Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

Uzi mzuri sana, Niko Sumbawanga gunia LA mahindi ni 50000 kwa sasa na yanazid kupanda bei , upatikanaji wake pia ni mgumu
 
Uzi mzuri sana, Niko Sumbawanga gunia LA mahindi ni 50000 kwa sasa na yanazid kupanda bei , upatikanaji wake pia ni mgumu
Mkuu uko swax mitaa ipi? Naomba niinbox namba yako...
 
Biashara ya mpunga inalipaje ? kwa wale wazoefu na wafanya biashara ya mpunga tupeane muongozo hapo
 
Habari wanajukwaa. Mwenye ufahamu na biashara ya kusafirisha mchele kutoka Ubaruku (WIlaya ya Mbarali Mkoani Mbeya) kwenda Dodoma naomba anieleweshe hapa, kuhusu gharama na namna ya kupata malori yanayobeba mzigo.
Asanteni.
 
Habari wanajukwaa. Mwenye ufahamu na biashara ya kusafirisha mchele kutoka Ubaruku kwenda Dodoma naomba anieleweshe hapa, kuhusu gharama na namna ya kupata malori yanayobeba mzigo.
Asanteni.
Ubaruku ipo Wilaya na Mkoa gani??
 
Magari ni mengi sana toka ubaruku unasafilisha tank ngapi labda tuanzie hapo
 
Wewe upon wapi Dodoma ubaruku sio sehem ya kiwaza usafili mkuu upo mwingi chaguo lako tu kama unasafilisha tan za kutosha
 
Bhbm,

Mkuu mimi c pingani na wewe but nataka kukushauri jambo moja,

- katika swala zima la biashara ya nafaka ni bora ukajikita katika ku ad value au kuongeza thamani ya hizo nafaka.

1. Ni bora ukawa na ofisi yako mjini na jaribu kuyaongezea thamani hayo mazo kama vile kugred na kupark kabisa. Hapo utakuwa umeongeza thamani na utauza kwa bei ya juu, na unaweza tafuta hata supermaket tano tu za kuwa sambazia.

2. Hili la kununua mchele kutoka mbeya na kuja kuuza dar kama ulivyo hakuna cha maana sana mtu nacho pata zaidi ya ujanja ujanja wa kuchanganya. Mtu anachukua mchele wa mbeya na kuchanganya na mchele wa morogoro
- hii biashara ya nafaka c kwa mba inalipa sana ila ni ujanja ujanja unao fanywa na wauzaji kwa kuchanganya changanya. Anaweza chukua gunia la maharage safi akachanganya na nusu gunia la maharage mabovu ndo business inaenda.

- ila hili la ujanja ujanja ni la muda sana na si endelevu.

So jitajidi upate hata mashine ya kupaki kwenye mifuko, mfano ukipata mashine moja inayo itwa heavy duty sealing machine ni nzuri sana unaweza ukawa na vibarua wako wa kugred na wewe ukawa unapaki na kuuzia watu wa supermarket.
Hiyo mashine niliyo kuambia ni ambayo ina silidi kama vile totopark zinavyo kuwa zimefungwa kwenye vile viloba.

Kuna kampuni moja ya Kenya ina tengeneza vifungashio vizuri sana unweza cheki huko.
Mpaka hapo usha mteka kwenye upande wa machine na vifungashio ili akutumie wewe kuvipata ila ukizidi 100k Mimi najua wanapo uza machine kwabei rahisi na vifungashio
 
Habari wana Jamii Forum,

Natumaini mu wazima wa afya nyote na mnaendelea na shughuli za kila siku.

Nimeleta mada hapa jukwaani tujadili kidogo kuhusiana na BIASHARA YA NAFAKA KAMA MCHELE, KARANGA, MAHARAGWE, MAHINDI kwa jumla na rejareja.

Biashara hii ipo sana akilini mwangu kwa sasa. Nahitaji msaada wenu wa mawazo jinsi ya kuanza na kuiendesha hii biashara.

Napatikana Arusha
Namba: +255767944367
 
Biashara hii nzur sana kwa kuvusha mpakani kama uko arusha ukichukua nafaka uvushe nairobi kuna faida kubwa sana. Binafsi nilijaribu kufanya kidogo vitunguu kutoa mangola na kupeleka marikiti nairobi kwakwel profit ipo ukiwa na mtaji. Sijajua target yako lakini nafaka inalipa kwa nchi za jirani maana wanategemea sana chakula kwetu
 
Biashara hii nzur sana kwa kuvusha mpakani kama uko arusha ukichukua nafaka uvushe nairobi kuna faida kubwa sana. Binafsi nilijaribu kufanya kidogo vitunguu kutoa mangola na kupeleka marikiti nairobi kwakwel profit ipo ukiwa na mtaji. Sijajua target yako lakini nafaka inalipa kwa nchi za jirani maana wanategemea sana chakula kwetu

Nime target kufanya biashara hapahapa ndani na nje ya arusha
 
Wazo zuri biashara iko poa sana jarbu kununua maharage hasa ya njano mazuri hapo karatu au manyara maeneo kama simanjiro au mbulu au kateshi ,babati kipindi cha msimu utoe vijijini ukauzie mjini soko ni kubwa cha msingi uwe na store ila kwa mchele nadhani fanya package afu uuze kwa mama ntiliye reja reja kwa kuwafikishia kazini kwao au hotelini
 
Kwa mahindi fanya kununua kipindi cha mavuno bei ikiwa chini afu uyauze bei ikipanda maana kwa kawaida maindi hayana faida sana ila maharage ni nomah kama una mtaji afu ukayotoa bush hasa ukapeleka dar utatoboa sana cha msingi yawe manene na mazuri
 
Back
Top Bottom