia watu wengi penye genge la mboga mboga (kwenye mikusanyiko ya watu wengi eneo liwe la mtaani).
Nunua kilo 50 za maharage ya njano kwa bei rahisi, kilo 50 za soya kilo 50 za mchele (ongezea pesa) kisha nenda katege hapo pembeni kwa wauza mboga kaa hapo uuze,
Mara nyingi wateja wanakujaga asubuhi na jioni mchana huwa ni wachache, uza kwa bei rahisi bandika viboksi vyenye bei ili wateja waone wanapopita maeneo hayo,
Mengine utajifunza ukishaanza biashara
NB usikodi fremu, nitaleta uzi kueleza jinsi hii biashara ilivyonipiga za uso kwa kukimbilia kupanga kwenye fremu.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Usiache kazi familia yako italala njaa mtashindwa kulipa kodi,Asante sana sana sana
Yess ata lengo langu sio kukodi frem naitaji sehemu ya wazi tu Kama usemavyo lakini pia sio ntakaa hapo kupigwa jua asubuh mpka jion hapana kwakua ni sehemu ya mkusanyiko pia purukushan nyingi nafikiria wakati wa mchana kusambaza juice
Mpka hapo utakua umeelewa kwann nataka niache japo tunafahamu kunawakati biashara zetu ndogo uwa zinayumba Sana tu na Mambo uenda ndivyo sivyo unapanga hivi Mambo yanakua vile
Wow! fantastic woman.Habari za wakati wapedwa Poleni kwa majukumu.
Moja kwa moja naomba nianze. Mimi nipo mkoani MWANZA wilaya ya NYAMAGANA kata ya BUHOGWA,
Kwa wanaoifahamu mwanza buhogwa naweza kupaita Kama kitovu Cha biashara za wakulima mkoani MWANZA japo Sina akika Kama kunapengine.
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 ninamajukumu (mtoto miaka 3, nimeweka mfanyakazi natakiwa kumlipa 40,000 kwa mwezi. Nyumba natakiwa kulipa 100,000 *4 yaani laki nne kwa miezi minne) napenda maisha Bora na mazuri
Kwa Sasa nafanya kazi katika kampuni furani ( unafanya mauzo ya siku mpka 400,000 lakini mwisho wa mwezi unalipwa 130,000 mshahara unaingizwa bank danganya Toto bima ya afya nssf na mafao pia lakini toka nimeanza kazi mwezi wa 10 mwaka Jana mpka leo sijajaza mkataba
Kazi ni ya shift saa 2asubuh -10 jioni au 10 jioni mpka 4usiku
Katika huo mshahara nauli kila kitu ni juu yako ww. Mfano Mimi natakiwa niwe na nauli ya 1000 kila siku sawa na 28,000 kwa mwezi maana Kuna siku moja katika week ya kipumzika , kumbuka ujala
Nimejaribu kuomba walau kituo changu Cha kazi kiwe karibu ili kunipa wepesi wa kutosafiri umbali mrefu na kuokoa vijisent nayo imekua ngumu natumia muda wa lisaa limoja barabaran yaani kwa siku masaa mawili
Nikawaza niombe shift ya jioni 10- 4 usiku ili kuanzia asubuhi nipate muda wa kufanya biashara zangu binafsi Kama kutembeza juice sokoni na kufungua kibanda Cha kuuza NAFAKA kwa kuanza na mchele wamekaza na kunipa shift ya asubuhi
WAKUU NAITAJI USHAURI UPATIKANAJI WA MCHELE MZURI maeneo ya jirani mkoani MWANZA na kwa bei poa
mpka dakika hii Nina 400,000 naitaji kufahamu bei ya
1, mzani
2, mchele bei poa na wapi?
Nimechoka kuwa mtumwa na kusubiria rushwa isiyokuwa na manufaa Wala kunyanyua maendeleo Bali kudidimia
ASANTEE SANA
Mkuu unakosea kulinganisha kiasi unacholipwa na faida apatayo anayekulipa. Hicho upatacho ndio thamani ya muda wako (Bei ya muda wako) unaotumika kwake so stop complaining. Kama unaona kupata 200k par day ni rahisi kwanini usijaribu?.Hongera kwa kuwaza vizuri, ndio hatua ya kwanza kutoka mahali ulipo kwenda unapotaka.Mshahara kwa hali ya kawaida ila kwa mtu mwenyehuelewa ni sawa na rushwa unayopewa na bosi wako ili kukupa upofu wa ww kuchelewa kufikia malengo yako.
Mfano mtu unamtengenezea faida ya 200,000 kwa siku kumbuka ni faida ambayo umeshatoa makato yoooote kwa mwezi ni shingap alafu akupe 130,000 katika kipindi Cha mwezi mzima inamaana ni sawa na 5000 ( 200,000-5000=195,000) ww unatengeneza 5000 yy 195,000 na bado anakubana kiasi Cha kukosa wakati wa ww kujitafutia kipato Cha ziada unategemea nn hapo?
Hizi akili nyingine bwana!!sasa wafanyakazi wa dangote, au bakhresa wakiwa wanapigia hesabu wanachoingiza na malipo yao si wangezimia woteee?!!huyo dada kwa mawazo hayo hawezi hata kufanya biashara!!Mkuu unakosea kulinganisha kiasi unacholipwa na faida apatayo anayekulipa. Hicho upatacho ndio thamani ya muda wako (Bei ya muda wako) unaotumika kwake so stop complaining. Kama unaona kupata 200k par day ni rahisi kwanini usijaribu?.Hongera kwa kuwaza vizuri, ndio hatua ya kwanza kutoka mahali ulipo kwenda unapotaka. View attachment 1698744